Sio Biden wala Trump anafaa kuwa Rais, wote ni wahuni tu.
Yaani mnataka kunambia Marekani yenye watu karibia milioni 400 wamekosa wagombea wenye akili timamu na wanaofaa hadi kugeuka kuwa "ving'ang'a" wa hivi vibabu viwili?
Yaani nchi yote wamekosekana watu wenye utimamu hadi wapewe hao vibabu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.