uefa

The Union of European Football Associations (UEFA; yoo-AY-fə; French: Union des associations européennes de football; German: Union der europäischen Fußballverbände) is the administrative body for football, futsal and beach soccer in Europe. It is one of six continental confederations of world football's governing body FIFA. UEFA consists of 55 national association members.
UEFA represents the national football associations of Europe, runs nation and club competitions including the UEFA European Championship, UEFA Nations League, UEFA Champions League, UEFA Europa League, planned UEFA Europa Conference League, and UEFA Super Cup, and controls the prize money, regulations, and media rights to those competitions.
Henri Delaunay was the first general secretary and Ebbe Schwartz the first president. The current president is Aleksander Čeferin, a former Football Association of Slovenia president, who was elected as UEFA's seventh president at the 12th Extraordinary UEFA Congress in Athens in September 2016, and automatically became a vice-president of the world body FIFA.

View More On Wikipedia.org
  1. Gautten Potten

    City au Girona Mmoja kukosa Uefa

    Kutokana na Sheria kutoruhusu vilabu viwili tofauti vyenye mmiliki mmoja kushiriki michuano hiyo. Kazi kwao kuchagua aende Nani abaki nani. ? Angalizo : Vipi kuhusu RB SALZBURG na RB LEIPZIG Hawa hawatufichi Jambo kweli ? #Scores90
  2. M

    UEFA wanakera

    Mzuka wanajamvi. Though patience is a skill we have to learn it ila UEFA wanakera. Ingekuwa zamani sasa hivi leo ijumaa tungeshajua draw za the last 16 UEFA champions league. Sasa inabidi tusubiri hadi jumatatu tujuwe draw yenyewe. Hatuwezi kusubiri na kuvumilia zaidi ya siku mbili zote...
  3. Suley2019

    FT: Man United 0 - 1 Bayern | UEFA CL | Old Trafford | 12.12.2023

    Haya kwa wale wapenzi wa Ligi ya Mabingwa Ulaya leo kwa upekee kabisa tunawaletea kitakachojiri live wakati wa mchezo huo. Mchezo huu wa mwisho kabisa wa hatua ya Makundi unabeba hisia nyingi za wapenzi wa soka kutokana na uhitaji wa ushindi kwa Timu ya Man United ili aendelee kubaki kwenye...
  4. benzemah

    UEFA yaipongeza Tanzania Kukuza Soka la Wanawake

    Shirikisho la Mpira barani Ulaya (UEFA,) limeipongeza Tanzania kupitia Taasisi isiyo ya kiserikali ya Karibu Tanzania Organization (KTO,) kwa jitihada zinafanywa katika kukuza soka la wanawake na wasichana katika ngazi mbalimbali za Elimu kwa kuanzia ngazi ya Elimu Msingi. Hayo yameeelezwa na...
  5. JanguKamaJangu

    UEFA: Manchester United yaendelea kuchezea vichapo, yapigwa 4-3 na Bayern Munich

    Ikicheza kwenye Uwanja wa ugenini, Manchester United imefungwa magoli 4-3 dhidi ya Bayern Munich katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya, Kundi A. Magoli ya Bayern yamefungwa na Leroy Sane, Segre Gnabry, Harry Kane na Mathy Tel wakati United wafungaji ni Rasmus Hojlund na Casemiro (mawili)...
  6. Vladivostok

    Novatus Dismas Miroshi atua Shakhtar Donestk Ukraine, kukipiga ligi ya Mabingwa (UEFA)

    Mtanzania Novatus Miroshi ametua Ukraine katika Klabu ya Shakhtar kwa mkopo kutokea zulte waregem ya ubelgiji. Hii itampa fursa ya kukipiga UEFA ambapo wamepangwa na barca, porto na royal antwerp ya ubelgiji. Kongole kwa mtanzania mwenzetu afu jamaa umri bado unadai.
  7. Greatest Of All Time

    Man City Vs Sevilla | Uefa Super Cup | Karaiskakis Stadium | 16.08.2023

    Majira ya Saa 4:00 Usiku utapigwa mcheza wa Uefa Super Cup kati ya Man City dhidi ya Sevilla. Ni mchezo wa ufunguzi kwa msimu mpya wa mashindano kwa ngazi ya vilabu barani Ulaya. Mchezo unaowakutanisha mabingwa wa ligi ya mabingwa ulaya dhidi ya mabingwa wa Europa league. Man City itamkosa...
  8. S

    Rais wa UEFA Ceferin atoa Onyo kinachoendea Saudi Arabia

    Rais wa UEFA Ceferin: "Usajili wanaoufanya SAUDIA ni makosa kwa soka la kwao. Wawekeze hizo pesa kwenye academy, walete makocha na waendeleze wachezaji wao wenyewe, kununua wachezaji wanaomalizia soka lao sio mfumo wa kuendeleza soka, kosa kama hilo walilifanya China.”
  9. music mimi

    Chanel inayoonesha final UEFA champion league

    Wakuu kuna channel yoyote nje ya supersport naweza tazama final ya UEFA?? nna kifurushi cha 23k nimekwama haswa.
  10. General Nguli

    Nahitaji kuangalia Fainal ya UEFA Champions nyumbani kwangu kupitia Laptop.

