tume huru ya uchaguzi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mkalukungone mwamba

    Pre GE2025 CHADEMA na wadau wengine kuishtaki Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC)

    MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, amesema chama hicho kwa kushirikiana na wadau wengine, kiko kwenye mchakato wa kwenda mahakamani kuishtaki Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC). Lissu, mtaalam wa sheria na mbunge wa zamani wa Singida Mashariki, amesema...
  2. Mindyou

    Pre GE2025 Waandikishaji wa Tume Huru ya Uchaguzi waapishwa ili "kutunza siri" za ukumbi wa Halmashauri. Ni siri gani wanazopaswa kutunza?

    Wakuu, Naona zoezi la uandikishaji linazidi kuwa la moto, naona waandikishaji sasa hivi washaanza kula viapo huko Kwenye taarifa ya tume hawa waandikishaji wameapa "kutunza" siri za Ukumbi wa Halmashauri. Sasa najiuliza hizi siri wanazotakiwa kutunza ni zipi ambazo wananchi hawatakiwi kujuq...
  3. Tlaatlaah

    Pre GE2025 Kiongozi wa CHADEMA anadai hakutakuwepo na uchaguzi mkuu Oktoba, ingawa ni wazi atachukua fomu ya kugombea Urais

    Kama sio hadaa na utapeli wa kisiasa kwa wanachama weke ni nini? Maana ni wazi ndugu zangu kwamba, kama yeye kwa ubinafsi wake amepima na kujitathmini kwamba kwa nafasi anayotarajia kugombea atashindwa uchaguzi huo vibaya sana, Yanini sasa kuwaburuza wagombeaji wa nafasi zingine mathalani za...
  4. R

    Paschal umetuaibisha JF, kwamba Watanzania tukampigie magoti Mwenyekiti wa kijani kuomba Tume huru ya Uchaguzi na Katiba mpya!

    Kumbe kusoma shule Moja na TUNDU Lissu, Si kuwa na Maarifa, Yaani ilboru iliyomtoa TUNDU Lissu Kwa walimu wale wale, ndiyo pia imemtoa Pasco mayalla anayetuaibisha JF tuonekane wale wale! Yaani Watanzania twende tena kumpigia magoti Mwenyekiti wa kijani Ili atupe hisani ya kubadili Katiba mpya...
  5. Carlos The Jackal

    Pre GE2025 Lissu usikubali kamwe Kuingia kwenye Uchaguzi , bila Mabadiliko ya Tume huru ya Uchaguzi, Usikubali kamwe, CCM haiaminiki Kwa Maneno tu!

    Najua Kuna presha ya kipuuzi inayorushwa kwako, ohooo hata kama hamna Mabadiliko ,Ingieni tu Kwa uchaguzi. Ohooo Kauli mbiu yako inalengo la kuleta machafuko!!. Na Ma blaah blaah mengi.!!. Sasa MH LISSU kataa katakata kuwapa CCM sababu za kuhalalisha uporaji wa Uchaguzi . CCM wasikudanganye...
  6. Carlos The Jackal

    Uzuri wa LISSU hatungi, Hotuba zake zote Hurejelea yalosemwa huko nyuma, Suala la Katiba, Tume huru ya uchaguzi lilisemwa na tume ya Jaji Nyalali !

    Yakasemwa na tume ya Jaji Kisanga, yakarudiwa na tume ya Jaji Bomani yakaja kurudiwa zaidi na tume Jaji Warioba.( Hizo ni tume zilizoundwa na wasomi huru sio machawa). Ukweli ni kwamba , wajinga wengi , wasopenda kusoma Wala kufatilia, ambao hata hawajui chochote kuhusu hizi time zote...
  7. T

    Aliyekuwa mwenyekiti wa tume huru ya uchaguzi na mipaka (IEBC) Wafula Chebukati amelazwa ICU

