traffic

  1. TRAFFIC ENGINEERING: Ni vigezo gani huzingatiwa katika kufanya maamuzi ya kufunga "traffic lights" au kuweka "roundabout" kwenye makutano ya barabara?

    Habari za wakati huu kaka na dada zangu wote wa hapa jamiiforums. Ndugu zangu watanzania (Traffic Engineers) eti; Ni vigezo gani vya kitaalam huzingatiwa na engineers katika kufanya maamuzi ya kufunga "traffic lights" au kuweka "roundabout" kwenye makutano ya barabara za mijini? (1) Kama...
  2. S

    Traffic wanabambikia watu faini, unaletewa meseji kwenye simu kwamba umepigwa faini na gari halijaenda popote

    Kumekuwa na hali ambayo haileweki ndani ya jeshi la polisi upande wa usalama barabarani ambapo unaletewa meseji kwenye simu kwamba umepigwa faini na unaandikiwa na kosa lako wakati huo wewe upo Dar es salaam na gari halijaenda popote siku nzima wewe upo nyumbani. Ukiingia kwenye mtandao wao wa...
  3. Mapenzi ni 2 way traffic, stop being bitter

    Tumekuwa tukiona mahusiano ya aina tofauti tofauti ila common yakiwa yale ambayo mwanaume wana economic muscles ila kutokana na mabadiliko ya tabia nchi sikuhizi pia kumejitokeza mahusiano mengi ambayo wanawake wana financial muscles hali iliopelekea mahusiano ambayo mke anakuwa anaziba gap...
  4. Kwa alichokifanya huyu Traffic Police, anastahili Pongezi

    Jana nilikuwa natokea kwenye mihangaiko yangu ya kutafuta ugali, ilikuwa ni nyakati za jioni hivyo nikasogea kituo cha daladala na kusubiri Usafiri( Najua mtanishangaa member wa JF kupanda daladala maana humu wengi wenu mnamiliki Ford Ranger na wachache wanamiliki Prado) Sasa ikaja daladala...
  5. Rise in transshipment traffic raises Mombasa East Africa gateway profile

    Rise in transshipment traffic raises Mombasa East Africa gateway profile Mombasa port handled a transshipment (goods destined for other ports) traffic of 211,204 twenty-foot equivalent units (TEU) in 2019 compared to 121,577 the previous year. The increase reflects the gains from the ongoing...
  6. W

    Air traffic management officer11

    Habari za mchana wana jamii. Naomba mwenye kujua maswali yanayoulizwa kwenye interview na utumishi ,kwa nafasi ya air traffic management officer 11
  7. Dereva fahamu HAKI na WAJIBU wako unapokutana na Traffic Barabarani kuepusha Migogoro

    Wadau wenye usafiri tuweze shirikishana mambo mbalimbali ambayo madereva wanapaswa kuzingatia barabarani hasa kwa upande wa Haki na Wajibu wao. Na sisi tusio na magari pia tutapata darsa hapa.maana nakumbuka miaka ile sisi tunasoma tulijifunza kwenye Geography Kilimo cha Mahindi USA lakini...
  8. Kwasasa nikiambiwa nichague kazi nitachagua kuwa askari wa barabarani (traffic)

    Ile kazi naimiss sana kwasasa. Ni kazi ambayo nikiambiwa nichague basi itakuwa first choice huku kazi za uhasibu na ugavi nikiziweka pembeni. Nina hamu sana kuongoza magari barabarani. Nyie mnaomiliki vyombo vya moto mngenipenda sana.
  9. Askari wa usalama barabarani Mafinga ni kero

    Wasalaam, Siku mbili izi kuna video ya Waziri wa mambo ya ndani ya nchi akiongea na viongozi wa vyombo vya usalama imeonekana kwenye mitandao ya kijamii. Waziri huyo alionekana akiwalalamikia sana traffic kwa kufanya kazi bila kuzingatia sheria, utu pia kufanya overcrowding barabarani, unakuta...
  10. Traffic watoke barabarani wahamie kwenye barakoa

    Kupanga ni kuchagua, kwasasa traffic polisi wabaki wachache barabarani wahamie kwenye kuzuia vifo vinavyotokana na COVID-19. Taifa lihamishie nguvu zake kwenye CORONA pia kwa kuwapeleka Polisi wengi sehemu zenye mikusanyiko mikubwa Kama stand, masokoni, bank, nk ili kuhimiza kunawa mikono...
  11. A

    Traffic na Askari wa Tochi Kateshi

    Assalaam, Naomba nianze kwa kuwapongeza askari wa usalama barabarani kwa utendaji mzuri sehemu mbalimbali Tanzania. Nilichokiona Katesh siku ya trh 12/4/2020 sio cha kiungwana na kinaondoa uadilifu wa jeshi. Binafsi niliandikiwa faini kwa kosa la kuendesha gari kwa spidi ya 57/h. Kadhalika...
  12. Hivi Traffic Police wa Kongowe Mwisho na SUMATRA, mnafahamu uhuni wa daladala za Kigamboni - Mwandege au mnakula 10%?

