tunisia

Tunisia, officially the Republic of Tunisia, is the northernmost country in Africa. It is a part of the Maghreb region of North Africa, and is bordered by Algeria to the west and southwest, Libya to the southeast, and the Mediterranean Sea to the north and east; covering 163,610 km2 (63,170 sq mi), with a population of 11 million. It contains the eastern end of the Atlas Mountains and the northern reaches of the Sahara desert, with much of its remaining territory arable land. Its 1,300 km (810 mi) of coastline include the African conjunction of the western and eastern parts of the Mediterranean Basin. Tunisia is home to Africa's northernmost point, Cape Angela; and its capital and largest city is Tunis, located on its northeastern coast, which lends the country its name.
From early antiquity, Tunisia was inhabited by the indigenous Berbers. Phoenicians began to arrive in the 12th century BC, establishing several settlements, of which Carthage emerged as the most powerful by the 7th century BC. A major mercantile empire and a military rival of the Roman Republic, Carthage was defeated by the Romans in 146 BC, who occupied Tunisia for most of the next 800 years, introducing Christianity and leaving architectural legacies like the amphitheatre of El Jem. After several attempts starting in 647, Muslims conquered all of Tunisia by 697, bringing Islam and Arab culture to the local inhabitants. The Ottoman Empire established control in 1574 and held sway for over 300 years, until the French conquered Tunisia in 1881. Tunisia gained independence under the leadership of Habib Bourguiba, who declared the Tunisian Republic in 1957. Today, Tunisia is the smallest nation in North Africa, and its culture and identity are rooted in this centuries-long intersection of different cultures and ethnicities.
In 2011, the Tunisian Revolution, triggered by the lack of freedom and democracy under the 24-year rule of president Zine El Abidine Ben Ali, overthrew his regime and catalyzed the broader Arab Spring across the region. Free multiparty parliamentary elections were held shortly after; the country again voted for parliament on 26 October 2014, and for president on 23 November 2014. Tunisia remains a unitary semi-presidential representative democratic republic; and is the only North African country classified as "Free" by Freedom House, and considered the only fully democratic state in the Arab World in the Economist Intelligence Unit's Democracy Index. It is one of the few countries in Africa ranking high in the Human Development Index, with one of the highest per capita incomes in the continent.
Tunisia is well integrated into the international community. It is a member of the United Nations, La Francophonie, the Arab League, the OIC, the African Union, the Non-Aligned Movement, the International Criminal Court, and the Group of 77, among others. It maintains close economic and political relations with some European countries, particularly with France, and Italy, which geographically lie very close to it. Tunisia also has an association agreement with the European Union, and has also attained the status of major non-NATO ally of the United States.
Recently, anti-government protests stemming in part from the COVID-19 pandemic resulted in an ongoing political crisis.

View More On Wikipedia.org
  1. J

    France kauza mechi yake dhidi ya Tunisia..! Hata World Cup mechi zinauzwa

    Kwa mnaofuatilia kombe la dunia hasa mechi za France, France ni timu kali sana Cheki mechi dhidi ya Australia, Denmark kisha angalia mechi ya leo dhidi ya Tunisia Hawa jamaa japo walikuwa wameshavuka na kuchezesha kikosi cha pili, lakini wamecheza wakiwa wamelegea mnoo, yaani kiwango chao...
  2. JanguKamaJangu

    Tunisia: Mkosoaji wa Rais azuiwa kutoka nje ya nchi

    Mwanasiasa wa upinzani Fadel Abdelkefi amesema askari Polisi wakiwa hawana kibali chochote walimzuia kusafiri alipokuwa Uwanja wa Ndege wa Carthage licha ya kuwa hana mashtaka wala kizuizi chochote cha kisheria. Abdelkefi alikosoa utawala wa Rais Kais Saied akidai kuwa anaongoza kama Mfalme na...
  3. J

    Yanga imeifunga Club ya Tunisia, ambayo inashiriki kombe la Dunia, Malawi na Angola hazijawahi

    Yanga imeifunga Club kutoka Tunisia ambayo inashiriki Kombe la Dunia mwaka huu, na ni timu ambayo inafanya vizuri sana AFCON, na timu za taifa kutoka nchi za kiarabu kama Egypt, Tunisia, Morroco, Algeria huwa zinaundwa na wachezaji kutoka ligi ya ndani. Tofauti kabisa na timu za taifa za nchi...
  4. A d o l f

