udhalilishaji

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. lord atkin

    Mahakama yadaiwa kuamuru Mwanamitindo Noel na Mpambaji Kelvin Events wapimwe endapo wanafanya mapenzi ya jinsia moja

    Katika kipande cha amri inayodaiwa kutolewa na mahakama ya Hakimu Mkazi ya Kivukoni iliyopo Kinondoni inaonesha Mwanamitindo Noel Ndale Mushi maarufu kama Noel ambaye ni mbunifu wa mavazi ya wasanii , Kelvin Maliki Ngao maarufu kama Kelvin Events na Mzungu Mmoja anauejulikana kama David...
  2. William Mshumbusi

    Mamlaka zisifumbie macho udhalilishaji huu anaopitia DC mstaafu Jane Nyamsenda

    Kitu kinachouma ni kuwa ingawa haijulikani katumbuliwa kwa Sababu gani lkn picha zake zimekuwa zikisambazwa labda kuhusishwa na hizi haki na komenti za dhihaka, matusi na udhalilishaji zikifata. Sasa Kuna Vita kubwa Kati ya wale wanaotetea watu wenye kasoro za kimaumbile zinazohushisha homoni...
  3. William Mshumbusi

    Mamlaka zisifumbie macho udhalilishaji huu anaopitia DC mstaafu Jane.

    Kitu kinachouma Ni Kuwa ingawa haijulikani katumbuliwa kwa Sababu gani lkn picha zake zimekuwa zikisambazwa labda kuhusishwa na hizi haki na koment za ziaka, matusi na udhalilishaji zikifata. Sasa Kuna Vita kubwa Kati ya wale wanaotetea watu wenye kasoro za kimaumbile zinazohushisha homoni za...
  4. chiembe

    Makampuni yaliyo na mikataba na Haji Manara yaifute kwa udhalilishaji wa wanawake

    Manara ana makampuni anavyofanya nayo kazi, ambayo ni makampuni yanayoheshimika sana. Sioni kwa nini aendelee kuwa balozi wa makampuni hayo kwa tabia na maneno machafu aliyotamka kwa Mkewe. Natoa rai mikataba yake itenguliwe
  5. GENTAMYCINE

    Simba SC kwa mlichokifanya kwa Gadiel Michael ni Udhalilishaji, Uhuni na Tusi Kwake muombeni Radhi

    Na kilichoniuma zaidi GENTAMYCINE ni kwamba yaani mlimchagua Mchezaji ambaye mnajua hana Nafasi Kikosini na ambaye mnamuacha Dirisha hili Dogo lijalo ili mumvalishe hili Bomu hata kama atapewa Adhabu haitokuwa na Athari kwa Kikosi kizima. Na najua kuwa mlitumia Akili Kubwa ya Kumshawishi Beki (...
  6. MamaSamia2025

    Nimesikitishwa na huu ubaguzi na udhalilishaji uliofanywa MwanaCHADEMA. Siasa sio uadui

    Hii video imepostiwa na kada wa CHADEMA James Mbowe ikimuonyesha kijana Chacha Heche akimfanyia kitendo cha kibaguzi mzee anayeonekana kavaa shati la chama pendwa CCM. Kupitia maandishi yake (caption), James Mbowe ameonekana akifurahia sana kitendo cha kipuuzi kilichofanywa na kijana Chacha bila...
  7. CK Allan

    Tanga mkawashtaki Google kwa udhalilishaji huu

    Aisee nimepigwa na butwaa kule google ukitafuta "Utopolo fc" matokeo yanayoletwa ni Young African sports club!! Kama Mimi nadanganya basi gugo na Wewe!!.. Pamoja na Kwamba Mimi ni Simba ila nimeumia sana maana Kila jina la utani la simba nikiweka halileti!! Utopolo bhana!
  8. S

    Chanzo cha udhalilishaji katika jamii

    Utafiti binafsi nilioufanya umegundua kuwa chanzo cha ongezeko la kasi ya matendo ya udhalilishaji katika jamii ni jamii yenyewe inajidhalilisha. Hii nikwasababu wanajamii wenyewe katika zama hizi wamekua wakijidhalilisha katika nyanja tofauti tofauti ikiwemo mavazi. Jamii ya sasa imekua...
  9. Frumence M Kyauke

    Mange Kimambi anaweza kushtakiwa kwa kosa la kuvunja haki za binadamu ikiwemo udhalilishaji

    Mange Kimambi anaweza kuishtakiwa kwa kuvunja haki za binadamu ikwemo udhalilishaji, ndio maana Instagram waliondoa account yake kwa kosa la kudhalilisha binadamu. Biashara ya kuuza video mtandaoni ni ngumu kwasababu Watumiaji wanaweza kuvujisha kwa kutumia simu nyingine kurekodi video hiyo...
  10. Corticopontine

    Ninakusudia kuishitaki CHADEMA kwa udhalilishaji wa kijinsia

    Ni muda si mrefu nimeongea na ofisi yangu kitengo cha sheria kuwauliza ni kwa namna gani wanaweza kuwafungulia kesi CHADEMA ya udhalilishaji wa kijinsia. Kingine nimewaagiza waangalie ni kosa gani kisheria wanalotenda kwa kuwaita Hawa wanawake Covid-19. Nimetafuta pia wachunguzi huru kutoka...
  11. Mystery

    Kitendo cha Bunge kuendelea kuwakumbatia wabunge waliovuliwa uanachama wao na Chadema, kinaonyesha udhalilishaji wa mhimili wa Mahakama?

