tujadili

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. H

    Naomba tujadili hili kwa maana huko mbeleni litakuwa shida

    Nimeona nchi nyingi zimeanza kuwapa uraia watu tunaosema special talent wenye elimu za juu sijui ma Dr bingwa na wengine muhimu wafikie vigezo walivyojiwekea. Jambo hili nchi za Ulaya au USA ilikuwa na mpaka leo unapata uraia kwa njia nyingi na haibagui mtu. Dhumuni la kuleta hii issue hapa...
  2. R

    Tujadili: Hakainde Hichilema, Rais wa Zambia, amewafukuza Makamishina wa polisi kwa kukiuka maadili ya kazi zao wakati wa Lungu

    Swali: 1. Hawa walikuwa wanatekeleza amri za Lungu, sasa unamuachaje Lungu ambaye alikuwa anabariki mateso yote? 2. Kama Lungu alitenda makosa nje ya mamlaka yake, kwa kuvunja katiba na sheria za nchi, ukimwajibisha kwa HAKI ni makosa? 3. Kwa walioonewa na kukosewa haki zao za msingi na...
  3. Determinantor

    Tujadili hii kauli "There's nothing more dangerous than a resourceful idiot". Scott Adams

    JF kuna brains kweli kweli, au nasema uongo ndugu zangu? Hebu kwa akili zetu tujaribu kwa utulivu kujadili hii Kauli ya huyu jamaa inayosema "There's nothing more dangerous than a resourceful idiot" ya Msomi mwenzetu Scott Adams ukiweza kuweka na ka mfano kakachombeza kwa mbali itapendeza. Kama...
  4. Robert Heriel Mtibeli

    Hii ndio Orodha ya makundi ya watu wanaohitaji Katiba Mpya na wasiohitaji

    HII NDIO ORODHA YA MAKUNDI YA WATU WANAOHITAJI KATIBA MPYA Na, Robert Heriel Mjadala unaoendelea katika Siasa mitandaoni ni ishu ya Katiba. Wanaohitaji Katiba Mpya wamegawanyika katika makundi Yafuatayo; 1. Wanasiasa hasa wa vyama vya Upinzani 2. Wanasiasa upande wa Zanzibar. 3...
  5. Pac the Don

    Freemam Mbowe: Tumekataa ruzuku na nafasi 19 za Wabunge. Tunataka vitu vya haki

  6. B

    Tujadili Hotuba ya Mh. Rais Yoweri K. Museveni

    12 May 2021 Kampala, Uganda Ceremonies for the 6th swearing-in of President Yoweri Museveni started early in Kololo, Kampala on Wednesday 12, May 2021 President Museveni’s full speech on his inauguration for the sixth term in office Your Excellencies, The people of Uganda and myself, welcome...
  7. Samcezar

    Hebu tujadili kuhusu 'blended family'

    Habari. Kwa wale mliokimbia Civics, blended family ni aina ya familia ambapo mwanaume ambaye ana watoto wake aliopata na mwanamke mwingine anaingia katika ndoa na mwanamke ambaye na yeye anakuja na watoto wake aliopata na mwanaume mwingine. Kisha hawa wawili wanapata watoto wao pamoja na kuunda...
Back
Top Bottom