The Union of European Football Associations (UEFA; yoo-AY-fə; French: Union des associations européennes de football; German: Union der europäischen Fußballverbände) is the administrative body for football, futsal and beach soccer in Europe. It is one of six continental confederations of world football's governing body FIFA. UEFA consists of 55 national association members.
UEFA represents the national football associations of Europe, runs nation and club competitions including the UEFA European Championship, UEFA Nations League, UEFA Champions League, UEFA Europa League, planned UEFA Europa Conference League, and UEFA Super Cup, and controls the prize money, regulations, and media rights to those competitions.
Henri Delaunay was the first general secretary and Ebbe Schwartz the first president. The current president is Aleksander Čeferin, a former Football Association of Slovenia president, who was elected as UEFA's seventh president at the 12th Extraordinary UEFA Congress in Athens in September 2016, and automatically became a vice-president of the world body FIFA.
Kutokana na Sheria kutoruhusu vilabu viwili tofauti vyenye mmiliki mmoja kushiriki michuano hiyo.
Kazi kwao kuchagua aende Nani abaki nani. ?
Angalizo : Vipi kuhusu
RB SALZBURG na RB LEIPZIG Hawa hawatufichi Jambo kweli ?
#Scores90
Mzuka wanajamvi.
Though patience is a skill we have to learn it ila UEFA wanakera.
Ingekuwa zamani sasa hivi leo ijumaa tungeshajua draw za the last 16 UEFA champions league.
Sasa inabidi tusubiri hadi jumatatu tujuwe draw yenyewe.
Hatuwezi kusubiri na kuvumilia zaidi ya siku mbili zote...
Haya kwa wale wapenzi wa Ligi ya Mabingwa Ulaya leo kwa upekee kabisa tunawaletea kitakachojiri live wakati wa mchezo huo.
Mchezo huu wa mwisho kabisa wa hatua ya Makundi unabeba hisia nyingi za wapenzi wa soka kutokana na uhitaji wa ushindi kwa Timu ya Man United ili aendelee kubaki kwenye...
Shirikisho la Mpira barani Ulaya (UEFA,) limeipongeza Tanzania kupitia Taasisi isiyo ya kiserikali ya Karibu Tanzania Organization (KTO,) kwa jitihada zinafanywa katika kukuza soka la wanawake na wasichana katika ngazi mbalimbali za Elimu kwa kuanzia ngazi ya Elimu Msingi.
Hayo yameeelezwa na...
Ikicheza kwenye Uwanja wa ugenini, Manchester United imefungwa magoli 4-3 dhidi ya Bayern Munich katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya, Kundi A.
Magoli ya Bayern yamefungwa na Leroy Sane, Segre Gnabry, Harry Kane na Mathy Tel wakati United wafungaji ni Rasmus Hojlund na Casemiro (mawili)...
Mtanzania Novatus Miroshi ametua Ukraine katika Klabu ya Shakhtar kwa mkopo kutokea zulte waregem ya ubelgiji.
Hii itampa fursa ya kukipiga UEFA ambapo wamepangwa na barca, porto na royal antwerp ya ubelgiji.
Kongole kwa mtanzania mwenzetu afu jamaa umri bado unadai.
Majira ya Saa 4:00 Usiku utapigwa mcheza wa Uefa Super Cup kati ya Man City dhidi ya Sevilla.
Ni mchezo wa ufunguzi kwa msimu mpya wa mashindano kwa ngazi ya vilabu barani Ulaya. Mchezo unaowakutanisha mabingwa wa ligi ya mabingwa ulaya dhidi ya mabingwa wa Europa league.
Man City itamkosa...
Rais wa UEFA Ceferin: "Usajili wanaoufanya SAUDIA ni makosa kwa soka la kwao. Wawekeze hizo pesa kwenye academy, walete makocha na waendeleze wachezaji wao wenyewe, kununua wachezaji wanaomalizia soka lao sio mfumo wa kuendeleza soka, kosa kama hilo walilifanya China.”
Muda mchache ujao pale katika dimba la Puskas Arena jijini Budapest nchini Hungary kutapigwa mchezo wa fainali ya Europa League. Ni Sevilla Vs AS Roma
Ikumbukwe Sevilla hajawahi kufungwa pindi akiingia kwenye fainali ya Europa League wakati Mourinho naye hajawahi kufungwa mchezo wa Fainali...
Yaani dakika ya 11 kashapigwa mbili za chap.
Iko wapi heshima ya nusu fainali jamani?
Hawa jamaa wamepenya vipi mpaka wakafika nusu?
Nawachukulia kama marumo gallants ya ulaya
Pep Guardiola na Man City yake wanaenda kutwaa ndoo ya UCL hapo juni mwaka huu.
Man City kabla ya fainal atakutana na wachovu Real Madrid, ambapo mechi ya kwanza Bernabeu itaisha droo ya 1-1
Kisha mechi ya marudiano Etihad, Man City ataibuka na ushindi wa goli 2-0. Na kujikatia tiketi ya...
Chama cha Mpira barani Ulaya UEFA, inaichunguza timu ya Barcelona juu ya madai ya kuilipa kampuni ya Jose Mara Enriquez Negreira ambaye ni Makamu wa Raisi mstaafu wa chama cha marefa Hispania.
Nyaraka za mahakama zinaonesha kuwa, Barcelona imelipa kiasi cha €7.3m ambayo ni sawa na paundi 6.5m...
Real Madrid Vs Chelsea
Inter Vs Benfica
Man City Vs Bayern Munich
Ac Milan Vs Napoli
Nusu Fainali
- Mshindi kati ya Ac Milan Vs Napoli atakutana na mshindi kati ya Inter Vs Benfica
- Mshindi kati ya Real Madrid Vs Chelsea atakutana na mshindi kati ya Man City Vs Bayern Munich.
Mechi za...
Siku ya kesho kunatarajiwa kuchezeshwa draw ya robo fainali ya ligi ya mabingwa ulaya, Europa pamoja na conference league.
Hivyo sio mbaya wadau wa soka tukajadiliana na kutoa mitizamo mbalimbali kuhusu nani atakutana na nani katika hatua ya robo Fainali ya ligi ya mabingwa ulaya.
TIMU...
Mchezaji wa Simba Clatos Chota Chama amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa wiki wa mashindano ya CAF Champions League.
Hii ni baada ya mashabiki wa soka barani Afrika kumpigia kura kwa kishindo kati ya wachezaji wanne waliokuwa wakiwania.
Hii inanikumbusha Messi alivyokuwa akifunika UEFA kipindi...
Paris Saint-Germain vs Bayern Munich
Inter Milan vs FC Porto
Borussia Dortmund vs Chelsea
Eintracht Frankfurt vs Napoli!
AC Milan vs Tottenham
Liverpool vs Real Madrid
Club Brugge vs Benfica
RB Leipzig vs Manchester City
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.