tukutane

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. ngara23

    Masaa 72 Yanga waliowapa TPLB yamekwisha, Sasa tukutane CAS

    Tukumbuke tarehe March 10, 2025. Yanga waliandika barua Kwa bodi ya ligi kudai haki Yao ya magoli 3 pamoja na points 3 na fidia ya Tshs million 56,435,000 baada ya uvunjifu wa mchezo ambao ulikuwa ufanyike tarehe 8 March Simba waliwashinikiza bodi ya ligi katika hali isiyo ya kawaida bodi ya...
  2. I am Groot

    Okay...! Vijana wenzangu chini ya miaka 40 kuna kamjadala hapa. Tukutane utupe maoni yako!!

    Ungependa kuishi mpaka miaka 40 tu lakini uwe na MAISHA YA KIFAHARI, au mpaka miaka 80 lakini uishi MAISHA YA KAWAIDA?" ~ Tudondoke hapo chini.
  3. Davidmmarista

    Hackers tukutane hapa!

    SASA RASIMI PI IMEKUWA LISTED KWA THAMANI YA $0.2 ILIPANDA MPAKA 3 ILA SASA INASHUKA IPO 1.2 NA ITAZIDI KUSHUKA SABABU WATU WANAUZA SANA CRYPTO NDIO ILIVYO PI ILISHINDWA MALENGO YAKE TOKA ZAMANI YA KUFANYA MODE OF TRADING KWA BEI YA GVC, HIVO KUTOWAANGUSHA WATU WAKE WAKAIINGIZA KATIKA CRYPTO...
  4. Davidmmarista

    Hackers tukutane hapa!

    White hat hackers mpo wapi? Cyber security experts let us meet here and exchange different ideas.
  5. Faana

    Tuliopitia nyakati hizi tukutane tukumbuke changamoto tulizopitia

    Nakumbuka siku hizo za kwanza nikifundishwa haya mambo pale LearnIT kwa wahindi Greens street
  6. Dear_me_

    Tukutane mwezi April. (Mwendokasi)

    Usafiri wa mwendokasi unazidi kuzidiwa nguvu kila siku. 🥲 kwa nini wasipunguze adha kuwa kuleta ata 20 Leo kuna mtu kamshika mwenzie shingo akijua ni nguzo Mwendokasi Mwendokasi Mwendokasi Huu ujio wa magari umepigwa sana tarehe mnaishia kupiga nayo picha tu.
  7. Narumu kwetu

    Kwa wale Wachaga wa Narumu tukutane hapa

    Kwa wale wote mliozaliwa Narumu tukutane hapa, ruksa pia ambao hamkuzaliwa ila wazazi ni Wanarumu, mimi nimezaliwa Narumu kijiji cha Usari Isareni, Mzee Ketani Mambito ni jirani yangu, Narumu inapatikana Wilaya ya Hai Mkoa wa Kilimanjaro imepakana na Wilaya ya Moshi DC kwa upande wa mashariki...
  8. M

    Wazazi wenye watoto wenye mahitaji maalumu tukutane hapa

    Wazazi wenye watoto wenye mahitaji maalumu tukutane hapa. Autism (Usonji) Visual impairment -kutokuona Hearing impairment- kutosia Ulemavu wa viongo n.k Kuna kituo kizuri Sana kina na boarding hapo hapo. Kipo mikocheni A Kijana wangu yupo hapo nimeona there's some improvement kubwa .
  9. DexterLab

    Tuliokosa ajira UHAMIAJI 2025 tukutane.

    Salamu, ndugu jobless wenzangu, hivi sisi tusiokuwa na koneksheni tufanye Nini tutoboe? Maana Kila post ya ajira za vyombo vya dola tunalishwa maneno kwamba "Bila mbanga huko juu hutoboi, nenda kaokote maembe TU bablai" So, tunatokaje hapo? Nawasilisha. Uzi tayari.
  10. Intelligent businessman

    Tusio na Magari tukutane hapa

    Mimi Kama raisi wa ma jobless pro max, nime ona niitishe kikao cha dharura. Lengo la kuitisha kikao ni kujua idadi ya ma jobles tusio na magari, humu jf maana kila uzi ninao tembelea idadi kubwa ya member ni mataita. Tuki ijua idadi yetu, tuna weza tukawa tuna waomba lift hawa ma don😆😂. I...
  11. Nrangoo

    Wale wenye malengo ya kuoa/kuolewa mwaka huu 2025 tukutane hapa!

