Agizo limetolewa na Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu, Mustapha Mohamed Siyani akiitaka TAKUKURU kuchunguza tuhuma za Watumishi hao kupokea Rushwa kwa njia ya Miamala ya Simu.
Akizungumza wakati wa Sherehe za Uzinduzi wa Wiki ya Sheria, Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Dkt. Rashid Chuachua amewatuhumu...
Wizara ya Elimu, Sayansi na Elimu ya Juu, imetuma timu maalumu mkoani Kilimanjaro kuchunguza tuhuma za wanafunzi kufundishwa vitendo vya ulawiti katika shule mkoani humo.
Uamuzi wa Serikali unatokana na gazeti moja nchini kuripoti uwepo wa shule inayofundisha masuala hayo mkoani humo kitendo...
Picha: Mchungaji Eliona Kimaro
Semina iliyokuwa imeanza katika usharika wa KKKT Kijitonyama ikiongozwa na Rev Dr. Eliona Kimaro imelazimika kusimama kufuatia barua aliyopewa ya likizo ya siku 60 na kupelekea kushindwa kuendelea na semina hiyo.
Mchungaji Kimaro amesema anatumia fursa hiyo...
Salam za Jumatatu.
Iwe Voda, Tigo, Airtel nk, kuna madeni ya kukopa iwe songesha, nk.
Kwa bahati njema wateja waaminifu hukopeshwa fedha nyingi sana. Kwa kuwa kimsingi chip ya mteja ndio ya biashara zake Hana budi kulipa deni. Na Kwa kweli hakuna namna.
Mwezi Januari ni wa malipo mengi, hata...
Serikali imeombwa kufanya uchunguzi na kuwachukulia hatua waliohusika na kifo cha mkazi wa Sanawari, wilayani Arumeru, Mkoa wa Arusha, Nelson Mollel (32) aliyefariki dunia kwa kudaiwa kupewa adhabu ya kuchapwa viboko 280.
Mollel alifariki Januari 8, 2023 kwa madai ya kuchapwa baada ya...
Taarifa iliyotolewa na Mamlaka ya Vyombo vya Habari vya Ethiopia (EMA) ambayo iko chini ya Serikali imetoa onyo kwa mamlaka nyingine ambazo zimekuwa zikiingilia uhuru wa Waandishi wa Habari wakiwemo wanaofanya Habari za Uchunguzi.
Onyo hilo limetokana na malalamiko kutoka Kituo cha Televisheni...
Alhamisi, Desemba 15, 2022
JamiiForums, UTPC kunoa waandishi 500 wa habari-uchunguzi
Mkurugenzi wa JamiiForums, Maxence Melo na Mkurugenzi wa Umoja wa Klabu za Waandishi wa Habari Tanzania ( UTPC), Kenneth Simbaya wasaini mkataba wa ushirikiano kwa ajili ya kutoa mafunzo kwa waandishi wa...
Waziri wa TAMISEMI, Angellah Kairuki, ameagiza TAKUKURU kuchunguza matumizi ya shilingi milioni 470, zilizotolewa na serikali kujenga shule mpya ya Sekondari Mwanduitinje, iliyopo jimbo la kisesa wilaya ya Meatu, ambapo fedha hizo zimeisha kabla ya mradi kumalizika ujenzi wake.
Waziri Kairuki...
Habari Watanzania, lengo langu la kuanzisha huu uzi si kwa nia mbaya ila nikutaka tu kumaliza Maswali ya Watanzania wengi wanaoshuku kuwa Hayati Magufuli kafanyiwa hujuma.
Baada ya kuona mambo mengi yanayoendelea kwenye mitandao ya kijamii na mitaani, ni wazi kabisa baadhi ya watanzania walio...
Watoto wa Tundu Antipas Mughway Lissu ni raia wa Marekani, lakini baba yao aliwachukulia passport za Tanzania, bila shaka aliwasilisha taarifa za uongo kwa Afisa wa serikali, jambo ambalo ni kinyume cha sheria, na ni moja ya tabia za kifisadi.
