trump

  1. G

    Netanyahu: Hakujawahi kuwa na rafiki mkubwa wa Israel kutoka ikulu ya Marekani wa kumzidi Donald Trump

    Na kweli ukiangalia kipindi chake Iran ilifulia vibaya mno, walibanwa kisawa sawa kwenye uchumi, Ni kipindi ambacho Iran na vikundi vyake walikuwa wanajifikiria mara nne nne kuishambulia Israel. Kwa upande mwengine, Biden alikuwa kinyuma pengine kuzidi marais wote, Kawalegezea vikwazo Iran...
  2. kwisha

    Waziri Mkuu wa Canada na Rais Mexico wamekataa kuwa wanyonge mbele ya Trump

    Baada ya Rais donald trump wa marekani kupost kwenye mtandao wake wa X kuwa bidhaa yeyote inayotoka canada,Mexico na china zitaanza kuliko ushuru wa 25% ya bidhaa izo kabla ya kuingia usa kitu ambacho kwa mawazo ya trump anaamini kitakuza uchumi wa Marekani Na pia kitafanya company nyingi za...
  3. G

    Biden kainyima Israel silaha wakubali ku "pause" vita, zimebaki siku 60 Trump kipenzi cha Israel kuapishwa, Vikundi vya Iran vitapata taabu sana

    Kinachoendelea white house Biden kabakiza siku 60, anafanya kila namna kumsagia kunguni Trump na kulazimisha apewe sifa kwa mabavu. Kairuhusu Ukraine itumie makombora ya masafa marefu kwa lengo la kuchochea vita, Trump aingie madarakani vita ikiwa ngumu sana kuisuluhisha, Mpango huu kwa kiasi...
  4. Mi mi

    Canada, China, Mexico wajiandae dhidi ya Trump

  5. M

    Wekezeni kwenye Crypto ya XRP kabla Trump hajaapishwa mtakuja kunishukuru.

    Mzuka Wanajamvi Nikusaidiana katika mbinu mbali mbali za kuutafuta utajiri ili tuendeshe maisha yetu kiurahisi na kuleta maendeleo yetu binafsi, kwa waliotuzunguka na taifa kwa jumla. Kumbukeni money is power. Money is the engine of life and money stops nonsense and bring respect. Elon Musk...
  6. Suley2019

    Trump afutiwa kesi ya kuingilia matokeo ya uchaguzi 2020

    Rais mteule wa Marekani Donald Trump ameondolewa mashtaka yaliyokuwa yakimkabili, wakati akielekea kuapishwa kama rais wa 47 wa Marekani Januari 20, 2025. Kulingana na kituo cha VOA, Jaji wa Mahakama ya Washington, Tanya Chutkan Jumatatu aliondoa mashtaka ya kuingilia matokeo ya uchaguzi wa...
  7. U

    Seneta John Thune asema Marekani kuiwekea vikwazo ICC ikithubutu kutoa hati ya kukamatwa Netanyau au viongozi wengine

    Jisomeeni wenyewe hapo chini kwa kimombo: Times of Israel Incoming Senate majority leader threatens ICC with sanctions over case against Israelis Senator John Thune warns US will impose restrictions on International Criminal Court if it moves ahead with arrest warrant requests against...
  8. P

    Salam kutoka kwa Trump: Thanks giving week

    Kuanzia wiki hii, Marekani kumekuwa na shamrashamra za Thanks Giving ambayo inashehekewa kila Alhamis ya mwisho ya mwezi wa 11. Hata hivyo burudani huwa zinaanza kitambo. Mimi kwa mwaka huu nashukuru kuwa hai, kuwa Marekani na saa hizi nimeona nijipige unywaji. Nimejinunulia mavitu mazito ili...
  9. G

    Marais wa Marekani Biden na Trump wapo hatarini kukamatwa na ICC kwa kushirikiana na Netanyahu

    Siku ya Leo ICC imetoaa kibali cha kumkamatwa waziri mkuu wa Israel Netanyahu, kiongozi mwengine maarufu aliewekewa kibali cha kukamatwa ni Rais wa Urusi, Putin. ICC ina haki ya kuwakamata washirika wakuu wa Netanyahu ambao ni marais wa Marekani Biden na Trump kwasababu wanatoa ushirikiano...
  10. jmushi1

    Putin anamkebehi Trump?

