ufafanuzi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. D

    Wizara ya Nishati na madini toeni ufafanuzi; kwanini soko la shaba (copper) limepaa maradufu?

    Kuna malalamiko mengi sana juu ya soko la shapa kupaa! Gharama ya mauzo na manunuzi ya shaba (copper) imepaa sana kwa zaidi ya 45%-55% ya bei ya awali je tatizo ni nini? Nani anafahamu kwa nini soko la madini hayo limepaa sana? Shida iko wapi? Wenye majibu tafadhali
  2. Mangungo II

    Serikali itoe ufafanuzi kwanini kuna watu waliostahili kupata daraja jipya hawajapata

    Naaam, Kwa taarifa nilizonazo sio wote waliostahili daraja jipya la mshahara wamepata. Kuna kundi kubwa la watu wametoka bila bila Serikali itoe ufanunuzi kwanini hao wengine wamewekwa reserve. Je, watapanda lini? Na je, hamuoni mnatengeneza tatizo jipya la malimbikizo huku mkitatua la...
  3. Lord OSAGYEFO

    Naomba ufafanuzi juu ya Kodi ya Jengo

    Wadau nimemsikia Waziri akitangaza kuhusu KODI ya Jengo kuwa Kila NYUMBA yenye UMEME Kodi hiyo italipwa Kwa kukataa kwenye LUKU. Naomba kujua Machache. 1. Kodi ya Jengo ni Kiasi gani? 2. Je, Kiwanja kama ni kimoja kina Nyumba 3 na kila Nyumba ina LUKU Je Nyumba zote 3 zinalipa KODI? 3...
  4. Elius W Ndabila

    Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu ninaomba ufafanuzi wako kidogo juu ya Makato ya Vocha

    DKT MWIGULU, WAZIRI WA FEDHA NINAOMBA UFAFANUZI KIDOGO JUU YA MAKATO YA VOCHA. Na Elius Ndabila 0768239284 Kwanza Mhe Waziri nikupongeze kwa hotuba YAKO nzuri ya Bajeti. Mimi si mchumi, lakini niliisikiliza na nimeisoma nimeona ni bajeti ambayo inagusa maisha halisi ya Mwananchi. Ni bajeti...
  5. Miss Zomboko

    Waziri Dkt. Mwigulu atoa ufafanuzi wa baadhi ya tozo alizowasilisha wakati wa Mapendekezo ya Bajeti Kuu na kuleta mkanganyiko kwa wananchi

    Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, ametoa ufafanuzi wa baadhi ya tozo alizowasilisha bungeni wakati wa Mapendekezo ya Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2021/22 na kuleta mkanganyiko kwa wananchi ikiwemo makato ya miamala ya simu, kodi ya majengo kwa njia ya...
  6. H

    Nahitaji ufafanuzi kuhusu BBI huko nchini Kenya

    Kwa yeyote anaeielewa vzuri BBI nchini kenya anieleweshe, ni kitu gani na dhima yake hasa ni ipi na je inaweza leta athari gani kwenye siasa za Kenya
  7. Taured

    Kaniambia nisome Zaburi 109. Naomba mnisaidie kunifafanulia

    Wadau Kuna mdada nilikutana nae humu mitandaoni tukaelezana ya kwetu mpaka na contacts tukapeana tukatafutana mpaka tukaonana! Tukakubaliana tuingie kwenye mahusiano ya kimapenzi kwa sharti la kupima afya kwanza! Kabla ya kupima afya huyu mdada alinipeleka mpaka kwa ndugu zake wa karibu...
  8. Aijohn

    Naomba Msaada na ufafanuzi kuhusu uvimbe kwenye mayai na tiba yake

    Wataalam habari za Muda huu? Naomba msaada wa elimu katika hili. Baada ya kuishi na mke wangu kwa muda wa miaka mitatu Sasa bila kupata hata dalili yoyote ya mimba maana hata period yenyewe haieleweki unakuta mwezi huu kaingia tarehe hii mwezi ujao tarehe nyingine tena au inatokea inapita Ata...
  9. BLACK_WIDOW

    Naomba Ufafanuzi kuhusu Kuagiza Bidhaa Mtandaoni

    Asalaam Aleykum wakuu poleni na majukumu ya hapa na pale, shida yangu ni kuhusu hizi online market Alibaba na Amazon, Naomba kwa wanaofahamu wanipe ABCD's kuhusu uaminifu wao, na kama kuna scammers nawatokaje. Nina hitaji kununua gemstone, niliingia Alibaba nimeona kuna masonara wa Pakistan...
  10. J

    Kwanini Waziri Mulamula akimaliza kuongea na Mabalozi wa nje huwa hatupi ufafanuzi kama alivyokuwa akifanya Profesa Kabudi?

