Uchaguzi wa kumpata Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa kesho una maana kubwa sana kwa Taifa letu.
Ni siku ambayo Historia ya siasa za upinzani Tanzania inakwenda kuandikwa.
CHADEMA wanakwenda kuamua ama kuendeleza siasa za upinzani au kuua kabisa.
Ukweli wa Mungu ni kwamba, kulingana na mazingira ya...
Mara baada ya Twaha Mwaipaya aliyekuwa mgombea wa nafasi ya mjumbe wa kamati kuu Chadema na aliyekuwa mwenezi wa Bavicha katika uongozi uliopita kuenguliwa katika kinyang'anyiro hiko wanachedema mbalimbali kupitia kurasa zao za mitandao ya kijamii wameeleza hisia zao.
Kupata taarifa na matukio...
Godbless Lema akizungumza na wanahabari leo Januari 19, 2025 amesema kuwa mgombea wa nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA taifa, Tundu Lissu anaungwa mkono na asilimia kubwa ya wenyeviti mkoa
"Mheshimiwa Lissu anaungwa Mkono na Wenyeviti wa Mikoa 25 kati ya 33(iliyopo Tanzania), Wenyeviti 21...
https://www.youtube.com/live/FqER78na70U?si=fdkhYBIEbHCPvXlP
Huenda kweli safari ya Mbowe imewadia wimbi la mabadiliko ni kubwa sana ndani ya CHADEMA lazima tusikilize sauti za watu.
Ukipewa rushwa kula ila kamwe usiuuze chama kwa vipande vya pesa.
1. Bila Mheshimiwa Dr Bilionea Freeman Mbowe (Kiongozi wa Kambi rasmi ya upinzani Bungeni Mstaafu (KB Mstaafu) basi hakuna CHADEMA.
2. Mheshimiwa kakipigania Chama toka Enzi, anatokea mwanaharakati "uchwara" anajidai ana uchungu. Huku hataki kuchangia Chama.
NB: Nafasi ya Mwenyekiti si ajira...
Ni mjinga pekee ndiyo anaweza kuunderestimate Nguvu ya Mbowe ndani ya CHADEMA, Namshauri Lissu awamu hii akubali amekosea hesabu zake za kisiasa na ni wazi hatamuweza Mbowe atashindwa ila anaweza kurekebisha Makosa baada ya awamu hii kama kweli bado atakuwa anahitaji kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA...
vitendo vya kudhalilishana, kutukanana na kuvuana nguo za ndani hadharani ni ushahidi tosha kuwa Chadema bado haijakomaa.
Uchaguzi wa ndani tu wanaumbuwana na kutukanana hadharani, je Wakipewa Dola si watauwana wote!!!
Wao kwa wao wanatukanana, hawaheshimiani, ngumi mkononi yaani uhuni...
"Tukutane kwenye Medani Kuu Live na Chief Edwin Odemba kujadiliana juu ya 'Uongozi Wetu na Hatma ya CHADEMA 2025 & Beyond'! Katika kuelekea 'Fainali' ya tarehe 21 Januari, 'Mdahalo wa Wenyeviti' ni utamaduni wa kisiasa unaopaswa kujengwa na kukuzwa kama sehemu ya ujenzi wa utamaduni wa...
Inashangaza, inasikitisha na inaudhi kuwa pamoja na kushauri, kuonya na kutoa tahadhari kwa nia njema kabisa kuhusu mustakhabali wa taifa hatukusikilizwa...tulipuuzwa!
Najitokeza tena kumshauri Mh. F. A. Mobwe kuwa leo hii na bila kuchelewa achukue maamuzi mazito kuliko yote aliyowahi kuchukua...
Wakati Trump anaibuka kugombea urais mwaka 2016 alipingwa karibia na establishment yote ya chama cha Republicans, alikuwa anaonekana mropokaji na kituko tu mbele ya "wenye chama", hakuna aliyedhani angefika mbali ila leo hii ni Rais wa Marekani kwa awamu ya pili.
