Maswali yangu:
1. Kazi gani?
2. Utu gani?
3. Kusonga wapi?
4. Mbele wapi?
1. Ali Kibao
2. Soka et al
3. Ben saa nani
4. Kangoye
na wengineo.
5. Katiba mpya iko wapi
6. Tume huru iko wapi?
etc etc etc
UTU UKO WAPI? KAZI IKO WAPI? TUNASONGA WAPI...kaburini/
Wakuu hii imekaaje kuwa Mahinyila amesema No reform no election ni mpango wa Lema na Lissu kuchota hela Diaspora na Bavicha watashiriki uchaguzi 2025. Je, ni kweli?
Wakuu,
CHADEMA msijichanganye kumuweka mtu mwingine kugombea nafasi ya Urais CHADEMA zaidi ya Godbless Lema.
Tundu Lissu ni maarufu ndio lakini linapokuja suala la kuwa Rais, Godbless Lema ni presidential material kabisa.
CHADEMA kwa sasa inahitaji mtu mwenye siasa za U-populist (Kama Trump)...
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Songwe, Mhe. Juliana Daniel Shonza akiwa Kata ya Chang'ombe Wilaya ya Songwe kwenye mkutano wa hadhara amewaasa Wanaume kutokimbia majukumu yao ya kutoa matunzo kwa watoto wao hata kama wameachana na wake au wapenzi wao.
"Wilaya ya Songwe, Rais Samia amefanya kazi...
Wakuu,
Mpaka tunaingia kwenye ballot box mwezi Oktoba tutaona mambo mengi sana kutoka kwa hawa wanasiasa.
=======================================================
Mkuu wa Wilaya ya Muheza mkoani Tanga, Zainab Abdallah akitoa burudani jukwaani kabla ya Rais Samia Suluhu Hassan kuzungumza na...
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Mhe. Tauhida Gallos Nyimbo (MNEC) ambaye pia Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Magharibi tarehe 25 Februari, 2025 amekutana na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa Majimbo ya Mkoa wa Magharibi ili kuhamasisha Wananchi kujitokeza...
Kura za maoni ndani ya CCM ndio hasa mwanzo wa kuwapata Rais wa nchi, wabunge na madiwani wa maeneo mbalimbali nchini.
Ndio uchaguzi ambao unakuaga na mchuano mkali zaidi ya uchaguzi mkuu wenyewe ambao mara zote hua ni katika kukamilisha tu ratiba, sheria na matakwa ya kikatiba, lakini uchaguzi...
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imetangaza kuanza kwa mchakato wa kuchunguza na kugawa au kubadili majina ya majimbo ya uchaguzi ambapo itapokea mapendekezo kuanzia tarehe 27 Februari, 2025 hadi tarehe 26 Machi, 2025.
Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji wa...
Wakuu,
Hatimaye Tundu Lissu amefichua alifhoenda kuzungumza na Balozi wa Norway:
Lissu kupitia ukurasa wake wa X amesema:
"Balozi Tine Tonnes wa Norway ametukaribisha kwa mazungumzo kwenye makazi yake rasmi mjini Dar. Tumepata fursa ya kumweleza Balozi Tonnes juu ya hali ya kisiasa nchini na...
Gambo amesema kuwa yeye ndiye Mbunge halali kwa muda huu na yeyote anayehitaji nafasi hiyo anapaswa kusubiri muda ufike kisha kufata taratibu zote za kuwania nafasi hiyo na sio vinginevyo.
“Kama kuna mtu anataka ubunge, asubiri utaratibu ufike, ajitokeze uwanjani. Wananchi wa Arusha Mjini...
https://www.youtube.com/watch?v=wOKzLLdnpDQ
Mjumbe wa Kamati Kuu CHADEMA, Godbless Lema ametangaza ujio wa uzinduzi wa kampeni ya kidigitali ya Chama hicho utakaofanyika February 27,2025.
Akiongea Jijini Dar es salaam leo February 25,2025, Lema amesema
“Tarehe 27 tuna tukio muhimu Chama...
Wakuu,
Kumbe Heche na Lissu walikuwa na mpango wa kando kuendeleza kampeni yao ya No Reforms No Election ukiachana na kuwaambia watu walale barabarani
Erythrocyte nimeanza kukuelewa sasa
===================================================
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na...
Wakuu,
Kama hivi haya ndo maandalizi ya Uchaguzi au nini?
======================================================
Serikali imetoa Sh209 milioni kwa vikundi 18 vya vijana ili kusaidia ujasiriamali na biashara kupitia asilimia 10 ya mapato ya Serikali za mitaa. Vikundi hivyo, vyenye wanachama...
Labda uwe mtu poyoyo sana wa kufikiri ndio hutaelewa hii move ya Raisi Samia ya kuanza kusema anawarudisha kina January Makamba kwa mama. Hii sio bure, na kama January anafikiri kwamba anachofanyiwa na Raisi Samia ni hisani, basi yeye ni one of the most naive, pathetic and disgusting politicians...
Wakuu,
Chama cha National League for Democracy (NLD) kimesema kitaendelea kushiriki Uchaguzi Mkuu wa 2025 licha ya changamoto za kisiasa.
Akizungumza Februari 23, 2025, jijini Dar es Salaam, Katibu Mkuu wa NLD, Doyo Hassan Doyo, alieleza kuwa chama hicho hakijaunga mkono kauli ya Mwenyekiti wa...
Serikali imezindua Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia mkoani Pwani, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuhakikisha haki inapatikana kwa wananchi wote, hususan wale wenye changamoto za kisheria lakini wasio na uwezo wa kugharamia huduma hizo.
Akizungumza katika uzinduzi huo uliofanyika leo...
Diwani wa Kata ya Themi wilaya ya Arusha mjini Mkoani Arusha Petro Lobora wakati wa kikao cha Baraza la madiwani bajet ya halmashauri kwa mwaka 2025-2026 alisimama na kuzungumza kwa niaba ya madiwani kwamba Mbunge walio nae Mrisho Mashaka Gambo hatoi ushirikiano kwa madiwani pindi anapohitajika...
October ya mwaka huu 2025, ndio mwezi wa uchaguzi wa Tanzania kwa mujibu wa katiba.
Ni wasaa muhimu sana kwa vyama vya siasa kote nchini kujiandaa vizuri kisera na kwa hali na mali ili hatimae kushiriki kikamilifu tendo hilo muhimu la kidemokrasi kwa mujibu wa katiba.
Vipo vyama mbalimbali vya...
Madiwani wa jiji la Arusha wamemuomba Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Makonda ikimpendeza muda utakapofika achukue fomu ya kugombea ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini ambalo kwa sasa lipo chini ya Mrisho Mashaka Gambo.
Wakizungumza Naibu Meya wa jiji la Arusha, Abraham Mollel na Diwani wa kata ya...
Wanabodi
Mimi ni story teller, from time to time, nitakuwa nafanya short sessions za News analysis ambazo zitaitwa "PPR News Analysis".
Nichukue fursa hii kuelimisha kidogo hii news analysis ni nini.
News analysis ni uchambuzi wa habari, kwa kuwaita manguli kuichambua habari
fulani na ina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.