    Nakumbuka Waziri Kabudi wakati yuko Mambo ya Nje alikuwa akitoa ufafanuzi mrefu kila amalizapo kuongea na Balozi yeyote kutoka ughaibuni. Lakini kwa Waziri Mulamula imekuwa tofauti yeye huwa na maelezo mafupi tu ya kile kilichozungumzwa kwa mfano jana baada ya kuongea na Balozi wa Marekani...
  11. L

    Naombeni ufafanuzi juu ya hii course ya BSc. in Range Management

    Kama kichwa Cha habari kinavyojieleza hapo juu, Kuna ndugu yangu aliyehitimu kidato cha sita mwaka 2019 lakini kulingana na halii ya uduni wa maisha alishindwa kujiunga ma Elimu ya juu licha ya kwamba katika udahili uliofanywa mwaka huo alichaguliwa chuo Cha Ardhi Bsc. in Environmental Science...
  12. mshale21

    Rais Samia: Fedha ambazo zingegharamia Sherehe za miaka 57 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, zigawanywe sawa

    Dodoma! Akizungumza Leo katika kongamano la Muungano jijini Dodoma, Makamu wa Raisi Dr . Philip Mpango amesema Raisi Samia Suluhu Hassan ameelekeza Fedha zilizotakiwa kutumika katika shughuli za maadhimisho ya miaka 57 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar zigawanywe pande hizo mbili...
  13. N

    Naomba ufafanuzi kuhusu railway levy

    Salaam wana JF, Kama heading inavyojieleza kuna kiasi cha pesa kinachokatwa kwenye kila gari inayoingizwa nchini kupitia bandarini, labda na kwingineko kinaitwa railway levy. Mimi kwa uelewa wangu nadhani hii pesa ni kwa ajili ya maendeleo ya reli hasa ujenzi na ukarabati. Katika ufahamu wangu...
  14. 2019

    Asante Simbachawene kwa ufafanuzi kuhusu wakimbizi wa Msumbiji

    Kiukweli ni ngumu sana kuchambua kati ya mkimbizi na gaidi,nani anaweza kuwachambua? Msumbiji wilaya moja ndio ina magaidi kwanin wanamsumbiji wasikimbilie maeneo mengine ya nchi yao? Kuwakubali wakimbizi wa Msumbiji ni kukubali kuishi na 🐍 siku yoyote atakung'ata tu. Chanzo:Waziri wa mambo...
  15. Kinuju

    Clouds yatoa ufafanuzi malipo ya TSh milioni 629 yaliyotajwa na CAG

    Meneja wa fedha wa kampuni ya Clouds Media Group, Issa Masoud amesema walitoa vielelezo vyote ikiwa ni pamoja na stakabadhi kwa Wizara ya Maliasili na Utalii kufuatia malipo ya Sh 629.7 milioni kwa ajili ya matangazo ya tamasha la urithi mwaka 2018. Masoud ametoa ufafanuzi huo leo Alhamisi...
  16. M

    Naomba ufafanuzi kuhusu kuharibu gauge ukijaza full tank-pomoni

    Heshima zenu wakuu Mara nyingi naona watu wakijaza magari yao full tank kwa kuinua tairi la nyuma upande wa tank ili lijae zaidi ya pale pump ilipokata mpaka yanaonekana karibu kumwagika na wakati mwingine wanatikisa gari ili mafuta yaingie zaidi. Je ni kweli mtindo huu huharibu gauge ya mafuta...
  17. A

    Naomba ufafanuzi juu ya any Desk

    Habari za muda huu naomba kuuliza kuhusu any desk je ukiwa unarusha au kurushiwa kitu unakatwa MB kama vile tu ukiwa unadownload mfano ukirushiwa nyimbo ya MB 10 utakatwa MB hzo hzo au utakuwa kama vile unacopy na kupaste yaan hakuna MB utakazo katwaa
  18. J

    Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan ni awamu ya 5 au 6?

    Naomba majibu Tafadhali ili kuwa na reference nzuri na ya uhakika humu jamvini. Baada ya Rais SSH kuapishwa leo je anaendelea kuongoza serikali ya awamu ya 5 au tumeingia awamu mpya ya 6? Naelewa kuwa ilani ya CCM inayotekelezwa ni ile ile. Maendeleo hayana vyama!
  19. hguy platnumz

    Naomba ufafanuzi juu ya Mass Communication and Broadcasting

    Naomba ufafanuzi juu ya Mass Communication and Broadcasting 1. Unapataje mafunzo yake 2. Kiwango gani cha elimu s.t.d 7, 4m4, 4m6 au kivip 3. Chuo kipo wapi? 4. Vipi kuhusu ada 5. Unasoma kwa muda gani? 6. Kama kuna kipengele nimekisahau unaweza niongezea mdau #Naomba kuwasilisha kwenu
  20. Petro E. Mselewa

    Ufafanuzi: Kuvunjwa Halmashauri ya Jiji la Dar kuipandisha hadhi Halmashauri ya Manispaa ya Ilala kuwa Jiji

    Tangu Rais Dr. John Pombe Magufuli kuvunja Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam na kuipandisha hadhi Halmashauri ya Manispaa ya Ilala kuwa Jiji la Dar es Salaam, kumekuwa na mijadala kemkem kuhusu jambo hilo runingani, redioni na hata mitandaoni. Mjadala hasa unajikita katika kuelewa...
Back
Top Bottom