    Vyanzo vya taarifa nchini Kenya vinaeleza kuwa Wafula Chebukati yupo mahututi na amelezwa ICU == Familia ya Mwenyekiti mstaafu wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) Wafula Chebukati imethibitisha kuwa amelazwa katika chumba cha wagonjwa mahututi ICU katika hospitali moja ya Nairobi. Bw...
  8. R

    Pre GE2025 Pakifanyika Reforms kwenye Katiba kupata Tume huru ya Uchaguzi, Watanzania wanaweza kuiamini na kuipigia kura CCM, tuondoe hofu

    Hellow Tanzania. Nani anaingiza HOFU ndani ya chama Cha MAPINDUZI kuwa, pakifanyika Reforms kwenye Katiba tukapata Tume huru ya Uchaguzi, kwamba CCM itaanguka na kushindwa vita ya Uchaguzi mkuu? CCM Ina mtajj mkubwa wa wanachama Nchi nzima, na wamefanikiwa kumtangaza Mwenyekiti wa chama kwenye...
  9. figganigga

    Pre GE2025 Tundu Lissu: Tubadilishe tarehe ya Uchaguzi Mkuu kwa Miaka miwili ili tuwe na tume Huru

    Tundu Lissu: Tubadilishe tarehe ya Uchaguzi Mkuu kwa Miaka miwili ili tuwe na tume Huru. Waati akihutubia Maelfu ya Watu huko Mkoani Singida hii leo, amesema Uchaguzi uahirishwe. Amesema kuliko kufanya Uchaguzi katika mazingira haya ya sasa, Bora tarehe ya Uchaguzi isogezwe mbele kwani tarehe...
  10. K

    Tume Huru ya Uchaguzi Tanzania iige mfano wa Kenya

    Nchi ya Tanzania inatakiwa iige utaratibu wa Tume Huru ya Kenya. Kupata Mwenyekiti na Makamishna wa Uchaguzi wanatakiwa wapatikane kwa njia ya haki. Mfano wiki hii kule Kenya wametangaza nafasi ya Mwenyekiti na Makamishna wa Tume Huru ya Kenya na sharti ni kuwa anayetaka nafasi hizo ni lazima...
  11. Mindyou

    Pre GE2025 Stephen Wassira: Wanaosema Uchaguzi haufanyiki hadi reform, hiyo ni ndoto ya mchana. Uchaguzi utafanyika na CCM ijiandae kushinda!

    Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) bara, Stephen Wasira amesema Uchaguzi Mkuu ujao (2025) utafanyika kama utakavyopangwa na Tume Huru ya Uchaguzi nchini (INEC). Wasira ametoa kauli hiyo alipokuwa akihutubia wafuasi wa chama hicho katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza leo...
  12. K

    Pre GE2025 Ushauri kwa Tume Huru ya Uchaguzi (INEC)

    Ili kuhakikisha uchaguzi Mkuu wa mwaka huu 2025 unakuwa HURU na HAKI hakikisheni mnaajiri wahitimu wa Vyuo mbalimbali waliopo mitaani na kamwe ajira hizi zisitolewe kwa Watumishi wa Serikali. Wapinzani wamelalamika sana juu ya mwenendo mzima uliosimamia chaguzi zilizopita kuwa zilikuwa za...
  13. Mindyou

    Pre GE2025 Mwenyekiti Tume Huru ya Uchaguzi: Hudumieni vizuri wateja wenu, kwa upole na waelekezeni kwe unyenyekevu

    Wakuu, Akiwa anaongea kabla ya mafunzo kwa waandishi wasaidizi na waendesha vifaa vya bayometriki huko Tanga, Mwenyekiti wa Tume Huru ya UchaguziJaji Rufaa Jacobs Mwambegele amewahasa waendesha vifaa hivyo kuwahudumia ka upole na umyemyekevu wakati zoezi hilo likiendelea
  14. figganigga

    Pre GE2025 Orodha ya Asasi za kiraia zilizopata kibali kutoa Elimu ya Mpiga Kura wakati wa Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura 2024/2025