    Kuna wakati ziliibuka tuhuma kwamba Trump ni “compromised” na Russia. Kwamba wana video zako kwenye mahoteli yao huko ambako alikuwa akipenda kwenda, kuwekeza na pia kushiriki masuala ya mashindano ya walimbwende wa Miss Universe. Hiyo ni habari nyingine, lakini hapa chini ni habari ambayo...
  11. M

    Amechaguliwa na Mungu': Wakristo wanaomwona Trump kama mwokozi wao

    Amechaguliwa na Mungu': Wakristo wanaomwona Trump kama mwokozi wao Akiwa amesimama kwenye jukwaa katika kituo cha mikutano cha Florida usiku wa uchaguzi, safu ya bendera za Marekani nyuma yake na umati wa watu wenye furaha wakitazama, Donald Trump alisema: "Watu wengi wameniambia kwamba Mungu...
  12. R

    Donald Trump declares war on LGBTQ

    Salaam, Shalom!! HAKIKA Donald Trump ni mtumishi wa Mungu aliye juu, Hivi Leo ametangaza vita na Taasisi zote zinazojuhusisha na kubadili JINSIA Kwa wamarekani akidai hii ni kinyume na mapenzi ya Mungu. Amedai kuwa, ilifika time mzazi aliweza kubadili JINSIA ya mtoto wake wa kumzaa bila hata...
  13. Khanji kapoor

    Kwa wale tusiokuwa na makaratasi ya kukaa hapa state tupeane mbinu za kukwepa mass deporting ya huyu mzee Trump

    Harakati za mtu mweusi zinaendelea Lazima tukubali bepari Trump ameshinda uchaguzi na wazungu wamepiga kura za hasira kwa mzungu wao Biden kukatazwa na kina Obama asigombee Wazungu walikasirika Sana hata wasiokuwa na mpango wa kupiga kura wakajitokeza Sasa tunaoishi hapa bila makaratasi...
  14. econonist

    Trump aanza mazungumzo ya siri na Iran

    Rais mteule wa Marekani Donald Trump, ameanza mazungumzo ya siri na Iran ili kufikia makubaliano. Mazungumzo haya yalifanyika kwenye eneo lililochaguliwa na Balozi wa Iran kwenye umoja wa mataifa. Trump aliwakilishwa na Elon Musk kwenye mazungumzo hayo na Iran iliwakilishwa na Balozi wa Iran...
  15. U

    Kituo cha siri cha kijeshi cha utafiti wa silaha za nyuklia cha Iran kilisambaratishwa shambulizi la mwezi uliopita la IDFS

    Hatimaye siri zaanikwa hadharani Kituo cha kijeshi cha Parchin kilikuwa na vifaa vya kubuni milipuko kwa ajili ya matumizi katika bomu la nyuklia. Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Nishati ya Atomiki (IAEA) ametembelea maeneo ya nyuklia ya Iran, huku Iran ikiripotiwa kuahidi kwamba haitajaribu...
  16. Khanji kapoor

    Ivanka Trump yupo wapi au mzee Trump ashambwaga?

    Huyu mke wa Trump mbona simwoni. Sana kwenye media siku hizi. Kipindi Trump yupo Rais walikuwa wanapendeza mno wakiwa kwenye lile dege wakitembelea nchi kadhaa. Lkn Simeon tena yule mama mzuri sijui kamkorofsha nn mzee bepari. Tumwombe Trump asimsahau kwenye teuzi.
  17. Mkongwe Mzoefu

    Ni tokea Kikwete apandishe pension ya wastaafu wa Hazina toka 25,000 hadi Laki moja miaka 20 iliyopita hajatokea tena

    Mtu katumika maisha yake ya ujana kwa taifa, wengine wamepigana hadi vita ndani na nje ya nchi kwa uaminifu mkubwa lakini ndani ya miaka 20 hakumbukwi na hapo kazidi kuwa kikongwe lakini hakuna kiongozi au wabunge (ukiacha Esta Bulaya, Mungu ampe maisha marefu) anaye jali. Ni tokea Kikwete...
  18. P

    Baada ya ushindi wa Trump hii ndio namna nyepesi ya kufika Marekani

    Nawapa hii mbinu wala msinishukuru. Kuja kwa Turampu ni vere ize. Angalia video below.
  19. PureView zeiss

    Shangwe zatanda baada ya Trump kumteua, rafiki wa Netanyahu Mike Huckabee kuwa Balozi wa Marekani nchini Israel

    Mchungaji wa Kanisa la Baptist aliyekuwa Gavana wa Jimbo la Arkansas kwa miaka 11. Rafiki wa Netanyahu na mtu aliyewahi kusema hakuna kitu cha Mpalestina. Mike Huckabee ameteuliwa na Trump kuwa Balozi wa Marekani nchini Israel.Trump amesema Mike anaipenda Israel na watu wa Israel Huyu Mzee ni...
  20. Mtoa Taarifa

    Trump amteua Elon Musk kusimamia Idara Mpya ya kuondoa Urasimu na Kuhakiki Utendaji wa Serikali

    Rais mteule wa US Donald Trump amemteua Elon Musk kuongoza Idara mpya ya Ufanisi wa Serikali (Doge) kwaajili ya utawala wake ujao. Alitangaza kwamba Vivek Ramaswamy, mwekezaji wa kibayoteki, atafanya kazi na mwanzilishi wa Tesla kwenye mradi wa "kuondoa" urasimu Serikalini US President-elect...
Back
Top Bottom