uchaguzi 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mindyou

    Pre GE2025 Mbunge wa Viti Maalumu CCM Jesca Kishoa: Kuna kiongozi alinishauri nisisaidie wananchi, alitaka nihonge wajumbe ili nishinde Uchaguzi

    Wakuu. Wabunge wa CCM washaanza kutoa siri za kambi Mbunge wa viti maalum Jesca Kishoa hivi karibuni akiwa nanaongea na wananchi amefichua kuwa aliwahi kushauriwa na kiongozi mmoja wa kisiasa kwamba abadili mbinu zake za kisiasa na kwamba badala ya kuwahudumia wananchi, aweke akiba ya fedha...
  2. Mindyou

    Pre GE2025 Baada ya Samia Legal Aid sasa wameanzisha "Samia Teachers Clinic" kwa ajili ya maslahi ya walimu. Walimu msidanganyike!

    Wakuu, Baada ya Samia Legal Campaign, sasa hivi CCM wamekuja na hii ya kuitwa Samia Teachers kwa ajili ya kupata kura za walimu. Hapo walimu watadanganywa kuwa wanatatuliwa changamoto zao ili walainike kuwapigia kura CCM kwenye Uchaguzi alafu baada ya Uchaguzi hii huduma itakufa na walimu...
  3. Mindyou

    Pre GE2025 Mhamasishaji Michael Msechu na DC Petro Magoti wakutana kufanya ziara ili kuhamasisha vijana kujitokeza kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura

    Balozi wa mazingira na muhamasishaji, Ndugu Michael Msechu, amekutana na Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Petro Magoti, ambapo wamejadili mpango wa kufanya ziara ya kuhamasisha vijana na wananchi kujitokeza kwa wingi kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura. Kupata matukio na taarifa zote kwa...
  4. Mindyou

    Pre GE2025 Mchungaji Clear Malissa atangaza kufanya maombi Uwanja wa Uhuru kwa vyama vya CHADEMA, CCM na ACT kuelekea Uchaguzi Mkuu

    Mtumishi wa Mungu Clear Malissa ametangaza kufanya maombi makubwa katika Uwanja wa Uhuru, jijini Dar es Salaam, yatakayohudhuriwa na waumini wa dini zote nchini. Maombi hayo yanalenga kuiombea amani Tanzania, hasa katika kipindi hiki cha kuelekea chaguzi, ambazo mara nyingi huambatana na...
  5. Mindyou

    Pre GE2025 Pwani: Mbunge wa Chalinze Ridhiwani Kikwete aboresha taarifa zake kwenye daftari la kudumu la mpiga kura

    Mbunge wa Jimbo la Chalinze na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Kazi Vijana Ajira na Wenye Ulemavu Mhe Ridhiwani Kikwete Jana amejitokeza katika Ofisi ya Kata ya Msoga kwa ajili ya kujiandikisha na kuboresha taarifa zake katika Daftari la kudumu la Mpiga kura ili...
  6. Mindyou

    Pre GE2025 Picha: Ni lini Davina wa Bongo Muvi atajifunza kuwa hana mvuto wa kuwa Mbunge? Hii michango anayotoa ni kujichoresha!

    Wakuu, Hivi kwanini hawa celebrities hudhani kuwa just because wao ni maarufu basi automatically wanakuwa na mvuto wa kisiasa? Kuna huyu mmoja anajiita Davina (kwa wale waangaliaji sugu wa Bongo Movie wanamjua) mwaka 2021 aligombania viti maalum, huko CCM Iringa wakampiga chini. This time...
  7. Mindyou

    Pre GE2025 Tundu Lissu: Kuhusu jinsi gani tutazuia Uchaguzi kila mtu ajiongeze. Hivi wote tukilala barabarani watatuua wangapi?

    Wakuu, Hivi wananchi watakubali kweli kwenda kulala barabarani ili kuipa pressure serikali ili kuzuia Uchaguzi usifanyike? Hizi njia anazotaka kutumia Lissu mbona zinaanza kutia shaka? Siku ya leo akiwa Ikungi Singida, Lissu amesema: "Tutazuiaje, kila mtu na ajiongeze. Ikungi hapa tukilala...
  8. The Watchman

    Pre GE2025 Aliyehamia CCM Zanzibar: Niligombea umakamu mwenyekiti ACT kumpinga Jussa akaniambia utakoma na hautakuwa

    Wanachama 2370 waliokua ACT Wazalendo wakiongozwa na aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Kiwani kwa miaka 20, Hija Hassan Hija, wamekabidhi kadi za ACT na kuhamia Chama cha Mapinduzi (CCM) huku akiweka bayana kuwa aligombea makamu uenyekiti kwenye chama chake cha awali kumpinga Ismail Jussa ambapo...
  9. Mindyou

    Pre GE2025 Mwenyekiti wa BAVICHA: Uchaguzi umekuwa ni bomba la kuua vijana, hatutaruhusu Uchaguzi ufanyike

    Wakuu, Akiwa anazungumza leo huko Singida, Mwenyekiti wa Vijana CHADEMA, Deogratius Mahinyila amesema kuwa vijana wa CHADEMA watahakikisha Uchaguzi wa mwaka huu haufanyiki Mahinyila amesema kuwa mara kwa mara vijana wamekuwa wakiuliwa kipindi cha Uchaguzi, ikiwemo kwenye Uchaguzi wa Serikali...
  10. The Watchman

    Pre GE2025 Waziri mkuu: Mpango wetu CCM ni kuhakikisha wagombea wetu watakapopita kwenye maeneo yetu wasipate kazi kubwa kueleza miradi ya maendeleo

    Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa akiwa ni mgeni rasmi kwenye mkutano Mkuu Maalum Chama Cha Mapinduzi Jimbo la Itilima, mkoani Simiyu Februari 15, 2025 amesema mpango wa Chama hicho ni kuhakikisha kwamba...
  11. The Watchman

    Pre GE2025 Ujumbe wa Rais Dkt Mwinyi kwa waliokuwa wakidhani wana nafasi ya kugombea kupitia CCM, asema basi watambue hawana wasubiri 2030

    "Nimekuja kutoa shukrani kwa kuteuliwa kuwa mgombea pekee wale waliokuwa wanadhani wana nafasi basi watambue hawana wasubiri 2030 ndio waje" Dkt Mwinyi ameyasema hayo wakati wa hafla ya Mapokezi ya mgombea wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Kiwani, Kusini Pemba Soma pia: Pre...
  12. Mindyou

    Pre GE2025 Tundu Lissu: Samia anaposema kazi iendeee maana yake kazi ya Magufuli iendelee. Hakutakuwa na Uchaguzi bila mabadiliko

    Tazama mapokezi ya Lissu Ikungi akielekea kufanya mkutano mkubwa nyumbani kwao Ikungi Singida Fuatilia uzi huu kujua nini kimejiri https://www.youtube.com/watch?v=qi1dGtNY5c0
  13. Mindyou

    Pre GE2025 Video: Wazee wa kimila Singida wamteua Tundu Lissu kuwa shujaa wa Kinyaturu. Wamvika nguo za kimila ikiwemo kaniki na ngao

    Wakuu, Huko Singida leo, Lissu alisimamisha mkoa wote baada ya wazee wa kimila la Kinyaturu kumtawaza Lissu kama shujaa wa Kinyaturu Wamempa ngao na kaniki kama nembo ya heshima yao kwa Lissu Nimepata maswali mengi sana baada ya kuona hili tukio.
  14. Mindyou

    Pre GE2025 Ummy Mwalimu awahimiza wakazi wa Tanga kwenda kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la mpiga kura

    Mbunge wa Jimbo la Tanga Mjini, Ummy Mwalimu amewahimiza wananchi wa jimbo hilo kujitokeza kwa wingi kujiandikisha na kuboresha taarifa zao katika Daftari la Kudumu la Mpiga Kura, ili kuhakikisha wanashiriki kikamilifu katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025. Mhe. Ummy ametoa wito huo, Februari 14...
  15. Mindyou

    Pre GE2025 Haya mashindano yaliyopewa jina la Samia Cup, Rais anayafahamu kweli? Tukisema CCM wameanza kampeni huwa mnakataa nini?

    Wakuu, Hivi tukisema kwamba CCM wameanza kampeni kuelekea Uchaguzi mkuu nitakuwa nimekosea. Naanza kuamini kuna watu ambao wanajifanyia tu vitu wakidhani wanamsaidia Rais lakini kumbe wanamharibia tu. Sidhani kama Rais kutokana na majukumu mengi aliyokuwa nayo atakuwa na muda kupendekezo...
  16. Stephano Mgendanyi

    Usambazaji wa Maji ya Bomba Musoma Vijijini

    USAMBAZAJI WA MAJI YA BOMBA MUSOMA VIJIJINI Jimbo la Musoma Vijijini lenye vijiji 68 linayo miradi ya usambazaji wa maji ya bomba ndani ya vijiji vyote 68 - tunaishukuru sana Serikali yetu Mradi wa Kata za Busambara & Kiriba: Tenki la ujazo wa lita 500,000 limejengwa Kijijini Mwiringo kwa...
  17. Mindyou

    Pre GE2025 Tundu Lissu: Kama CCM hawataki kuleta mageuzi kwa hiyari wataleta mageuzi kwa shuruti. Tujiandae kuzuia Uchaguzi

    Wakuu, CCM mna ujumbe hapa kutoka kwa Tundu Lissu. Akiwa anazungumza huko Manyoni siku ya leo, Tundu Lissu amesema kuwa kutokana na CCM kugoma kufanya mabadiliko kwa hiyari basi wataleta mabadiliko kwa shuruti Lissu amedokeza kuwa CHADEMA iko tayari kufanya mabadiliko kwa shuruti na kwamba...
  18. Mindyou

    Pre GE2025 Mwenyekiti BAVICHA Mwanza: Uchaguzi ukiwa huru, CHADEMA tunachukua nchi

    Wakuu CHADEMA inaonekana kama wako serious sana na huu Uchaguzi Msikilize hapa Mwenyekiti wa BAWACHA Mwanza Hosiana Kusiga: Safu ya uongozi kwa Chama chetu imeshakamilika na tuna uhakika kama uchaguzi mkuu utafanyika kwa uhuru na haki basi CHADEMA tunachukua nchi na ndio maana tunasema (No...
  19. M

    Aliyenishauri niingie kwenye kilimo cha parachichi hapa Njombe aliniingiza chaka, nimepoteza fedha na muda

    Nimekuwa mkulima wa parachichi kwa miaka mingi, lakini sijawahi kuona pesa inayosemekana ipo kwenye zao hili. Kila mwaka nakutana na sababu zile zile za changamoto za soko. Baada ya kutafakari kwa muda mrefu, nimeamua rasmi kufyeka parachichi na kubadilisha mwelekeo wa kilimo changu. Nitatumia...
  20. Mindyou

    John Heche anapokelewa nyumbani kwao Tarime muda huu

    Tazama live mapokezi ya John Heche, Makamu Mwenyekiti Chadema nyumbani Tarime Endelea kukaa karibu na uzi huu ili upate updates ya kinachojiri https://www.youtube.com/live/7OJyurWyWTM?si=7W8P31TYXlSoapMT
Back
Top Bottom