uchaguzi chadema 2024/2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Pre GE2025 CHADEMA, kesho 21.01.2025 tuleteeni nuru na siyo giza

    Uchaguzi wa kumpata Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa kesho una maana kubwa sana kwa Taifa letu. Ni siku ambayo Historia ya siasa za upinzani Tanzania inakwenda kuandikwa. CHADEMA wanakwenda kuamua ama kuendeleza siasa za upinzani au kuua kabisa. Ukweli wa Mungu ni kwamba, kulingana na mazingira ya...
  2. T

    Pre GE2025 Wanachedema walia na yanayofanyika ndani ya Chadema, wadai hayatofautiani na yaliyofanywa na TAMISEMI kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa

    Mara baada ya Twaha Mwaipaya aliyekuwa mgombea wa nafasi ya mjumbe wa kamati kuu Chadema na aliyekuwa mwenezi wa Bavicha katika uongozi uliopita kuenguliwa katika kinyang'anyiro hiko wanachedema mbalimbali kupitia kurasa zao za mitandao ya kijamii wameeleza hisia zao. Kupata taarifa na matukio...
  3. mwanamwana

    Pre GE2025 Lema: Lissu anaungwa mkono na wenyekiti mikoa 25 kati ya 33

    Godbless Lema akizungumza na wanahabari leo Januari 19, 2025 amesema kuwa mgombea wa nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA taifa, Tundu Lissu anaungwa mkono na asilimia kubwa ya wenyeviti mkoa "Mheshimiwa Lissu anaungwa Mkono na Wenyeviti wa Mikoa 25 kati ya 33(iliyopo Tanzania), Wenyeviti 21...
  4. P

    PWANI: Hatimaye wajumbe wa Mkutano Mkuu CHADEMA wamkataa rasmi Mbowe wasema bila Lissu CHADEMA ni kama CUF ya Lipumba

    https://www.youtube.com/live/FqER78na70U?si=fdkhYBIEbHCPvXlP Huenda kweli safari ya Mbowe imewadia wimbi la mabadiliko ni kubwa sana ndani ya CHADEMA lazima tusikilize sauti za watu. Ukipewa rushwa kula ila kamwe usiuuze chama kwa vipande vya pesa.
  5. M24 Headquarters-Kigali

    Bila Mbowe mbona Chadema itajifia!

    1. Bila Mheshimiwa Dr Bilionea Freeman Mbowe (Kiongozi wa Kambi rasmi ya upinzani Bungeni Mstaafu (KB Mstaafu) basi hakuna CHADEMA. 2. Mheshimiwa kakipigania Chama toka Enzi, anatokea mwanaharakati "uchwara" anajidai ana uchungu. Huku hataki kuchangia Chama. NB: Nafasi ya Mwenyekiti si ajira...
  6. M

    Lissu ashauriwe kama ana ndoto za kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Mbowe ni Karata yake muhimu sana asimuache

    Ni mjinga pekee ndiyo anaweza kuunderestimate Nguvu ya Mbowe ndani ya CHADEMA, Namshauri Lissu awamu hii akubali amekosea hesabu zake za kisiasa na ni wazi hatamuweza Mbowe atashindwa ila anaweza kurekebisha Makosa baada ya awamu hii kama kweli bado atakuwa anahitaji kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA...
  7. Z

    CHADEMA kuvuana nguo hadharani ni ushahidi kuwa bado Chama hakijakomaa

    vitendo vya kudhalilishana, kutukanana na kuvuana nguo za ndani hadharani ni ushahidi tosha kuwa Chadema bado haijakomaa. Uchaguzi wa ndani tu wanaumbuwana na kutukanana hadharani, je Wakipewa Dola si watauwana wote!!! Wao kwa wao wanatukanana, hawaheshimiani, ngumi mkononi yaani uhuni...
  8. T

    Pre GE2025 Baada ya Mbowe kukacha mdahalo, Lissu asema ingependeza kama mdahalo ungewahusisha wote watatu

    "Tukutane kwenye Medani Kuu Live na Chief Edwin Odemba kujadiliana juu ya 'Uongozi Wetu na Hatma ya CHADEMA 2025 & Beyond'! Katika kuelekea 'Fainali' ya tarehe 21 Januari, 'Mdahalo wa Wenyeviti' ni utamaduni wa kisiasa unaopaswa kujengwa na kukuzwa kama sehemu ya ujenzi wa utamaduni wa...
  9. Mag3

    Tulishauri, tukatoa tahadhari na tukaonya lakini kama walivosema wahenga, sikio la kufa halisikii dawa!

    Inashangaza, inasikitisha na inaudhi kuwa pamoja na kushauri, kuonya na kutoa tahadhari kwa nia njema kabisa kuhusu mustakhabali wa taifa hatukusikilizwa...tulipuuzwa! Najitokeza tena kumshauri Mh. F. A. Mobwe kuwa leo hii na bila kuchelewa achukue maamuzi mazito kuliko yote aliyowahi kuchukua...
  10. Yoda

    Mbowe chukua somo muhimu kwa Trump, MAGA na Republicans uiponye CHADEMA

    Wakati Trump anaibuka kugombea urais mwaka 2016 alipingwa karibia na establishment yote ya chama cha Republicans, alikuwa anaonekana mropokaji na kituko tu mbele ya "wenye chama", hakuna aliyedhani angefika mbali ila leo hii ni Rais wa Marekani kwa awamu ya pili. Kama wajumbe tu wa chama cha...
  11. S

