twitter

Twitter () is an American microblogging and social networking service on which users post and interact with messages known as "tweets". Tweets were originally restricted to 140 characters, but on November 7, 2017, this limit was doubled to 280 for all languages except Chinese, Japanese, and Korean. Registered users can post, like, and retweet tweets, but unregistered users can only read them. Users access Twitter through its website interface, through Short Message Service (SMS) or its mobile-device application software ("app"). Twitter, Inc. is based in San Francisco, California, and has more than 25 offices around the world.Twitter was created in March 2006 by Jack Dorsey, Noah Glass, Biz Stone, and Evan Williams, launched in July of that year. The service rapidly gained worldwide popularity. In 2012, more than 100 million users posted 340 million tweets a day, and the service handled an average of 1.6 billion search queries per day. In 2013, it was one of the ten most-visited websites and has been described as "the SMS of the Internet". As of 2018, Twitter had more than 321 million monthly active users. Since 2015 Twitter has been a hotbed of debates and news covering politics of the United States. During the 2016 U.S. presidential election, Twitter was the largest source of breaking news on the day, with 40 million election-related tweets sent by 10:00 p.m. (Eastern Time) that day.

View More On Wikipedia.org
  1. beth

    Unyanyasaji wa Kimtandao: Seneta Gloria Orwoba afikiria kuachana na Twitter

    Seneta Gloria Orwoba wa nchini Kenya amesema anafikiria kuachana na Mtandao wa Twitter kutokana na Unyanyasaji wa Kimtandao. Ameeleza, "Hili suala la kuwa na ngozi ngumu HAPANA! Sisi ni Binadamu" Kwa Mtazamo wako, Unyanyasaji/Uonevu ni sababu mojawapo inayopelekea baadhi ya Viongozi kuepuka...
  2. ChoiceVariable

    Wakulima bila kuwa na chama chenye Veto Tanzania, mtanyanyasika sana na watu wanaoshinda Twitter huko mjini

    Nyie wakulima msipoungana na kuwa na chama Chenye maamuzi ya veto Mtanyanyasika Sana na Wanaoshinda Twitter kusema maisha magumu. Na Serikali ya CCM isiyojielewa ndio inawasikiliza hao na kuwaacha nyie 70% kwenye umaskini uliotopea. Haiwezekani Serikali ya ccm inaagiza chakula Nje ya Nchi...
  3. The Assassin

    Twitter verification/blue tick sio issue tena, mluga luga nimekuwa verified

    Huko nyuma kupata blue tick ilikua ni ishu, lazima uwe maarufu sana ama uwe na followers wa kutosha ana kiongozi wa siasa ndio ulikua unapata blue tick. Kipindi hicho kupata blue tick ilihitajika hadi Dollar 6,000 kupata blue tick. Musk kabadisha huo utaratibu, sasa mtu yoyote anaweza kua na...
  4. BARD AI

    Wawekezaji wenza wadai Elon Musk anatumia muda mwingi Twitter na kuipuuza Tesla

    Malalamiko ya Wawekezaji Wenza wa Kampuni ya kuunda Magari ya Umeme (TESLA) yanafuatia kuendelea kushuka kwa thamani ya Hisa na kupoteza zaidi ya Tsh. Trilioni 100 kwa mwezi Januari 2023 pekee. Utajiri wa Musk umeendelea kushuka kiasi cha kuingia kwenye Rekodi za Dunia za Guinness kama mtu...
  5. PAGAN

    Salamu za Mwaka Mpya kupitia Twitter

  6. Dra Maxie

    Siri katika uuzwaji wa data za whatsapp, Twitter na mitandao mingine

    Habari zenu, Jamani mimi ningependa kuuliza tu. Hivi wanaposema account zimedukuliwa na data za watumiaji zimeuzwa. Wanamaanisha nini? Data gani? Wanauza wapi? Wanaowauzia wanazitumia vipi? Nakumbuka niliwahi angalia muvi fulani ya kizungu ilikuwa inahusisha kudukua account za watu sasa pia...
  7. Crocodiletooth

    Waliokuwa wafanyakazi wa Twitter waanzisha kampuni mpya

    To be launched January 2023. SPILL ======== A group of former Twitter employees has announced that they are making their own social media platform, just weeks after being laid off by Elon Musk. On October 27, Elon Musk revealed that he had officially become the owner of Twitter after months...
  8. kali linux

    TWITTER API HACKED: Mamillion ya data za watumiaji wa twitter yanauzwa

    Hello bosses..... Musk alikosea sana kufukuza fukuza watu hovyo, mm shabiki yake lkn kwa hilo alikosea, makampuni mengi yamefanya layoff ila yanaenda polepole sio kwa speed ya kufukuza watu wengi kiasi kile. Sasa watu wamedukua twitter masaa mawili yalopita, data za zaidi ya watumiaji million...
  9. ankol

    Twitter inapoteza mvuto

    Nawasalimia wandugu, Kuna hii social network inayojulikana kwa jina la twitter naona inapoteza mvuto kila leo, Miaka ya nyuma mtandao huu ulitumiwa kikamilifu na watu wakamilifu wakiwamo wana siasa utakuta akitweet ni kama shule hivi, na tweet yake inaweza kopiwa na kuwekwa kwingine mfano fb...
  10. BARD AI

    Elon Musk kujiuzulu Uboss wa Twitter ikiwa atampata mtu "Mpuuzi" wa kuchuka nafasi hiyo

    Elon Musk amesema atajiuzulu kama Afisa Mtendaji Mkuu wa Twitter atakapompata mtu "Mpuuzi" anayetosha kuchukua kazi hiyo. Bilionea huyo aliahidi mapema kutii matokeo ya kura ya maoni ya Twitter ambayo ilishuhudia 57.5% ya watumiaji walipiga kura ya "ndio" kumtaka kuachia jukumu hilo. Anasema...
  11. MSAGA SUMU

    Snoop Dogg kuwa Bosi mpya wa Twitter?