    Yanga yafanya maajabu Tunisia

    Dar es Salaam Young Africans yaishangaza Afrika baada yakupindua meza kibabe nchini Tunisia katika mchezo wa marudio wa kombe la shirikisho barani Afrika CAF confederation cup baada yakuichapa 1-0 klabu ya Club African. Yanga ilipata ushindi wake mnamo dakika ya 79 kupitia kiungo mshambuliaji...
  5. Kinyungu

    Club Aficain ni ya Mwisho kwenye Ligi ya Tunisia

    Nawakumbusha Yanga kuwa Club ya Africain ni ya mwisho kwenye msimamo wa ligi yao kundi B kwa mwaka huu na itashuka daraja bila shaka. Hii timu ni sawa tu na Ihefu hamna kitu. Hapa chini ni msimamo wa Ligi kwa kundi lao leo 9/10/2022.
  6. GENTAMYCINE

    Wale mnaojidanganya na kujipa moyo kuwa Yanga SC leo anashinda huko Tunisia kutaneni hapa mtupe sababu zenu

    Kwa Wenye Akili Kubwa tulipoona tu ule Mchezo wa awali hapa Dar es Salaam tarehe 2 Novemba, 2022 na Kuona Uchezaji wa Yanga SC, Mbinu za Kocha Nabi na Uchezaji wa Kimkakati na Mipango mingi ya Club Africaine huku tukiwajua Waarabu wanavyokuwa Kwao tulishajua ( tunaendelea ) kuamini kuwa tayari...
  7. GENTAMYCINE

    Rais wa Yanga Hersi na Msemaji Kamwe wana Yanga SC, tunauliza tukiwa Tunisia tusimame Kushangilia dakika ya ngapi?

    Nimehakikishiwa kuwa Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said na Msemaji wa Yanga SC Ally Kamwe nyote mnanisoma na kunifuatilia Kutwa ( 24/7 ) GENTAMYCINE hapa JamiiForums hivyo natumai mtanijibu mwana Yanga SC Mwenzenu hili Swali langu. Cc: Ulimakafu
  8. GENTAMYCINE

    Hivi kwa Body Language ya Wachezaji wa Yanga SC wakiwa Safarini Tunisia watapona kweli?

    Kwa Mbobezi / Wabobezi wa Saikolojia ( hasa ile ya Mawasiliano ) kama GENTAMYCINE ukiziangalia tu kwa umakini wako wote Picha zote za Wachezaji wa Yanga SC wakiwa Safarini kuelekea nchini Tunisia wala hupati shida kujua kuwa Wameshafungwa na Kutolewa rasmi katika CAFCC hivyo watarejea Kuendelea...
  9. Komeo Lachuma

    Tumeingia Tunisia na Wazee wetu Watatu. Hawa ni wazee wapya wa Kamati ya Ushindi. Watunisia wamelala kwao....

    Babaaake..... Watunisia wamelala kwao... Wazee wetu watatu ndo wanatuongoza. Watunisia wamejaribu kutuma majini yao yametulizwa. Mpaka sasa hawajielewi. Tumeshakwepa mitego yao yote mbwa hawa. Huku Dar mikia mliwatonya... Kule sasa wanaenda kukalia moto. Tunawachabanga kiroho mbaya...
  10. SAYVILLE

    Yanga msiende kufanya fujo huko Tunisia!

    Katika kufuatilia safari ya Yanga ya siku ya leo kuelekea Tunisia kwa mchezo wa marudiano, msafara huo unahusisha watu 41 huku wachezaji wakiwa 22 na waliobaki ni 'wengine'. Nimekumbuka timu zetu za Olympic ambapo viongozi huwa ni wengi kuliko wachezaji. Sijaelewa watu 19 ni kina nani ila...
  11. JanguKamaJangu

    Tunisia hatarini kufungiwa na kukosa Kombe la Dunia

    Hali hiyo inaweza kutokea ikiwa ni mwezi mmoja tu umesalia kabla ya kuanza kwa michuano hiyo Nchini Qatar kama Serikali ya Tunisia itaendelea kuingilia masuala ya soka. Onyo hilo limetolewa na Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) baada ya Waziri wa Vijana na Michezo wa Tunisia, Kamel Deguiche...
  12. Shark

    Kocha Naserdine Nabi Yanga Ikienda Tunisia Kucheza Na Club Africain Beba Kabisa Vitu Vyako VYOTE

