tunisia

Tunisia, officially the Republic of Tunisia, is the northernmost country in Africa. It is a part of the Maghreb region of North Africa, and is bordered by Algeria to the west and southwest, Libya to the southeast, and the Mediterranean Sea to the north and east; covering 163,610 km2 (63,170 sq mi), with a population of 11 million. It contains the eastern end of the Atlas Mountains and the northern reaches of the Sahara desert, with much of its remaining territory arable land. Its 1,300 km (810 mi) of coastline include the African conjunction of the western and eastern parts of the Mediterranean Basin. Tunisia is home to Africa's northernmost point, Cape Angela; and its capital and largest city is Tunis, located on its northeastern coast, which lends the country its name.
From early antiquity, Tunisia was inhabited by the indigenous Berbers. Phoenicians began to arrive in the 12th century BC, establishing several settlements, of which Carthage emerged as the most powerful by the 7th century BC. A major mercantile empire and a military rival of the Roman Republic, Carthage was defeated by the Romans in 146 BC, who occupied Tunisia for most of the next 800 years, introducing Christianity and leaving architectural legacies like the amphitheatre of El Jem. After several attempts starting in 647, Muslims conquered all of Tunisia by 697, bringing Islam and Arab culture to the local inhabitants. The Ottoman Empire established control in 1574 and held sway for over 300 years, until the French conquered Tunisia in 1881. Tunisia gained independence under the leadership of Habib Bourguiba, who declared the Tunisian Republic in 1957. Today, Tunisia is the smallest nation in North Africa, and its culture and identity are rooted in this centuries-long intersection of different cultures and ethnicities.
In 2011, the Tunisian Revolution, triggered by the lack of freedom and democracy under the 24-year rule of president Zine El Abidine Ben Ali, overthrew his regime and catalyzed the broader Arab Spring across the region. Free multiparty parliamentary elections were held shortly after; the country again voted for parliament on 26 October 2014, and for president on 23 November 2014. Tunisia remains a unitary semi-presidential representative democratic republic; and is the only North African country classified as "Free" by Freedom House, and considered the only fully democratic state in the Arab World in the Economist Intelligence Unit's Democracy Index. It is one of the few countries in Africa ranking high in the Human Development Index, with one of the highest per capita incomes in the continent.
Tunisia is well integrated into the international community. It is a member of the United Nations, La Francophonie, the Arab League, the OIC, the African Union, the Non-Aligned Movement, the International Criminal Court, and the Group of 77, among others. It maintains close economic and political relations with some European countries, particularly with France, and Italy, which geographically lie very close to it. Tunisia also has an association agreement with the European Union, and has also attained the status of major non-NATO ally of the United States.
Recently, anti-government protests stemming in part from the COVID-19 pandemic resulted in an ongoing political crisis.

View More On Wikipedia.org
  1. beth

    Tunisia: Rais awafuta kazi Majaji 57, awatuhumu kulinda magaidi

    Hali ya Demokrasia na Utawala Nchini Tunisia inaendelea kuwa tata baada ya Rais Kais Saied kuwafuta kazi Majaji 57 akiwatuhumu kwa Ufisadi na kulinda Magaidi Rais Saied ambaye mbali na kuvunja Bunge liliyochaguliwa na Wananchi, kuweka kando Katiba ya Mwaka 2014 na kuingilia Tume Huru ya...
  2. L

    Tunisia yaandaa kongamano la uchumi kuhimiza biashara na uwekezaji barani Afrika

    Kongamano la 5 la uwekezaji wa kifedha na biashara barani Afrika (FITA 2022) limefunguliwa jana nchini Tunisia, ili kuhimiza biashara na uwekezaji barani Afrika. Akifungua kongamano hilo la siku mbili, Waziri Mkuu wa Tunisia Najla Bouden Romdhane alisema kuwa watu wapatao 3500 kutoka nchi 45...
  3. JanguKamaJangu

    Rais wa Tunisia apanga kuiandika upya katiba ya nchi hiyo

    Rais wa Tunisia, Kais Saied ametangaza mpangp wake wa kuiandika upya Katiba ya Nchi yake Akitoa salamu za Sikukuu, Rais Saied ambaye alivunja Baraza la Mawaziri na Bunge amesema kamati itafanyia kazi suala hilo na italikamilisha ndani ya siku chache zijazo. Hakusema ni jinsi gani katiba hiyo...
  4. beth

    Tunisia: Rais Saied aingilia Tume ya Uchaguzi, ateua wajumbe wapya

    Rais wa Tunisia, Kais Saied ameendeleza nia yake ya kujiimarishia Mamlaka baada ya kutoa amri ya kubadilisha Wajumbe wa Tume Huru ya Uchaguzi na kuwaweka watu 7 wapya aliowateua mwenyewe Tume hiyo ni miongoni mwa Vyombo huru vya mwisho Nchini #Tunisia, na kubadilisha wanachama wake kwa amri ya...
  5. Lady Whistledown

    Tunisia yadhamiria kupunguza uharibifu baada ya meli inayobeba hadi tani 1,000 za mafuta kuzama

    Tunisia itafanya kazi na nchi nyingine ambazo zimejitolea kuisaidia kuzuia uharibifu wa mazingira baada ya meli ya kibiashara iliyokuwa imebeba hadi tani 1,000 za mafuta kuzama katika maji ya Tunisia, wizara ya ulinzi ilisema Jumapili. Meli hiyo ilikuwa ikitoka Equatorial Guinea kuelekea Malta...
  6. beth