    Mafanikio , Vikwazo ,misimamo ya Freeman Mbowe dhidi ya serikali ya Tanzania

    Huyu Mbowe ni mwamba kweli kweli Freeman Mbowe, kiongozi wa muda mrefu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), amekuwa mstari wa mbele katika harakati za kupigania demokrasia, haki za binadamu, na uwajibikaji wa serikali nchini Tanzania. Uongozi wake umejikita katika kukuza upinzani...
  12. S

    Lissu akimjibu Wenje na kusema yote hata yale ambayo alikuwa hataki kusema mtamuita mropokaji? Tukumbule Lissu alikuwa nje ya nchi wakati huo

    Hili ndio swali langu kwa timu Mbowe na vibarqka wengine plus MA-CCM wote wanaotaka Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti. Lema na Lissu, mjue Mbowe sio wa kumsitiri tena kwa lolote. Yuko kimya ila msifikiri Wenje yuko peke yake. Huyu katumwa. Wameona wana hali mbaya sasa wameona waibue tuhuma ili...
  13. Patriot missile

    Rhoda Kunchela mwenyekiti wa Mkoa pekee mwanamke wa CHADEMA Tanzania anatoa tamko zito muda huu

    Rhoda Kunchela mwenyekiti wa Mkoa pekee mwanamke wa CHADEMA Tanzania anatoa tamko zito muda huu, Msikilize mpaka Mwisho https://www.youtube.com/live/A6NBwKj3O4g?si=pmrIb6j38qFb--3k
  14. J

    Akili kubwa: Tundu Lissu ameshawahutubia BAWACHA kabla ya Hotuba ya Mgeni rasmi

    Mgeni rasmi kwenye Uchaguzi wa Bawacha anategemewa Kuwa Mbowe na hii ilipangwa Kwa umakini ukizingatia Bawacha ni Jeshi kubwa Jana Tundu Lisu kamuwahi Mwenyekiti wake Kwa hotuba yake mitandaoni ya kuwataka wamchague mama Simba Chadema ina wasomi wa vipaji aisee 😂😂😂 Happy New Year 🌹
  15. M

    Hii michango anayoomba Tundu Lissu si rushwa kipindi hiki cha uchaguzi wa ndani?

    Kama uchaguzi wote unasimamiwa na chama, huu mchango unalenga nini kama si rushwa? Chama kimelipia uchaguzi wote. Pesa hii haitamika kuhonga wajumbe na kusambaza propaganda dhidi ya chama?
  16. Lord denning

    Tofauti ya CCM na CHADEMA: CCM wanatumia Show Off ya Magari, mabango na Wasanii kutangaza Mkutano wao,Chadema wanatumia midahalo yenye hoja nzito!

    Mwenye macho haambiwi tazama. Kuna mikutano miwili. Wa CCM Dodoma na hii ya uchaguzi wa CHADEMA wakipanga safu yao ya uongozi. Kwa upande wa CCM tunaona hakuna hoja za msingi kuufanya mkutano wao uwe na mvuto zaidi ya show off ya mabasi, mabango kila sehemu huko Dodoma na matumizi ya wasanii...
  17. M

    Ushauri kwa Lissu kujitoa katika uchaguzi; Hoja 5 madhubuti

    Ushauri kwa Lissu: Kujitoa Katika Uchaguzi na Kumuunga Mkono Mbowe Mheshimiwa Lissu, kwa kuzingatia hali ya kisiasa ndani ya CHADEMA na mazingira ya uchaguzi wa ndani, kuna hekima kubwa katika kuchukua hatua ya kujitoa kwenye kinyang'anyiro cha uenyekiti na kumuunga mkono Mheshimiwa Mbowe. Hii...
  18. N

    Kumbe hii Simba jike ya CHADEMA ni Simba kweli kweli, Pengo la Halima Mdee sasa limepata mzibaji

    https://youtu.be/3F8yBt6lrOY?si=stTHOPf0ioqfr114 Huyu dada ndio mtu pekee anaweza kuziba pengo la Halima Mdee pale BAWACHA. CHADEMA itumieni vizuri hii tunu mliyopewa na Mungu, Dada anaujasiri kama wa Simba na amenyooka kama Lissu Tofauti ya Mdee na Simba ni majina tu hakika CHADEMA inahazina...
  19. Robert Heriel Mtibeli

    Pre GE2025 Mbeya, Arusha, Mara ndio ngome za CHADEMA kama wamemkataa Mbowe, kama atashinda tafsiri yake ngome hizo zimeanguka. CHADEMA kwisha!

    Mpo salama! Wengine tunajadili na kuyaona mambo kwa Jinsi yanavyoonekana na Wala sio ushabiki. Hakuna asiyejua nguvu ya Mbeya, Mara na Arusha kwenye chama cha CHADEMA. Mikoa hiyo ndio ngome kuu ya CHADEMA. Unapokataliwa kwenye ngome yako alafu ukang'ang'ania kutawala ni kujaribu kujiangusha...
  20. B

    Je, Mwenyekiti mpya BAVICHA, Wakili Deogratius Mahinyila ni nani?

    14 Januari 2024 Wakili wa Mahakama Kuu achaguliwa kuwa mwenyekiti mpya wa BAVICHA Chadema leo 14.01.25. Je Wakili msomi Deogratius Mahinyila ni nani ? Picha maktaba : Deogratius Cosmas Mahinyila Wakili wa mahakama kuu ya Tanganyika Deogratius Mahinyila leo ametangazwa kuwa mwenyekiti mpya wa...
Back
Top Bottom