    Nimekuwa mtumiaji wa hii route ya KIGAMBONI mpaka KONGOWE kwa muda mrefu nikiwa na safari kati ya Kigamboni na Mkuranga. Kwa ujio wa safari za daladala kati ya KIGAMBONI na MWANDEGE nilipata ahueni ya nauli na muda.. Na hii route madereva na makonda wengi walikuwa wakiipigia kelele...
  13. Je, inawezekana taa za barabarani kuongoza magari kuliko kukaa trafiki?

    WANAJAMVI, hebu leo tujumuike kujadili hili swala la barabarani ambalo imekua kero kwa muda mrefu sana. Kitu kimoja ambacho mimi huwa kinanitia hasira ni jinsi traffic wanavocontrol juntion kwa upendeleo, yani kama wale tunaopita njia ya morrocco kwa kuelekea kawe ni matatizo mkuu, unaweza kukaa...
  14. SUMATRA na Traffic Police

    Naomba kuwauliza swali, mnapoingia kwenye mabasi na kufanya ukaguzi huwa mpo serious au mnafanya maonyesho tu! Picha hii hapa ni ya moja ya viti vya bus la Nyehunge kutoka Mwanza - Morogoro Vngi ya viti vimenyofoka na mingi ya mikanda ya usalama nayo ni kama inavyoonekana
  15. Kama idadi ya wanaokutembelea nyumbani kwako ni ndogo, usitegemee kupata traffic kubwa mitandaoni

    Kanuni ndio hiyo, Mafanikio yako mtandaoni yanapimwa na mafanikio yako in the real World! Ukitaka kuwa na accounts kama Youtube insta mategemeo ya kupata watu wengi wa kutembelea pg yako yanaakisiwa na namba ya wanaokutembelea kwako au hata kukucheki kwenye simu.
  16. Researcher at WWF (TRAFFIC)

    Position: Researcher Short term assignment (60 days) About us: TRAFFIC is the International wildlife trade monitoring network working in alliance with WWF (World Wide Fund for Nature) and IUCN – The International Union for the Conservation of Nature, is seeking a Researcher to implement the...
  17. V

    Traffic Police na mashine za kupiga faini

    Mashine za kutoza ushuru zimekuwa ni sehemu ya uniform kwa traffic police sasa hivi. Naweza kusema kila Traffic polisi watatu unaowaona barabarani wawili wana hizi mashine za kulipia faini kwa makosa ya barabarani. Fedha zinazokusanywa ni nyingi sana lakini fedha hizi hazitumiki katika kutoa...
  18. K

    Naomba kuelekezwa jinsi ya kutengeneza Google Adsense

    Naomba kuelekezwa jinsi ya kutengeza site, kupata traffic na kuiunga na Google Adsense.
  19. Misafara ya viongozi inachosha, inatesa na kurudisha nyuma maendeleo, IGP Sirro peleka Traffic Sweden kujifunza misafara ya wenzetu, Time is Money!

    Wanabodi, Leo tena nimepata fursa ya kuendelea na zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" Ukiondoa thamani ya uhai, hakuna kitu kingine duniani chenye thamani kama muda, time is money, kupotezeana muda ni kuzorotesha maendeleo. Niko njia ya Bagamoyo eneo la Mbezi Tangi Bovu, tumesimamishwa...
  20. B

    Kipi minasababisha foleni kati ya Mataa 🚥 na Matrafki

    Habari zenu wadau, Tafadhali rejea kichwa cha habari hapo juu. Hivi hapa Jijini Dar es salaam nini haswa chanzo cha foleni katika barabara zetu kati ya taa za barabarani au traffic? Je, trafiki ni chanzo, maana wanasimama mpaka kwenye roundabout, barabara za mitaani pamoja na kwenye maeneo...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…