    Habari wadau ... Miaka inakwenda hairudi nyuma, kuna wale wenzangu walio na malengo ya kuoa / kuolewa kabla ya mwaka huu wa 2025 haujaisha. Hebu tupeane mikakati hatua tulizofikia, Inaweza kuwa : 1. Unaye mchumba serious 2.Umetoa / Tolewa Posa 3.Tiyari umetoa/Tolewa mahari 4...
  12. Pdidy

    Tukutane kwa Dkt. Mwamposa nipo njiani kwenda Kawe

    N vyema ukauona MWAKA ukiwa kwenye madhabahu ya Mungu Tukutane Kawe kwa Mwamposa Happy New Year in Advance
  13. Yesu Anakuja

    Tulioumizwa viwanja Jiji & Kamishna Mkoa Dodoma 2024 tukutane hapa!

    Wife yupo Dodoma huko serikalini, nafanya shughuli zangu DSM, tangu enzi za magufuli kuhamisha watumishi nikasema ninunue viwanja kadhaa, ashukuriwe Mungu vingine nilijenga na nilipata wapangaji wazuri, in the process kujenga vingine nikaja gundua kumbe ni viwanja hewa, vina double allocation...
  14. ngara23

    Tuliosoma SAUT MWANZA ( main campus) tukutane hapa

    Binafsi nimepata maari ya kutosha kutoka saut Mwanza Nimehitimu pale 2015 Chuo cha SAUT kimetoa wanasiasa wanaojiamini na wanalitumikia Taifa Kwa uadilifu Baadhi ya wanasiasa ni Naibu waziri mkuu Ditto Biteko, David Kafulila, Heche, Malisa, n. K Mtu aliyesoma SAUT laZima awe na maarifa ya...
  15. Teslarati

    Wakubwa tukutane hapa mida yetu ya kula sikukuu ikifika.

    Niko hapa nina mialiko minne ya sikukuu na bado sijarudi mkoani kwa mama yoyoo. Sitaki kuwakera maboss zangu walionialika kwa hio nimejigawa, jana usiku nimekesha kwa mmojawapo. Leo saa nne nmeenda kula supu ya jogoo shababi kwenye mwaliko wa pili, hapa naelekea kwenye mualiko wa tatu nikaguse...
  16. Bird Watcher

    Tunaotumia Sim Card(Line) Moja tukutane apa

    Wakuu Mimi natumia Sim card moja tu, Kuna baadhi ya watu wamekuwa wakishangaa Ila Kiukweli naenjoy kuwa na Line moja tu
  17. ndege JOHN

    Tuliohamia makwetu 2024 kabla hata ujenzi hujaisha tukutane hapa kutiana moyo na kupeana changamoto

    Uzi maalumu kwa wale baba wenye nyumba walioamua 2024 liwalo na liwe wamefanikiwa kuhamia kwao na maisha yanasonga na hawalipi tena kodi bali wanaweza hata kugombea ujumbe wa nyumba 10 tukutane hapa. Wengine shida maji wengine umeme na wengine usafiri.vp una solve ishu hizo kuzirahisha.mpewe...
  18. MAKANGEMBUZI

    Tuliopiga sana pesa za udalali kwenye biashara na bado life gumu tukutane hapa

    Bwana bwana miaka ya 2018-2020 kuna goli(duka) la magodoro nilikuwa nauza maeneo ya kinyerezi location ya duka haikuwa mbaya ilikuwa nzuri sana opo road kabisa na wanunuaji wengi walikuwa kipato cha kati. Sasa bwana ilikuwa akija mteja ni lazima apigwe udalali kama bei ya kuuza ni tsh 200,000...
  19. MFALME WETU

    Wale tuliopoteza muda shule kusoma tukutane hapa

    ANGALIZO: Huu uzi hauwahusu wale ambao bado wapo kwenye industry ya Elimu bali ni kwa wale waliokwishatoka nje ya Game tu ⚠️ Ughonile.. kuna muda nikiwa idle nakumbuka muda niliopoteza shule kusoma hususani kuanzia A-Level na University naishiwa nguvu, nikitazama vyeti vyangu, nikiangalia...
  20. Melancholic

    Wapenzi wa muziki wa trance na Eletronic Dance tukutane hapa

    Mimi nimekuwa mpenzi na muumini mkubwa wa nyimbo za trance na electronic karibuni tushee vitu mbali mbali juu ya mziki huu mzuri
Back
Top Bottom