    Wakuu naomba kujuzwa jinsi nitakavyo faidika kuangalia Uefa nikiwa kitandani na Laptop yangu. Msaada pliz
  11. Greatest Of All Time

    Seville Vs AS Roma | Uefa Europa League Final | Puskas Arena | 31.05.2023

    Muda mchache ujao pale katika dimba la Puskas Arena jijini Budapest nchini Hungary kutapigwa mchezo wa fainali ya Europa League. Ni Sevilla Vs AS Roma Ikumbukwe Sevilla hajawahi kufungwa pindi akiingia kwenye fainali ya Europa League wakati Mourinho naye hajawahi kufungwa mchezo wa Fainali...
  12. Teko Modise

    Hawa Ac Milan wamefikaje nusu fainali ya UEFA?

    Yaani dakika ya 11 kashapigwa mbili za chap. Iko wapi heshima ya nusu fainali jamani? Hawa jamaa wamepenya vipi mpaka wakafika nusu? Nawachukulia kama marumo gallants ya ulaya
  13. Dcxkobe

    Azam TV mechi za UEFA huwa wanaonesha Chaneli gani?

    Sorry nauliza mechi za UEFA kwenye king’amuzi cha Azam TV huwa wanaonesha Chanel namba ngapi?
  14. Christopher Wallace

    Utabiri: Bingwa wa Uefa Champions League msimu huu atakuwa Man City

    Pep Guardiola na Man City yake wanaenda kutwaa ndoo ya UCL hapo juni mwaka huu. Man City kabla ya fainal atakutana na wachovu Real Madrid, ambapo mechi ya kwanza Bernabeu itaisha droo ya 1-1 Kisha mechi ya marudiano Etihad, Man City ataibuka na ushindi wa goli 2-0. Na kujikatia tiketi ya...
  15. fyddell

    Uwezekano wa Barcelona kufungiwa kushiriki Kombe la Mabigwa Ulaya (UEFA)

    Chama cha Mpira barani Ulaya UEFA, inaichunguza timu ya Barcelona juu ya madai ya kuilipa kampuni ya Jose Mara Enriquez Negreira ambaye ni Makamu wa Raisi mstaafu wa chama cha marefa Hispania. Nyaraka za mahakama zinaonesha kuwa, Barcelona imelipa kiasi cha €7.3m ambayo ni sawa na paundi 6.5m...
  16. benzemah

    Droo ya robo fainali UEFA imepangwa. Ratiba nzima hii hapa

    Real Madrid Vs Chelsea Inter Vs Benfica Man City Vs Bayern Munich Ac Milan Vs Napoli Nusu Fainali - Mshindi kati ya Ac Milan Vs Napoli atakutana na mshindi kati ya Inter Vs Benfica - Mshindi kati ya Real Madrid Vs Chelsea atakutana na mshindi kati ya Man City Vs Bayern Munich. Mechi za...
  17. Adipoz

    UEFA champions league 2022/23 quarter final draw prediction

    Siku ya kesho kunatarajiwa kuchezeshwa draw ya robo fainali ya ligi ya mabingwa ulaya, Europa pamoja na conference league. Hivyo sio mbaya wadau wa soka tukajadiliana na kutoa mitizamo mbalimbali kuhusu nani atakutana na nani katika hatua ya robo Fainali ya ligi ya mabingwa ulaya. TIMU...
  18. J

    Chama kwa CAF ni kama Messi kwa UEFA: Achaguliwa mchezaji bora wa CAF Champions League

    Mchezaji wa Simba Clatos Chota Chama amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa wiki wa mashindano ya CAF Champions League. Hii ni baada ya mashabiki wa soka barani Afrika kumpigia kura kwa kishindo kati ya wachezaji wanne waliokuwa wakiwania. Hii inanikumbusha Messi alivyokuwa akifunika UEFA kipindi...
  19. K11

    UEFA Champions League draw hatua ya 16 bora 2022

    Paris Saint-Germain vs Bayern Munich Inter Milan vs FC Porto Borussia Dortmund vs Chelsea Eintracht Frankfurt vs Napoli! AC Milan vs Tottenham Liverpool vs Real Madrid Club Brugge vs Benfica RB Leipzig vs Manchester City
  20. Poker

    Leo rasmi UEFA champions league inaanza rasmi mapema sana tujuane taja bingwa na semi finalists

    Watakaoingia semi finals ni man City, Barcelona, PSG, na Real Madrid. Bingwa wangu atakuwa PSG YA KYLIAN MBAPPE. Nawasilisha
Back
Top Bottom