Kama wajumbe tu wa chama cha...
Huyu Mbowe ni mwamba kweli kweli
Freeman Mbowe, kiongozi wa muda mrefu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), amekuwa mstari wa mbele katika harakati za kupigania demokrasia, haki za binadamu, na uwajibikaji wa serikali nchini Tanzania. Uongozi wake umejikita katika kukuza upinzani...
Hili ndio swali langu kwa timu Mbowe na vibarqka wengine plus MA-CCM wote wanaotaka Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti.
Lema na Lissu, mjue Mbowe sio wa kumsitiri tena kwa lolote. Yuko kimya ila msifikiri Wenje yuko peke yake. Huyu katumwa.
Wameona wana hali mbaya sasa wameona waibue tuhuma ili...
Rhoda Kunchela mwenyekiti wa Mkoa pekee mwanamke wa CHADEMA Tanzania anatoa tamko zito muda huu,
Msikilize mpaka Mwisho
https://www.youtube.com/live/A6NBwKj3O4g?si=pmrIb6j38qFb--3k
Mgeni rasmi kwenye Uchaguzi wa Bawacha anategemewa Kuwa Mbowe na hii ilipangwa Kwa umakini ukizingatia Bawacha ni Jeshi kubwa
Jana Tundu Lisu kamuwahi Mwenyekiti wake Kwa hotuba yake mitandaoni ya kuwataka wamchague mama Simba
Chadema ina wasomi wa vipaji aisee 😂😂😂
Happy New Year 🌹
Kama uchaguzi wote unasimamiwa na chama, huu mchango unalenga nini kama si rushwa?
Chama kimelipia uchaguzi wote.
Pesa hii haitamika kuhonga wajumbe na kusambaza propaganda dhidi ya chama?
Mwenye macho haambiwi tazama.
Kuna mikutano miwili. Wa CCM Dodoma na hii ya uchaguzi wa CHADEMA wakipanga safu yao ya uongozi.
Kwa upande wa CCM tunaona hakuna hoja za msingi kuufanya mkutano wao uwe na mvuto zaidi ya show off ya mabasi, mabango kila sehemu huko Dodoma na matumizi ya wasanii...
Ushauri kwa Lissu: Kujitoa Katika Uchaguzi na Kumuunga Mkono Mbowe
Mheshimiwa Lissu, kwa kuzingatia hali ya kisiasa ndani ya CHADEMA na mazingira ya uchaguzi wa ndani, kuna hekima kubwa katika kuchukua hatua ya kujitoa kwenye kinyang'anyiro cha uenyekiti na kumuunga mkono Mheshimiwa Mbowe. Hii...
https://youtu.be/3F8yBt6lrOY?si=stTHOPf0ioqfr114
Huyu dada ndio mtu pekee anaweza kuziba pengo la Halima Mdee pale BAWACHA.
CHADEMA itumieni vizuri hii tunu mliyopewa na Mungu, Dada anaujasiri kama wa Simba na amenyooka kama Lissu
Tofauti ya Mdee na Simba ni majina tu hakika CHADEMA inahazina...
Mpo salama!
Wengine tunajadili na kuyaona mambo kwa Jinsi yanavyoonekana na Wala sio ushabiki.
Hakuna asiyejua nguvu ya Mbeya, Mara na Arusha kwenye chama cha CHADEMA.
Mikoa hiyo ndio ngome kuu ya CHADEMA.
Unapokataliwa kwenye ngome yako alafu ukang'ang'ania kutawala ni kujaribu kujiangusha...
14 Januari 2024
Wakili wa Mahakama Kuu achaguliwa kuwa mwenyekiti mpya wa BAVICHA Chadema leo 14.01.25.
Je Wakili msomi Deogratius Mahinyila ni nani ?
Picha maktaba : Deogratius Cosmas Mahinyila
Wakili wa mahakama kuu ya Tanganyika Deogratius Mahinyila leo ametangazwa kuwa mwenyekiti mpya wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.