uchumba

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Kifaru86

    Ulianzaje kujipanga na maisha ya ndoa ukiwa katika kipindi cha uchumba?

    Bila kupoteza muda kama kichwa cha habari kinavyosema ulianzaje kujipanga na maisha kabla ya kuingia kwenye ndoa ukiwa katika kipindi cha uchumba. Hebu tupeane mawazo wenzetu mliioowa mlianzaje kujiandaa na kujipanga kabla ya ndoa.
  2. M

    Wanawake hasa wa miaka hii ya utandawazi wakifanikiwa kama wapo kwenye uchumba au ndoa lazima iteteleke (asilimia kubwa sio wote)ipo

    Habari zenu wandugu.. Nimependa nilete hii mada. Hivi ni kwanini wanawake wanashindwa kumudu mafanikio hasa wa miaka hii ya utandawazi. Mfano wa kweli kuna watu wengi nawafahamu wanawake zao baada ya kufanikiwa wakavunja mahusiano.. Pia hata Mimi ishawahi nitokea kuna binti nilikuwa nae...
  3. michael G

    Ushauri: Nahisi mchumba wangu ana mahusiano na wanaume wengine

    Habari za Jumapili. Poleni kwa majukumu na pole kwa Mashabiki wenzangu wa SIMBA ila safarii bado. Nina mpenzi wangu tupo kwenye mahusiano kwa miaka 5 sasa (2016-2021) ila shida inakuja kwenye Simu yakee, hataki niishike na nikiishika nakuwa natumia nguvu sana, na anasema hataki nimkague ila...
  4. Gulio Tanzania

    Kuna athari kuoa mwanamke anayeanza mahusiano kwa vizinga

    Ukweli bado vijana wengi tuna dhana ile tunaamini mwanamke ambaye hakuombi hela ndo anafaa kuwa mke sasa limeibuka wimbi kubwa la wanawake wapiga mizinga ukisikiliza maoni ya vijana wanasema wanawake hawa ni hit and run hawafai kuolewa. Sasa nimeamua kuleta mada ili tupeane uzoefu kwa wanaume...
  5. Expensive life

    Ushauri: Tumekuwa wachumba kwa miaka mitatu lakini sijawahi kufika nyumbani kwake. Hii inaweza kuathiri chochote?

    Naomba mnisadie hili jambo. Nimedumu na mpenzi wangu kipenzi kwa muda wa miaka mitatu mpaka sasa. Tuna ndoto kubwa ya kuja kuwa wanandoa muda si mrefu, lakini katika miaka mitatu mimi "male" sijawahi kufika nyumbani kwake. Yeye mara kwa mara huja nyumbani kwangu kunitembelea, sasa amekuwa...
  6. Antibiotics

    Natafuta msichana wa kuanzisha nae uchumba

    Hello Guys mimi ni Mwanaume miaka 30,naishi Dar,Am serious natafuta mchumba,Awe mkristu,mrefu wa wastani,maji ya kunde au mweupe asilia,Asiwe na mtoto,Elimu kuanzia form four na kuendelea, Awe au asiwe na kazi kwangu sawa tu,kabila lolote kutoka mkoa wowote,awe mcha Mungu na mwenye hofu ya...
  7. E

    Hivi pesa ya kishika uchumba huwa ni shilingi ngapi?

    Habari za Leo wakuu, Nahitaji kujua hivi pesa ya kishika uchumba huwa ni shilingi ngapi? Na anayepanga huwa ni nani? Na anapewa nani?
  8. Chizi Maarifa

    Girlfriend kichefu chefu kweli. Ndio aende hatua ya uchumba huyu?

    Wadau kuna mdada nadate naye ni kichefuchefu sana. Haya mambo yananipa ukakasi sana wa kusonga naye mbele. 1. Hana romantic language yaani huyu dada ana maneno magumu sijapata ona siku anakuja home namwelekeza na mtu wa bajaji, tena first day ananambia "bwana eeh kama vipi mi nageuza zangu homu...
  9. The Assassin

    Serikali kupokea Tsh Bilioni 100 kutoka Barrick, sehemu ya Bilioni 700 ya kishika uchumba

    Serikali inatarajiwa kupokea Dollar million 40 au shilingi Billioni 100 kutoka kampuni ya Barrick ikiwa ni sehemu ya kishika uchumba cha Dollar Millioni 300 ambayo Barrick iliahidi kuipa serikali ili kumaliza mgogoro wa madini.
  10. yuda75

    Kwanini wanawake mkishaolewa ndio mnabadilika tabia, kwanini msibadilike kipindi cha uchumbaa?

    Wazee wenzangu, Ukiwa na mchumba na umesha mvika pete ongeza umakini zaidi ya awali, wengi wanakuwa wapole sanaa balaaa ukisha muoa yani inakuwa ni kama vita ya jihad. sijui kwanini inakuwa hivyo. Ila kwa wale mnaoitana wachumba na hata pete mjavikwa nasema mnafanya umalaya acheni mara...
  11. K

    Naomba kuelimishwa kuhusu suala la Pete za Uchumba

    Wakuu, habari za wakati huu? Naomba kupewa dondoo kuhusu suala la pete ya uchumba. 1. Pete ya uchumba ni lazima mvalishane hata kama tayari mnaishi wote? 2. Pete ya uchumba lazima umvalishe mwenzio mbele za watu au unaweza ukamfanyia tu suprise mkiwa wawili hata chumbani ukamvalisha? 3. Pete...
  12. Pascal Mayalla

    Habari Njema Kutoka Barrick Gold kwa Watanzania, Tunaanza Kufaidi Rasilimali Zetu, Donge Nono la Dola Milioni 100 zalipwa

    Wanabodi, Hatimaye Tanzania sasa tunaanza kufaidi rasilimali zetu za madini, ambapo leo, donge nono la dola za Marekani milioni 100, zimelipwa kwenye kile kibubu chetu pale kwenye ule mfuko Mkuu wa hazina ya serikali kama advance payment ya kile kishika Uchumba cha dola milioni 300, ambacho...
  13. trouble maker

    Chungu lakini dawa {kwanini BIKRA ithaminiwe kabla ya ndoa}

    CHUNGU LAKINI DAWA Kama hana bikra usimuoe, achana naye. Tafuta mwenye bikra ujichukulie mwali. Kama hana bikra usitoe mahari kama umeamua kuoa. Toa mahari kwa mwanamke uliyeikuta bikra kwake. Mtu hana bikra unatoaje mahari. Kama hana bikra usifanye harusi. Harusi ni kwa mwanamke mwenye bikra...
  14. Y

    Badoo inanivunjia uchumba wangu

    Kwanza nikiri hii ni ID yangu ya pili kwaajili ya issue hii tu, nisingependa kutumia yangu halisi kwasababu za kibinafsi zaidi. Nina mchumba wangu tupo kwenye mahusiano kama mwaka sasa unafika na soon tulikuwa tunasubiri jambo fulani ili mwezi wa 11 tufunge ndoa, kimsingi tunapendana sana...
Back
Top Bottom