Natoa rai idara ya uhamiaji imwage moto kwa...
Kamati ya kufuatilia mwenendo wa matokeo ya mitihani ya mafunzo ya uansheria kwa vitendo (LST), imeanisha changamoto nane ikisema ni miongoni mwa vikwazo katika kupata wanafunzi bora wanaosomea fani ya sheria.
Mwenyekiti wa kamati hiyo, Dk Harrison Mwakyembe amesema changamoto hizo pia...
Wakati umma ukiendelea kusubiri ripoti ya Kamati ya Mwakyembe baada ya muda iliopewa ile kamati hiyo kuchunguza nini kinachosababisha wanafunzi wa Shule ya Sheria Tanzania kufeli kwa kiwango cha kutisha kwisha toka tarehe 13 Novemba 2022, hakuna taarifa ni lini Kamati hiyo itasoma na kukabidhi...
Sehemu ya eneo la Hospitali ya Colchester ilifungwa kwa muda kutokana na mgonjwa kuonekana ana dalili za awali za ugonjwa huo huku akiwa na historia ya kutembelea Bara la Afrika.
Inaelezwa mgonjwa huyo alipata homa kali na akawa anavuja damu katika sehemu za mwili wake.
Ikiwa itabainika kweli...
Madiwani wa Halmshauri ya Mji Mafinga wilayani hapa, wamemwomba Mkurugenzi wa halmashauri hiyo kuunda kamati ya kwa ajili ya uchunguzi wa tuhuma wizi wa dawa katika kituo cha afya Ihongole unaolalamikiwa na wananchi.
Hayo yamebainishwa na Diwani wa viti maalum Dainess Msola katika kikao cha...
Taarifa ya Kamishna Mkuu wa Ufaransa Nabil Hajlaoui inasema timu kutoka Ofisi ya Uchunguzi na Uchambuzi wa Usalama wa Usafiri wa Anga ya Ufaransa itasaidia katika uchunguzi wa ajali hiyo.
Tayari timu nyingine ya washauri wa kiufundi kutoka kampuni ya Franco-Italia, ATR, imewasili nchini...
Kama kawa kama dawa.
Wakisikia mbunge fulani kafariki hivyo uchaguzi utarudiwa, fasta bajeti 5bn zinapatikana mwenyekiti wa tume uchaguzi anatangaza mchakato .
Wakisikia CHADEMA inafanya mkutano, fasta saa moja nyingi sana vikosi vinamwagwa, magari ya washa washa kibao kama upupu.
Tuwe...
Ni majibu ya Rais William Ruto kwa Raila Odinga aliyetaka wapelelezi hao kuchunguza mauaji ya aliyekuwa Meneja wa Mifumo ya TEHAMA wa Tume ya Uchaguzi IEBC mwaka 2017.
Ruto amesema "Hatuhitaji ushauri kutoka Scotland Yard kuondoa na kuvunja vitengo vya mauaji katika jeshi letu la polisi...
Wakuu natafuta dictionary newe version ya kutoka TUKI ninayo soft copy ya hii dictionary lakini imekua ya zamani sana.
Kuna mtu anayo au inauzwa wapi? Asanten
IGP Camillus Wambura ametoa maagizo hayo kutokana na watu wawili kuuawa kwa silaha za moto na wawili kujeruhiwa wakati Polisi wakizuia vurugu Kijiji cha Ikwambi Kata ya Mofu, Wilaya ya Kilombero, Oktoba 23, 2022.
IGP Wambura amesema “Nimeunda Tume Huru kuchunguza vurugu zinazotokea, lengo kujua...
Kwa wanasayansi, wanasema" don't re-invent the wheel".
Ndicho tunachoona kwa baadhi ya miradi ya serikali kwa sasa inayojengwa kwa FORCE ACCOUNT.
Serikali mkoani Tanga inalia na watendaji wake.
Waliagizwa huko Muheza kujenga shule ya sekondari, darasa moja kwa milioni 20, wao kwa ubishi na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.