    Tunisia: Rais Kais Saied avunja Baraza Kuu la Mahakama, Majaji wasema ni kinyume na Sheria

    Hali ya Kisiasa Nchini Tunisia imezidi kudorora baada ya Rais Kais Saied kusema anavunja Baraza Kuu la Mahakama, kitendo ambacho kimetajwa kuwa kinyume na Sheria, huku Majaji wakisema hawatokaa kimya. Rais Saied amewashutumu Majaji kwa upendeleo na ufisadi. Mwezi Julai 2021, alijiimarishia...
  7. beth

    Tunisia: Shughuli za Bunge kuendelea kusitishwa hadi baada ya Uchaguzi mwakani

    Rais Kais Saied amesema Bunge la Nchi hiyo litaendelea kusimamishwa hadi Uchaguzi mpya ufanyike mwaka mmoja kutoka sasa. Pia, ameeleza kuhusu mipango ya Kura ya Maoni ya Katiba mwaka ujao Tangu aliposimamisha shughuli za Bunge na kumfukuza kazi aliyekuwa Waziri Mkuu, Rais Saied ameendelea...
  8. M

    Tukipambanisha CV"s za Mtaalam Pablo ( Spain ) na Tapeli Nabi ( Tunisia ) kwa Aibu Yanga SC wanaweza wakaamua Kumfurumusha Asubuhi tu Jangwani

    Kwa Utaalam niliousikia anao Kocha mpya wa Simba SC mwenye Viwango vya Kimataifa na vya Mbinguni Bwana Pablo kutoka nchini Hispania nimedokezwa kuwa kuna Kozi moja ataiendesha nchini Tanzania ambapo Makocha kama Nabi, Kaze na Zahera hawana jinsi na watalazimika tu Kuhudhuria na Kuhitimu ili...
  9. beth

    Tunisia yatangaza Serikali mpya

    Takriban Wiki 11 baada ya Rais Kais Saied kumfukuza kazi Waziri Mkuu na kusitisha shughuli za Bunge, kitendo kilichofanya ashikilie Madaraka yote, Taifa hilo limetangaza Serikali mpya Waziri Mkuu wa Tunisia Najla Bouden amesema kipaumbele kikubwa cha Serikali hiyo kitakuwa kupambana na ufisadi...
  10. beth

    Tunisia: Chama kikuu cha Wafanyakazi champinga Rais Saied

    Chama cha Wafanyakazi kinachotajwa kuwa na ushawishi zaidi Nchini humo kimepinga kitendo cha Rais Kais Saied kushikilia Madaraka yote na kuonya juu ya tishio kwa Demokrasia Rais Saied ameendelea kusisitiza kitendo chake ya kusitisha shughuli za Bunge na kumfuta kazi Waziri Mkuu kilihitajika...
  11. beth

    Tunisia: Wananchi waandamana kupiga Rais Saeid kushikilia madaraka

    Waandamanaji wamekusanyika katika Mji Mkuu wa Nchi hiyo, Tunis, kupinga Rais Kais Saied kushikilia Madaraka Ni maandamano ya kwanza tangu Kiongozi huyo Mkuu wa Nchi kutangaza kumfuta kazi Waziri Mkuu na kusitisha shughuli za Bunge Julai 25 Rais Saeid bado hajafanya uteuzi wa Waziri Mkuu au...
  12. Greatest Of All Time

    Timu ya Taifa ya Tunisia wakopi jezi ya Simba Sc

    Hapa kuna jezi ya Tunisia ya mwaka 2019-2020 na kuna jezi ya Simba 2021-2022. Jezi ya Tunisia imetengezwa na kampuni ya Kappa wakati jezi ya Simba imetengezwa na Vunja bei. Hongereni sana Simba na Vunja bei.
  13. Emanuel Eckson

    Tunisia yatoa Hati ya kukamatwa kwa aliyekuwa Mgombea Urais wa nchi hiyo

    Serikali ya Tunisia imeidhinisha hati ya kukamatwa kwa aliyekuwa mgombea urais wa nchi hiyo kwa mwaka 2019, Nabil Karoui pamoja na kaka yake ambaye ni Mbunge, Ghazi Karoui kwa kosa la kuvuka mpaka wa nchi hiyo kwa njia haramu (pasipo vibali) hali iliyopelekea kukamatwa kwao na kuwekwa kizuizini...
  14. chizcom

    Hamza ni kama kijana Mohamed Bouazizi wa Tunisia

    Kuna japo kuandika kwangu sio mzuri. Mnaokumbuka kijana watunisia aliyekuwa msomi na kuanza kutafuta kujiajili kipindi cha utawala uliokuwa unafanya watakayo, Mohamed Bouazizi baada ya kufanyiwa manyanyaso alijipiga kiberiti na kufanya vijana wote kuondoa serekali kwa maandamano kupinga...
  15. beth

    Tunisia: Shughuli za Bunge kuendelea kusimamishwa

    Rais Kais Saied ameongeza muda kusimamishwa kwa Bunge. Mwezi Julai, alimfuta kazi Waziri Mkuu na kuchukua Mamlaka ya Utendaji, hatua ambayo wapinzani walisema ni Mapinduzi. Ikiwa ni Mwezi mmoja baada ya kufanya maamuzi hayo, Rais Saied bado hajateua Waziri Mkuu mpya au kutangaza Mwongozo ambao...
Back
Top Bottom