uchaguzi 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mindyou

    Pre GE2025 Tusaidianeni. Kwanini wabunge wengi wamepata Bachelors na Masters kutoka Open University? Kuna siri gani kwenye hicho chuo?

    Wakuu, Nilikuwa napitia pitia CV za wabunge hapa wakuu. Hawa ndio wabunge, ambao wana degrees na masters kutokea kwenye hicho chuo cha Open University: Assenga Abubakar Damian – Mbunge wa Kilombero – Bachelor of Arts in Political Science Innocent Bashungwa – Mbunge wa Karagwe – Masters of...
  2. Chifu mkuu

    Jaji Warioba: Napongeza CCM kwa hatua zake dhidi ya rushwa

    Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu, Mheshimiwa Jaji Joseph Sinde Warioba, amepongeza hatua zilizoanza kuchukuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika mapambano dhidi ya rushwa kwenye uchaguzi. Jaji Warioba ametoa pongezi hizo akirejea mabadiliko ya Katiba ya CCM yaliyofanywa na...
  3. Mindyou

    Pre GE2025 Stephen Wassira aihakikishia Marekani kwamba Uchaguzi ujao utakuwa ni wa huru na wa haki. CCM wanaogopa vikwazo?

    Wakuu, Tunaposema kuwa CCM inawaogopa zaidi wazungu kuliko wananchi na vyama upinzani tunamaanisha mambo kama haya. Swali la kujiuliza, ni kwanini Wasira "anaihakikishia" Marekani Uchaguzi kuwa huru na wa haki? Shotocan Lucas Mwashambwa naomba msaada kwenye swali langu...
  4. M

    Emmanuel Nchimbi anaenda kuwa katibu mkuu bora kabisa wa CCM

    Salam kwenu. Katika mkutano wake na makatibu matawi na kata katika wilaya ya Dodoma ameweka vipimo mathubuti kuelekea uchaguzi mkuu. Kwa maelekezo yake thabiti dhidi ya watia nia wote tutarajie haki wakati wa mchakato na uchaguzi wenyewe. Kuna wahuni walishaanza kutaka kupita bila kupingwa 😂😂...
  5. Ojuolegbha

    Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kipindi cha miaka 4 imeendelea na utekelezaji wa Programu ya Taifa ya

    Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kipindi cha miaka 4 imeendelea na utekelezaji wa Programu ya Taifa ya Kurasimisha Makazi yasiyo rasmi ambapo jumla ya makazi 2,666,218 yamerasimishwa nchini. Pakua Samia App kupitia Play Store au App Store...
  6. Tlaatlaah

    Kipindi cha uteuzi wa Mgombea Urais, Wabunge na Madiwani kupitia CHADEMA kitagubikwa na hujuma sana endapo maridhiano yasipofanyika

    Na katika uchaguzi mkuu wenyewe sasa, hujuma zitafanyika wazi wazi kabisa kwa wagombea uongozi wa chadema kama kulipa kisasi cha figisu na songombingo za kabokamchizi wakati wa uchaguzi wa ndani wa chadema. Kuna maeneo ambayo awali chadema ilikua na ufuasi mkubwa sana, but kwa hujuma na...
  7. Mindyou

    Pre GE2025 Waziri kivuli ACT Wazalendo NdolezI Petro: ACT hatuna kauli ya kwamba hatutashiriki kwenye Uchaguzi

    Wakuu, Waziri Kivuli Ofisi ya Waziri Mkuu-Bunge, Sera , Vijana , Kazi na Ajira amesema yafuatayo wakati yuko kwenye kwenye mahojiano pale EATV "Hoja ya kushiriki uchaguzi mkuu bado hatujaifuta, hakuna kikao ambacho tayari kimekaa kikaja kikafuta kauli ya kwamba hatutashiriki uchaguzi,"
  8. T

    Pre GE2025 CHADEMA, RC Mwanza na Polisi wajadili madai ya kutekwa kwa Katibu wa BAVICHA, Watatu wakamatwa

    Kamati ya ulinzi na usalama mkoani Mwanza imekanusha tuhuma za kuhusika katika kutoweka kwa Katibu wa Baraza la Vijana wa Chadema (Bavicha) Mkoa wa Mwanza, Amani Manengelo ambaye inadaiwa alichukuliwa na watu waliojitambulisha ni maofisa wa polisi. Manengelo anadaiwa kutoweka Februari 14, 2025...
  9. Mindyou

    Waziri Mkuu Kassim Majaliwa azindua kampeni ya Mama Samia Legal Aid mkoani Lindi

    Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Februari 19, 2025 atazindua kampeni ya Kitaifa ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia katika mkoa wa Lindi, kwenye viwanja vya Madini, Ruangwa Mkoani humo. Lengo la Kampeni hiyo ni kuwafikia wananchi wenye uhitaji na wasio na uwezo wa kumudu gharama za huduma za...
  10. T

    Pre GE2025 CCM Ruvuma yahimiza demokrasia kwenye nafasi za wagombea udiwani na ubunge

    Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Ruvuma kimewataka wanachama wake kuhakikisha wanazingatia taratibu, Sheria, na kanuni za Uchaguzi wakati wa mchakato wa uteuzi wa wagombea wa Ubunge na Udiwani. Lengo ni kuwarudisha madarakani wagombea wanaopendwa na wananchi, lakini kwa kufuata miongozo ya...
  11. Manfried

    Pre GE2025 Hizi ndio taasisi zilizoanzishwa na Hayati Benjamin Mkapa. Umejifunza nini?

