Salaam/Shalom.
Kuna hili suala huwa linanishangaza sana, utakuta unamsalimia mtu halafu matokeo yake huyo unayemsalimia utakuta anakuangalia tu.
Huwa najiuliza sana hili swali, hivi mkijibu salaam huwa mnapungukiwa na kitu gani dada zangu...?
Leo nilikuwa Mount Meru Hospital kwa ajili ya...
Siku mwanaume huna pesa, then mpenzi/mke wako kaamua mtoke out kwa treat yake(anagharamia yeye hiyo outing).
Muda mfupi kabda ya bill kuletwa anafungua pochi anafumbata kitita cha noti kadhaa kiganjani mwake kisha kwa siri/kificho anakupatia ili ufanye malipo mtakapoletewa ankara ya huduma...
Kwanini CCM hutumia gharama za aina yeyote ili tu kubakia madarakani kipi wanahofia endapo watapatikana wengine kuongoza nchini?
Yanini tunakubali kujiandalia kisasi cha haja kwa mambo ambayo yanaepukika jsmani?
Kwani leo akitawala CCM na kesho NCCR keshokutwa Chadema kuna ubaya gani?
Hivi...
Kuna wale ambao tuliachana na ma-Ex zetu na kuwafanya marafiki na kuishi nao vyema kwa kubadilishana nao Ideas tofauti za maisha
Na kuna wale ambao tuliachana nao kwa Visa, Usaliti, Chuki, Fumanizi,chuki ,uhasama na Ugomvi mkubwa kifupi ni makando kando tele
Mimi ninaye mmoja , nadhani katika...
Siku zote nimekuwa nikisema.... UBAYA HAUNA KWAO. msije mkadhani Rais kwa kuwa ana Jina zuri la Kikristo au Kiislamu basi atakuwa mwema. Sababu linatoka kwenye Biblia au Quran.
Msije mkaangalia Rangi ya Rais mkamchagua kutokana na rangi yake mkiamini atakuwa mtu mwema sababu ni mweupe au ni...
Tumeona ufundi wa kibiolojia ukibadilisha mambo mengi sana. Tumepata ng'ombe wa kisasa wanaotoa maziwa na nyama nyingi. Tuna kuku wa kisasa wanaotaga sana na kutoa nyama kibao. Tuna miwa yenye sukari nyingi, nguruwe wakubwa. Aina mbalimbali za mbwa. Mimea inayostahimili ukame na magonjwa nk...
Amewataka:
: Waziri wa afya na naibu wake wajiuzulu
: Dorothy ni mke wao
: Amemsifu Ndungulile kwa sababu alitumbuliwa kwa kusimamia ukweli wake kipindi cha meko
: Akipata mtu wa kumuelewesha ataelewa ila hawa easily hawafai ni vigeu gemu.
: D oroth anasema nilikamatwa na...
afya
akili
baba mkwe
bishop
chanjo
dorothy gwajima
gani
gwajima
hata
inatisha
kukosa
kuvunjika
live
matokeo
mbunge
movie
mrembo
nchi
ndoa
nidhamu
roho
sababu
sana
ubaya
uongozi
waziri
waziri wa afya
Wana MMU,
Salaam.
Japo mimi sii member active sana humu MMU, ila ni mfuatiliaji mzuri wa mada za MMU.
Kwenye what's app group fulani kuna mjadala kuhusu jamaa fulani kampenda mke wa mtu.
Watu wanajifanya kushangaa sana iweje mtu ampende mke wa mtu?. Wengine hadi wakafikia kumlaani huyu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.