Driver jobs Njombe District Council, nafasi za kazi njombe district, ajira ya udereva halmashauri ya njombe tanzania, driver jobs tanzania today, driver jobs in tanzania, embassy driver jobs in Tanzania, driver jobs Tanzania 2021, driving job in halmashauri ya njombe, driver job in tanzania...
Habari!
Nimepoteza leseni ya udereva, nimekamilisha taratibu zote za kupata mpya (renew).
Wamenipa kile kikaratasi chenye maelezo mafupi na tin number.
Ni lazima kulipia palepale wanapokuambia ukalipie au naweza kulipia kwa njia ya mitandao ya simu?
Thanks
Ninaitwa Eliah Gwamaka. elimu yangu ni diploma ya IT. Pia nina leseni yenye madaraja C1, C2, C3, E na D.nina uzoefu wa kufanya Bolt kwa zaidi ya mwaka mmoja.
Napendelea mkataba hata kama gari sio mpya.
Napatikana ukonga Banana Dar es Salaam.
Namba yangu ya simu ni 0686 574164.
Natanguliza...
Nataraji Wakuu mpo salama na familia zenu.
Naomba kujua kuhusu elimu ya udereva.
Je, unaweza kusomea udereva wa magari makubwa kabla ya kusomea magari madogo?
Tufahamu kuwa mhusika hana ujuzi kabisa wa udereva.
Nataraji majibu mazuri
Shukrani,
Nawatakia siku njema
Sina takwimu kamili
Issue ya umiliki wa silaha imeleta fikra/ hisia/ mawazo mengi kwa Watanzania hasa baada ya taarifa za wiki iliyoisha(weekend).
Kikubwa nimejifunza
Wengi wanalaani umilikishwaji wa silaha kwa watu.(kiholela)
Ingawa process ni ndefu.
Wanakemea na kuiomba serikali Au taasisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.