Jumanne 16, Novemba 2021, zilisambaa picha katika mitandao ya kijamii zikionesha mlipuko uliotokea katikati ya mji mkuu wa Uganda Kampala. Taarifa kutoka katika mamlaka nchini humo zimeeleza kuwa kilichotokea tukio la kujitoa mhanga katika maeneo mawili tofauti. Moja ya mlipuko huo ulitokea...
Kibatala: Mheshimiwa Jaji niende kwenye hii Kesi ya Wenzetu ya UGANDA Vs OKUMU REGAN AND OTHERS Kama Kuna Kesi itakuisaidia basi kesi hii.. Na Kupeleka Ukurasa wa Tano, Sisi tumesema Kwamba Shahidi Ni INCOMPETENT.
Kibatala: Kama unaona Kuna ugumu wa kufanya uamuzi kwenye kesi hii naomba itumie...
Salaam Wakuu,
Leo Milipuko Miwili ya mabomu imetokea jijini Kampala.
Wabunge watawanyia kuokoa maisha.
Wabunge wa bunge la Uganda wakiwa nje ya jengo baada ya Mlipuko kutokea Jijini Kampala. Kila mtu anaokoa maisha yake
Kuna watu wanapenda kudharau watu toka Mataifa yaliyoendelea kama Marekani na mengineyo kwa kuwaita eti wao ni "Mabeberu " kitu ambacho sichema kwa ustawi wa nchi na kwanchi zinazotuletea biashara na ajira kama hizi kuwaita "Mabeberu " japo hii sio hoja yangu wacha twende kwenye hoja...
CONGO REFUGEES IN UGANDA...
Just like we predict the start of the rainy season, the WAR season has started in the eastern part of DRC. Fighting has erupted in Eastern Congo leading to a heavy influx of refugees into Uganda (as usual) through the Bunagana border area. The fighting began the...
Kama kawa akili kubwa....
Four East African climate innovators from Kenya, Uganda and the Democratic Republic of Congo have won the prestigious 2021 Ashden Awards at the UN climate summit COP26 in Glasgow, Scotland.
The Ashden Awards, organised by a London-based charity that works in...
Mlipuko umetokea katika mji Mkuu wa Uganda, Kampala na kusababisha kifo cha mtu mmoja na wengine watano kujeruhiwa
Rais Museveni amesema watu watatu waliacha ‘Mizigo’ kwenye eneo la tukio ambayo baadae ililipuka na kusababisha maafa. Ameahidi kuwafuatilia na kuwakamata wanaohusika
Rais...
Ni ile Jumuiya ya Afrika mashariki iliyokufa mwaka 1977.
Tanzania tuliaminiwa katika mambo ya siasa na porojo baada ya kupata Uhuru mezani bila ya mapambano.
Kenya iliaminiwa katika eneo la uzalishaji na viwanda
Uganda iliaminiwa katika eneo la Elimu
Je, tumebadilika?
Jumaa kareem!
Shirika la Umoja wa Matifa linaloshughulika na Watoto (UNICEF) limeitaja Uganda kuwa nchi iliyofunga shule kwa muda mrefu ambao ni wiki 77 japo wana idadi ndogo ya maambukizi
Watoto zaidi ya milioni 15 wamebaki nyumbani ambapo UNICEF wamesema kufunga shule kunaleta shida katika makuzi yao...
Aziz Bashir(40) aliyewahi kuwa dereva wa Umoja wa Mataifa(UN) alipata ajali na muendesha bodaboda ambaye hakufahamika ambaye alikwangua gari lake, Mengo, #Kampala
Walitokea bodaboda wengine na mwenye ajali akakimbia, Aziz alivyoenda mbele alimgonga bodaboda mwingine ambapo kundi la bodaboda...
Uingereza imesema magaidi wanaweza kushambulia Uganda ambapo wametahadharisha raia wao kuepuka maeneo ya halaiki ikiwemo mikusanyiko ya kidini na michezo
Japo Uingereza haijataja kundi litakalohusika na shambulio hilo, lakini mamalaka za Uganda wameanza kuwalaumu waasi wa ADF kuwa ni wahusika...
MTN Uganda has picked Kenyan investment bank, Dyer and Blair, to assist with its initial public offering (IPO) guaranteeing the firm, owned by billionaire businessman Jimnah Mbaru hefty fees.
The $250 million (Ush895.56 billion) IPO opened on Monday.
Investors can apply for shares through SBG...
Uwekezaji nikiimanisha (investment ) ni jambo la busara kwa kila mtu sababu linatengeneza Passive income. Tukija kwenye masuala ya Hisa ama Stocks wale wanaoinvest kwa mfumo wa kupata Dividend na sio speculation mara nyingi wanatoboa sana,sababu eventually price ya hisa mara nyingi itakuja kuwa...
Serikali ya Uganda imeifuta kesi ya uhaini dhidi ya kiongozi wa chama cha upinzani Kizza Besigye, ambaye alikuwa akipambana kumuondoa madarakani rais Yoweri Museveni ambaye ametawala kwa kipindi cha miaka 35.
Besigye, amegombea nafasi ya urais mara nne na alikamatwa na kushtakiwa kwa makosa ya...
MTN Uganda will sell a fifth of its stake to Kenyan and other East African investors when it floats its initial public offer (IPO) on the Kampala bourse.
The telecom, a South African MTN Group subsidiary, said Tuesday that it had received regulatory approvals to list 20 percent of its...
"Kuanzia sasa wale Wote ambao watakutwa na Makosa ya Kuua Wenzao hakuna Kufungwa Kifungo cha Maisha Jela bali na Wao wanatakiwa Kuuliwa kwa Kunyongwa ili wasiendelee Kututia Hasara kwa Upumbavu wao na kuwazidishia tu Majonzi wale Ndugu wa Marehemu wakijua bado wanaendelea Kupumua hii Hewa ambayo...
Tunaendelea kufunguliana maana biashara zinazoga...............
Kenya and Uganda have endorsed the establishment of the third point of entry and exit at their common land boundary to boost cross-border trade.
The neighbouring countries’ major crossings are Busia and Malaba borders along the...
Uganda played the perfect first half to blow away Kenya 7-2 on Saturday in the first leg of their second round Fifa U-20 World Cup qualifier in Nairobi.
Coach Ayub Khalifa’s charges started scoring from the go until deep into stoppage time of the first half to break off with a 6-0 lead.
Juliet...
Kenya’s earnings from exports to Uganda jumped more than half after last April’s deal which cleared tax hurdles for goods such as pharmaceuticals, confectionery, juice and spirits.
Trade data collated by the Kenya National Bureau of Statistics show value of exports between April and July...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.