    Sina maneno marefu, ila pia Picha hii haihusiani na kichwa cha habari.
  13. Lady Whistledown

    Tunisia: Wananchi waandamana kupinga ongezeko la bei ya vyakula

    Mamia ya Wananchi wameandamana katika Mji Mkuu, Tunis kupinga bei ya juu na uhaba wa baadhi ya vyakula na bidhaa Muhimu kama Sukari na hivyo kuzidisha shinikizo kwa serikali ya Rais Kais Saied, huku nchi hiyo ikikumbwa na mzozo wa kiuchumi na kisiasa. Tunisia inakabiliwa na mfumuko wa bei...
  14. Miss Zomboko

    Tunisia imepitisha Katiba Mpya inayompa madaraka makubwa Rais

    Tunisia imepitisha katiba mpya, inayompa madaraka makubwa rais, baada ya kufanyika kwa kura ya maoni siku ya Jumatatu, ambayo idadi ndogo ya wapiga kura walijitokeza. Licha ya idadi ndogo ya wapiga kura ambayo ni asilimia 30, kujitokeza kushiriki kwenye zoewi hilo, waliunga...
  15. Lady Whistledown

    Tunisia: Katiba Mpya yapitishwa kwa asilimia 96.4

    Rasimu ya Katiba Mpya inayomuongezea madaraka Rais Kais Saied imeungwa mkono kwa asilimia 94.6% ya waliopiga kura huku, Wapinzani ambao walisusa kupiga kura wameshutumu Tume ya Uchaguzi nchini humo kwa udanganyifu na kusema hawatatambua Katiba hiyo - Katiba hiyo inadaiwa kumpa Rais mamlaka...
  16. Dr Count Capone

    Wananchi Tunisia washerehekea katiba mpya

    Masaa kadhaa yaliyopita Wananchi wamejitokeza mitaank kusherekea kupatikana kwa katiba mpya nchini Tunisia. Katiba hiyo imepatikana baada ya ile ya zamani kuondolewa na Rais wa sasa Mhe. Kais Saeid hali iliyomfanya kuendesha nchi kwa amri yake kwa muda wa mwaka mmoja. Wakosoaji wanaeleza kuwa...
  17. Lady Whistledown

    Tunisia: Mkuu wa Kamati ya Mapendekezo ya Katiba Mpya alaani Rasimu iliyochapishwa na Rais Kais Saed

    Sadok Belaid, Mtaalamu wa Katiba na Sheria na aliyekuwa Msimamizi wa Uundwaji wa Katiba mpya nchini humo amesema waraka wa mwisho wa Rasimu ya Katiba uliochapishwa na Kais Saied wiki iliyopita ni hatari Amesema kuwa baadhi ya vifungu vinaweza kufungua njia kwa utawala wa kidikteta na rasimu ya...
  18. JanguKamaJangu

    Waziri Mkuu wa zamani wa Tunisia ameachiwa huru baada ya kugoma kula

    Waziri Mkuu wa zamani wa Tunisia, Hamadi Jebali aliachiliwa huru ikiwa ni siku ya nne tangu alipokamatwa kwa tuhuma za utakatishaji fedha Pamoja na hatua hiyo bado Jaji amesema Jebali ataendelea kuchunguza Wakili wa mwanasiasa huyo, Samir Dilou amesema mteja wake atalazimika kufika Mahakamani...
  19. Lady Whistledown

    Tunisia; Mwandishi wa habari kizuizini kwa kutoa maoni kumhusu Rais

    Polisi nchini humo wanadaiwa kumshikilia mwanahabari Salah Atiyah kwa kutoa maoni katika mahojiano ya televisheni kwamba Rais Kais Saied alilitaka jeshi kufunga makao makuu ya chama cha wafanyakazi cha UGTT na kuwafunga viongozi wa upinzani kifungo cha nyumbani Waendesha mashtaka wa jeshi...
  20. Lady Whistledown

    Majaji nchini Tunisia kuandamana kupinga kufutwa kazi kwa wenzao 57

    Majaji nchini Tunisia wanatarajiwa kugoma kwa muda wa wiki moja na kufanya maandamano ya kupinga hatua ya rais kuwafuta kazi wenzao 57. Rais Kais Saied aliwafukuza kazi majaji 57 wiki hii baada ya kuwashutumu kwa ufisadi na kuwalinda magaidi, na pia mnamo mwezi Februari alivunja Baraza Kuu la...
Back
Top Bottom