    Elon Musk kasema kuanzia Sasa maamuzi makubwa ya Twitter yataamuliwa na wanatwita wenyewe. Ambapo wamuomba kuachia ngazi na katika hali ya kushangaza mpaka Sasa mida hii watu milioni 8 wamemtaka rapa Snoop kuingoza kampuni hiyo kubwa. Bila shaka boss Mello analiona hili suala.
  12. BARD AI

    Watumiaji Twitter Milioni 10 wanataka Elon Musk ajiuzulu Utendaji Mkuu

    Mmiliki wa Twitter Elon Musk ameweka Kura ya Maoni kwenye mtandao huwa akiwataka watumiaji kuamua kama aendelee kuwa Mtendaji Mkuu au aachie nafasi hiyo ambapo Asilimia 57 ya watumiaji wameunga mkono kuwa aachie nafasi hiyo. Musk mwenye wafuasi milioni 122, alitweet: "Je, nijiuzulu kama...
  13. BARD AI

    Elon Musk azirejesha akaunti za Twitter za Wanahabari aliowafungia

    Bilionea Elon Musk amezifungulia akaunti za Waandishi wa Habari wa New York Times, CNN na Washington Post waliofungiwa baada ya Musk kuwashutumu kuwa walishare taarifa zake binafsi mtandaoni Elon aliweka Kura ya Maoni kuuliza kama akaunti hizo zirejeshwe na asilimia 59 ya watu milioni 3.6...
  14. Analogia Malenga

    Elon Musk amerudisha Twitter Spaces

    Habari njema kwa watumiaji wa twitter spaces, baada ya saa kadhaa za kutokuwepo kwa huduma ya mjadala kwa njia ya sauti, twitter spaces imerudi. Huduma hiyo iliondolewa December 15, 2022 na hakuna kauli iliyotolewa na hakuna na maelezo yaliyotolewa kuhusu nini kilitokea. Hivi karibuni, mmiliki...
  15. Analogia Malenga

    Twitter Space yafutwa

    Katika hali ya kustaajabisha, mtandao wa Twitter ambao kwa sasa unamilikiwa na Elon Musk umefuta huduma ya mijadala ya sauti maarufu kama Twitter Spaces. Kazi iendelee
  16. GwaB

    Rep Jim Jordan on Twitter

    Covid-19 inaendelea kusahaulika wakati uchunguzi ukibaini hila kwenye mlipuko ulioikumba Dunia.
  17. Bujibuji Simba Nyamaume

    Maisha ya jamii ya JamiiForums yako poa sana kuliko jamii ya Twitter, Facebook na Insta

    JamiiForums ni jamii moja maridhawa mno, ambamo watu watakuonyesha tabia zao halisi zaidi ukilinganisha na jamii nyingine za mtandaoni. Kwasababu wengi wanatumia majina kificho na picha kificho hapa JamiiForums imekuwa ni rahisi kuonywa kwa kupewa makavu laivu, tabia zako na mambo yako ya hovyo...
  18. JanguKamaJangu

    Elton John adai kilichomtoa Twitter ni mabadiliko ya sera, Elon Musk amjibu

    Mwanamuziki huyo ameongeza ya mastaa waliojitoa katika mtandao huo tangu uanze kumilikiwa na Elon Musk, amedai kuwa mabadiliko hayo yatachangia taarifa potofu kusambaa kwa urahisi. Akijibu hoja hiyo, Musk amesema anaamini mwanamuki huyo atarejea Twitter. Aidha, mtangazaji maarufu wa Uingereza...
  19. BARD AI

    Elon Musk atangaza ujio wa 'Badge' za Dhahabu, Kijivu na Bluu kwenye akaunti za Twitter

    Bilionea na mmiliki wa Twitter, Elon Musk amesema jukwaa hilo litakuwa likizindua 'badge' za rangi tofauti ili kuzitofautisha akaunti. Tiki ya dhahabu kwa makampuni, tiki ya kijivu kwa serikali, bluu kwa watu binafsi na watu mashuhuri na akaunti zote zilizoidhinishwa zitathibitishwa upya kabla...
  20. JanguKamaJangu

    Elon Musk aendelea kuishutumu Apple kuwa inatishia kuiondoa Twitter kwenye program zake

    Elon Musk amesema Kampuni ya Apple imesitisha matangazo yake mengi kwenye mtandao wa Twitter na kuishutumu kampuni hiyo kwa kutishia kuiondoa Twitter kwenye program zake. Mzozo huo umeibuka baada ya kampuni nyingi kusitisha matumizi kwenye Twitter hasa baada ya mipango ya mmiliki mpya wa...
Back
Top Bottom