    Tulipokea taarifa jana kuwa Mahakama Kuu, chini ya Jaji John Mgeta, kuwa ameyatupilia mbali maombi ya wabunge 19, wakiongozwa na Halima Mdee, waliofungua shauri lao Katika Mahakama hiyo kupinga kuvuliwa uanachama wao na kilichokuwa chama chao cha Chadema. Ikumbukwe kuwa wabunge hao mwezi...
  12. Pascal Mayalla

    Wito Jeshi Letu la Polisi, Stop This Sensesionalism!. Udhalilishaji, na Kuingilia The Right to Privacy!. Kumbe PT Inafanyia Kazi Taarifa za Mitandao!

    Wanabodi, Kati ya Taasisi zinazopaswa kufanya kazi kwa weledi mkubwa bila mihemuko ni Jeshi Letu la Polisi. Kuna baadhi ya issues ambazo jeshi letu la polisi, zinazishughulikia sio issues za kipolisi, ni issues za kijamii na kifamilia. Kwanza msikilize Kamanda Polisi Huyu Kisha isome taarifa...
  13. JanguKamaJangu

    Mwanariadha wa Ujerumani ahukumiwa kifungo miezi 6 kwa SMS za vitisho kwa Wanawake waliowatongoza wakamkataa

    Mwanariadha wa Ujerumani amehukumiwa kifungo cha Jela miezi sita au kulipa faini ya Ksh. 70,000 (Tsh. Milioni 1.3) kutokana na kosa la vitisho na udhalilishaji wa mtandaoni Nchini Kenya. Weiss Marvin Valentin, 25, alitenda kosa hilo mwaka 2022 kwa kutoa matamshi ya kukera na kutishia kusambaza...
  14. BigTall

    Kesi 42 udhalilishaji kwa Wanafunzi zaripotiwa Pemba, kuna ubakaji, ulawiti na mimba

    Jumla ya kesi 42 za vitendo vya udhalilishaji zimeripotiwa katika Ofisi ya Naibu Mrajisi wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Kisiwani Pemba kwa mwaka 2021. Naibu Mrajisi, Hidaya Omar Khamis amesema bado tatizo la udhalilishaji kwa wanafunzi lipo na ni changamoto kubwa. Mrajisi huyo alieleza...
  15. MamaSamia2025

    Hakika Ruben, unachofanya sio comedy bali ni udhalilishaji kwa wanawake

    Wakuu natumaini mko poa. Leo naandika nikiwa na hasira nyingi dhidi ya mtu anayeitwa Hakika Ruben. Huyu ni mtu maarufu mitandaoni kwa clips zake za vichekesho. Kwa upande wangu nampongeza kwa kuendeleza kipaji chake na ninampongeza zaidi kama inamletea chochote mezani. Binafsi sivutiwi na...
  16. M

    Serikali chunguzeni unyanyasaji, dhuluma na udhalilishaji unaofanywa na Mkuu wa Shule ya St. Margaret Maria Alokok, Igunga, Tabora

    Kimsingi sisi wazazi ndio waendeshaji wakuu wa shule hii kutokana na ada pamoja na michango mingine tunayolipa, pamoja na mambo mengine wazazi hatufurahishwi na vitendo vya udhalilishaji na dhulma anazofanya mkuu wa taasisi hii ambaye ni mtawa wa kanisa katoliki, kanisa lenye reputation ya...
  17. Miss Zomboko

    Udhalilishaji wa Watoto kwa njia ya maneno

    Udhalilishaji kwa njia ya maneno unatokea pale ambapo Mzazi/Mlezi au Mtu aliye karibu na Mtoto anapotumia maneno yenye kumuumiza Mtoto Kihisia kwa nia ya kumuonya au kumdhibiti Baadhi ya maneno yanayoweza kumdhalilisha Mtoto kwa kumuumiza hisia zake ni; Kumkemea au kumkaripia mbele ya hadhara...
  18. L

    Ushawishi wa China barani Afrika watokana na ushirikiano wa dhati kati ya pande hizo mbili

    Hivi karibuni, shirika maarufu la uchunguzi wa maoni la Afrika la Afrobarometer limetoa ripoti ya uchunguzi wa maoni, ikionesha kuwa ushawishi wa China barani Afrika unashika nafasi ya kwanza duniani, mbele ya Marekani, mashirika ya kikanda, mashirika ya Umoja wa Mataifa na Umoja wa Afrika. Haya...
  19. Christopher Wallace

    Shaffih awaita wachezaji wetu kikundi cha wahuni, huu udhalilishaji tumeuchoka sasa

    Leo nina swali moja tu, nani anamtuma shaffih kuitukana na kuisakama Yanga? yaani wachezaji wetu wahuni? Huyu inabidi afunzwe adabu kwanza
  20. Yesu Anakuja

    Udhalilishaji watuhumiwa magereza hadi lini?

    Wandugu, kuna andiko moja nimelisoma la Tito Magoti, nimelielewa na to declare interest, nilishawahi kufanya kazi kwenye utumishi wa uma kwenye hizo coercive organs....jambo moja la muhimu sana kama nchi tunatakiwa kufika mwisho na lisifanyike tena kwasababu tumelirithi tangu enzi wa ukoloni...
Back
Top Bottom