    Hizi ni baadhi tu ya Taasisi zilizoanzishwa na Rais Mkapa; 1. TAA 2. TCRA 3. PPRA 4. BRELA 5. EWURA 6. TACAIDS 7. SUMATRA 8. TANROADS 9. TAKUKURU 10. TRA. 11. MKUKUTA. 12.MKURABITA. Awamu ya sita ni 👇🏾 1. Samia Legal Aid 2. Goli la Mama 3. Samia App 3. Kazi Iendelee 4...
  12. Mindyou

    Pre GE2025 Mbunge wa Gairo Ahmed Shabiby: Kuna siku nitakuja kutimua wafanyakazi wazembe

    Mbunge wa Gairo Ahmed Shabiby ambaye ni kaka wa mfanyabiashara Meleikh Online Shabiby alivamia sherehe ya wafanyakazi wa Mdogo wake Meleikh Shabiby na akapata nafasi ya kuzungumza na wafanyakazi ambapo aliwasisitiza kufanya kazi kwa weledi na bidii na akatoa ahadi kuwa ipo siku atakuja...
  13. Mindyou

    Pre GE2025 Kampeni ya Samia Legal Aid yatua mkoani Lindi kutatua changamoto za wananchi za kisheria

    Wananchi Mkoani Lindi wametakiwa kujitokeza kupata elimu ya msaada wa kisheria kupitia kampeni ya mama Samia Legal AID inayolenga kutatua changamoto za kisheria ambazo zinawakumba wananchi. Rai hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Lindi Zainab Telack,ambaye amewakilishwa na Mkuu wa Mkoa wa Pwani...
  14. T

    Pre GE2025 Lissu ahoji Rais anapata wapi pesa za kugawa kwa viongozi wa dini? kwa mshahara gani?

    Wakati akifanya mahojiano na ITV, Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu amehoji ni wapi Rais anatoa fedha za kuwapa viongozi wa dini? kwa mshahara upi? Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa...
  15. milele amina

    Pre GE2025 Kutoonekana kwa Patrick Boisafi (Mwenyekiti wa CCM Mkoa)na Athari zake kwa CCM Mkoa wa Kilimanjaro kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

    Utangulizi Katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2025, kumekuwapo na maswali mengi kuhusu kutoonekana kwa Patrick Boisafi, Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Kilimanjaro. Ni muda mrefu sasa tangu hajaonekana kwenye vikao muhimu vya chama, sherehe, misiba, na hata harambee mbalimbali...
  16. Mindyou

    Pre GE2025 Bora Uenyekiti wa Mbowe, Lissu bado hajajua watanzania wanataka nini. Mpango wake wa kustopisha Uchaguzi unaenda kuangukia pua!

    Mimi nilikuwa ni pro Lissu alipokuwa anapambana na FAM Lakini kusema ukweli so far sijaona kipya. Juzi nilikuwa namsikiliza akizungumzia njia atakazotumia kustopisha Uchaguzi. Lissu bado anaamini kwenye MAANDAMANO na CIVIL DISOBIDIENCE, vitu ambavyo wabongo hawako tayari kufanya kwa sasa kwa...
  17. Idugunde

    Pre GE2025 Rais Samia kugawa mikopo kwa wananchi sio tiba ya matatizo yao. Japokuwa ni wazi kuwa hii mikopo ipo kisiasa ili upate kura uchaguzi 2025

    Leo nilikuwa Chato stand ya zamani nimeshuhudia mambo ya ajabu sana. Eti Mama ametoa mikopo 10% ya mapato ya halmashauri. Alafu Mbunge Kalemani anabwatuka eti Mama amefanya mambo makubwa. Haya kikundi kina wajasiriamali 30 unakipa milioni mbili hii inasaidia nini kiuchumi? Unagawa bodaboda...
  18. Mindyou

    Pre GE2025 Kilimanjaro: Mwenyekiti wa Machifu Tanzania Rose Marialle agawa mitungi ya gesi kwa kina mama wazee ili kuhamasisha nishati safi

    Wakuu, Katika kuhakikisha wananchi wanafikiwa na huduma ya nishati safi ya kupikia, wanawake wazee kijiji cha Msae, kata ya Mwika Kaskazini mkoani Kilimanjaro wamewezeshwa mitungi 60 ya gesi ya kupikia ili kuondokana na uharibifu wa mazingira. Akikabidhi mitungi hiyo Februari 14, 2025 katika...
  19. Mindyou

    Pre GE2025 Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi kuanza kuandikisha wananchi wa Morogoro kuanzia Machi 1. Wapigakura 302,752 watarajiwa kuandikishwa!

    Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imetangaza kuanza kwa mzunguko wa 12 wa uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura, ambao utafanyika mkoani Morogoro na sehemu ya mkoa wa Tanga kwa siku saba kuanzia tarehe 01 hadi 07 Machi, 2025. Akifungua mkutano wa wadau wa uchaguzi mkoani Morogoro...
  20. Camilo Cienfuegos

    Pre GE2025 Rais Samia kuwa mgeni rasmi wa kwenye tuzo za Tanzania Comedy Awards

    Wakuu, Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika usiku wa Tuzo za Wasanii wa Vichekesho (Tanzania Comedy Awards) zitakazofanyika Februari 22, 2025 katika ukumbi wa The Super Dome, jijini Dar es Salaam. Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma...
Back
Top Bottom