    ORODHA YA ASASI ZA KIRAIA ZILIZOPATA KIBALI CHA KUTOA ELIMU YA MPIGA KURA WAKATI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA 2024/2025 JINA LA ASASI YA KIRAIA 1. The Tunu Pinda Foundation 2. Makangarawe Youth Information and Development Centre 3. Save the Community Tanzania 4. Yiaga...
  15. Mkalukungone mwamba

    Pre GE2025 Oscar Oscar: Ipatikane tume huru ya uchaguzi, kurudisha heshima ya upigaji kura

    Mtangazi wa kipindi cha Jana na Leo cha Wasafi FM Oscar Oscar amezugumza pointi nzuri sana, kuliko wale machawa wakina Kitenge kufika hatua ya kuimba hadi nimbo za CCM mbele kwa mbele. =================== Kwa Nchi kama ya kwetu idadi ya wapiga kura inapaswa kuongezeka kuliko kupungua kama...
  16. R

    Pre GE2025 Free Dr Slaa, tunamuhitaji kudai Tume huru ya Uchaguzi na Katiba mpya kabla ya Oct 2025

    Hellow Tanganyika! Mzee Slaa ameshiriki kiasi kikubwa kuleta mabadiliko ya Fikra Nchi hii, mchango wake ni wa kupigiwa mfano. KAZI iliyo mbele yetu ni kulazimisha mfumo huu kandamizi kusikiliza, kutii na kutekeleza matakwa ya umma wa wananchi Watanzania tutakao mabadiliko ya Kweli kimfumo Ili...
  17. K

    Pre GE2025 Ushauri wa upendo kwa Tume Huru ya Uchaguzi

    Kama inavyofahamika kuwa mwaka huu ni mwaka wa uchaguzi mkuu kwa ushauri wa upendo kabisa muanze kujipanga vyema na madudu yaliyojitokeza kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa yasijirudie kwenye usimamizi wenu. Pili ni vema mkaangalie uwezekano wa kuwaajiri watumishi wenu nchini kote waigeni...
  18. A

    DOKEZO Dhulma inayofanywa na maafisa Uchaguzi wa Tume Huru ya Uchaguzi katika Jimbo Njombe Mjini kwa Waandikishaji wasaidizi na BVR

    Licha ya tangazo la mwaka 2024 la kutangaza nafasi za Kazi ya Muda ya waandikishaji wasaidizi na BVR OPERATORS kuaininsha malipo ya Kazi kuwa ni tsh 50,000 Kwa siku na yatalipwa Kwa siku zote za Kazi yaani siku Tisa pamoja na nauli ya kila siku tsh 10,000 Kwa siku zote Tisa za Kazi. Na ndivo...
  19. The Palm Beach

    Exclusive Interview: Tundu Lissu amwakia mwandishi kwa kutokujua maana ya "Tume Huru ya Uchaguzi". Bila mfumo mpya wa uchaguzi hakuna uchaguzi 2025

    Courtesy: Mwanahalisi online TV In summary: 1. Amkemea mwandishi kwa kusisitiza kuwa, serikali ilishafanya mabadiliko waliyoyataka ya kuundwa "Tume Huru ya Uchaguzi". Yeye amkemea na kumwambia: "....kama unaamini kuwa kilichopitishwa na Bunge mwanzoni mwa mwaka huu ni Tume Huru ya Uchaguzi...
  20. Mindyou

    Vyama 3 vya upinzani vyaungana kupendekeza Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kusimamiwa na Tume Huru ya Uchaguzi (INEC)

    Wakuu, Hivi vyama vya upinzani vilikuwa wapi kabla ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kuanza? Yaani Uchaguzi umeisha ndo wanaanza kutoa maoni? Maoni haya yana umuhimu gani sasa hivi kama CCM wameshapora Uchaguzi na kushinda asilimia 99? Naanza kuamini hivi vyama kweli ni CCM B...
Back
Top Bottom