ubunifu

  1. William Mshumbusi

    Uchaguzi 2020 Kuna tatizo kidogo na namna CHADEMA wanavyonadi sera zao. Ubunifu ni kidogo sana na wanashindwa kwenda sawa na matarajio ya Umma

    Ingawa mgombea wao Ameanza kunadi Sera zao, lakini hayapo uzito Mambo yanayowagusa wengi. NI Kama anasema tu juu juu na kukazia maswala binafsi yanayomuhusu yeye na watu wa chama chake. Ajira, kilimo na biashara kila moja kinaweza kumuathiri kila mtu Ila mgombea anashindwa kuonesha kila ajenda...
  2. MK254

    M-Pesa: Ubunifu wa Kenya wazidi kuongoza Afrika kwa miamala

    Mchango wetu kwa ukuaji wa Africa ni jambo la kufurahisha kwa kweli, tulibuni MPESA na sasa inazidi kuwa tegemeo la Afrika. === Mobile money platform M-Pesa is now processing transactions of Sh1.6 trillion per month in Kenya and other African countries, making it the largest payment platform on...
  3. Hussein Massanza

    TBC MPYA: Ushauri, Maoni na Mapendekezo ya ubora wa vipindi (Television Content)

    Ndugu WanaJF, Kumekuwepo na malalamiko mengi kutoka kwa wananchi na hata hapa JF kuhusiana na changamoto ya vipindi vya Televisheni ya Taifa (TBC1). Malalamiko hayo yameegemea zaidi katika eneo la ubora wa picha na ubunifu wa vipindi. Kwa bahati nzuri, Mkurugenzi pamoja na Watendaji wa Shirika...
  4. P

    Jesca Cox na Nick Vujicic: TAFSIRI ya ubunifu (Creativity), Wanafanya vitu vya kawaida katika hali isiyokuwa ya kawaida.

    Leo nimepitia vitabu tofauti vikizungumzia maisha na mafanikio ya Nick Vujicic, mlemavu asiyekuwa na mikono Wala miguu na Jesca Cox mwenye ulemavu pia wa mikono( Picha zao nimeambatanisha mwisho wa hili andiko) Nick Vujicic, Hana mikono Wala miguu lakini ana uwezo wa kuogelea, kuchora na...
  5. marco polo jr

    Ubunifu umegundua Nini kwenye hii picha

    Tazama picha hii kwa makini umeona Nini.
  6. EINSTEIN112

    Wajapan ubunifu umepungua au kwanini magari haya yanafanana hivi?

    ALLEV vsRUN X HIMO vs COASTER VAUGUARD vs RAV4 Baadhi ya magani ya Mjapan yanatumia injini aina moja kwa magari tofauti Mfano injini ya 1G FE unaikuta kwenye:- GX100 GX110 VEROSA ALTEZA
  7. Kitabu

    Ubunifu wa mavazi

    Habari wakuu,binti yangu anataka kuwa mbunifu wa mavazi,elimu yake ni form six, je nimpeleke kozi gani itayomfaa??? Msaada tafadhali
  8. Pascal Mayalla

    Live on Star TV, Waziri wa Habari, Dr. Harrison Mwakyembe azungumzia changamoto za Corona Sekta ya Habari

    Karibu Paskali
  9. Analogia Malenga

    Waalimu na ubunifu: Spain mwalimu avaa vazi la kuonesha mwili ili kufundisha anatomy

    Veronica Duque(43) aliyefundisha kwa miaka 15, sayansi ya jamii na sayansi ya asili, alinunua vazi la kuonyesha sehemu za ndani za mwili ili kufanya somo la kuhusu mwili lieleweke kwa wanafunzi wake wa darasa la tatu ‘third grade’ Mwalimu huyo anasema aliliona vazi hilo mtandaoni na kavutiwa...
  10. Sky Eclat

    Ni ubunifu tu wa kitasa cha mlango

  11. H

    Taja 'horror movies' zenye ubunifu mkubwa na wa pekee

    Watu wengine hatupendi kuangalia horror movie sio tu inatisha pekee Bali tunataka iwe ndani yake Ina mvuto (idea nzuri) na unique ndo dhumuni kubwa ya Huu Uzi mfano mzuri ni "Final destination" japo ni horror movie lakini ina idea ya kipekee na yenye kuvutia ndani yake. Script writer wa hii...
  12. wanzagitalewa

    Tanzania ya viwanda inavyohitaji mazingira bora kukuza ubunifu wa kiteknolojia

    Wiki jana tumeona ufunguzi wa maonyesho katika Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya. Tukio hilo muhimu lilileta pamoja wanafunzi na waalimu wa vyuo na taasisi mbalimbali za mkoa wa Mbeya kuonyesha na kujadili fursa zitokanazo na ubunifu wa kiteknolojia. Katika hotuba yake, Mkuu wa Kitivo...
  13. mathsjery

    Hivi huu ni ubunifu au udhalilishaji?

  14. Kididimo

    Vijana wa CCM: Tusikubali mafundisho ya kusifia tuu mtu na chama chetu, bali tupokee yale yenye kutia "UBUNIFU" wa kuijenga nchi kisayansi zaidi.

    Ninamsifu na ninamshukuru baba yangu mzazi kwa :- 1. Kuandaa mazingira ya kumwoa mama hatimaye nikawa duniani. 2. Kujenga nyumba ya tope na bati, na kutulelea humo, wakati huo majirani wote walikuwa na nyumba za makuti. 3. Kuishi kwa kutegemea kilimo na ufugaji ndani ya shamba la baba ...
  15. YEHODAYA

    Ubunifu wa Profesa Kapuya alipokuwa Waziri wa Elimu na fomu za kujiunga Msalato sekondari

    Kazi ya waziri wa Elimu ni kuwa Mbunifu Tanzania ilipata waziri wa elimu Profesa Juma Kapuya . Aliposhika uwaziri ubunifu aliobuni ni wa kutaka shule zote za msingi na sekondari za Serikali watoto wa kike wawe wanavaa kiislamu kwa kuvaa vile vifunika uso na akaagiza walimu wakuu wasimamie hilo...
  16. Ndebile

    Hongera sana Hospitali ya mkoa wa Mwanza kwa ubunifu huu

    Upungufu wa watumishi wa sekta ya afya ndio changamoto kubwa, changamoto nyingine ni watumishi wachache waliopo kufanya kazi zaidi ya uwezo wao. Mfano nesi mmoja kuwahudumia wagonjwa hadi 40 au zaidi kwa siku na wakati mwingine hata kunyimwa siku za mapumziko kwa sababu ya baadhi ya zamu kukosa...
Back
Top Bottom