ugonjwa

  1. Nigrastratatract nerve

    Tundu Lissu anaumwa Magufuliphobia, tangu mwaka 2015 amelitaja jina la Magufuli mara 10,000. Ugonjwa unaongezeka anapoona maendeleo ya kasi

    Magufuliphobia ni ugonjwa unaomtesa tundu Lisu unamsumbua sana, dalili za ugonjwa huu ni kuchanganyikiwa unapoona miradi mikubwa ya maji na barabara. Magufuliphobia imemfanya Tundu Lissu alitaje jina la Magufuli mara nyingi zaidi kwa siku Mgonjwa huyu anayeugua Magufuliphobia anaweweseka...
  2. Miss Zomboko

    Daktari: Wapeleka watoto wanaokoroma hospitali kupata matibabu kwani kukoroma ni ugonjwa kama magonjwa mengine

    DAKTARI bingwa wa magonjwa ya pua, koo na mdomo kutoka Hospitali ya Taifa ya Muhimbili-Mloganzila, Perfect Godfrey, ameishauri jamii kuwapeleka watoto wanaokoroma hospitali kupata matibabu kwani kukoroma ni ugonjwa kama magonjwa mengine. Dk. Godfrey alisema zipo jamii zinazoamini kuwa kukoroma...
  3. FrankLutazamba

    Iweje watu wa Singida,Wamasai,Wakurya na Wamanyara wawe na wembamba wenye Afya,waepuke ugonjwa wa sukari,na tusiwe sisi?

    Watu hao juu huwa na wembamba mzuri na kukwepa magonjwa ya moyo,pressure na sukari,kwani hufanyeje fanyeje hadi kulinda miili yao?ili na sisi tuwe nayo.
  4. Etwege

    Dkt. Bashiru: Tundu Lissu anaumwa 'Ugonjwa wa Deko'

    Katibu mkuu wa CCM Dkt Bashiru Ally akiwa ziarani Morogoro ametaja ugonjwa unaomsumbua Tundu Lisu kuwa ni deko . Dalili za ugonjwa wa deko ni zarau ,majivuno ,kuota kuwa rais wa Tanzania ,kulialia, na kujikomba kwa wazungu. Sababu ya ugonjwa wa deko ni malezi mabaya ya utotoni na inaonekana...
  5. anonymousafrica

    Ugonjwa wa kucheka, Pseudobulbar Affect, / PBA kwa walioitazama na wasioitazama movie ya Joker tujuzane hili

    Joker au jokeri, wacheza karata wanampenda na wanamwogopa, akikulalia huyu unahesabiwa una 50, kwenye adhabu unamlambisha mtu 5. Tuachane na huyu Joker anayejulikana kwa jina la Arthur Fleck (jina halisi Joaquin Phoenix) kupitia movie ya JOKER 2019 na movie zingine nyingi zinazomuonyesha kuwa...
  6. Wang Shu

    Ugonjwa wa vitanga/sunzua unavyosababisha kansa

    Kwa jina lingine hujulikana kama GENITAL WARTS. SUNZUA ni ugonjwa wa ngozi unao sababishwa na virusi vya aina ya HUMAN PAPILOMA {{ HPV }} ambapo huota kama vipele au vinyama ambapo mara nying unapo kitumbua ndo huongeza vingine, ila ukitumbua na kupaka dawa hukauka. SUNZUA mara nyingi huota...
  7. Mkogoti

    Je, tofauti na homa ya Maleria ni kweli mbu anaweza kukuambukiza Ugonjwa wa Busha na Matende?

    Wakuu naomba mnijuze maana mimi mimi ndo nimeskia leo! Nilikuwa sina habari, Na Mbu huyo anakuwa Amemuuma mtu mwenye hayo magonjwa hapo juu, Kisha akikuuma na wewe pia lazima uugue, pia naomba kujua dalili zake na pia tiba au chanjo.
  8. Influenza

    Je, dawa ya COVID19 ya Madagascar imedunda? Mji Mkuu wa visiwa hivyo, Antananarivo wawekewa lockdown kwa mara nyingine

    Madagascar imeuweka Mji wake Mkuu, Antananarivo kwenye ‘lockdown’ mpya kufuatia ongezeko jipya la maambukizi ya CoronaVirus ikiwa ni miezi miwili tangu masharti ya ‘lockdown’ hiyo yalipolegezwa Taarifa kutoka Ikulu imesema “Mkoa wa Analamanga, ambapo Mji Mkuu unapatikana, unarudishwa kwenye...
  9. Miss Zomboko

    Mataifa 11 barani Ulaya yafanya makubaliano ya kufungua mipaka yao kwa ajili ya kuanza kupokea watalii

    Taarifa ya pamoja iliyotolewa na tovuti ya kidiplomaisa ya Ureno imesema, mawaziri wa mambo ya nje kutoka nchi 11 za Ulaya wamekubali masharti ya kufungua tena mipaka na kurejesha uhuru wa mawasiliano kati ya wakazi wa Ulaya. Kwa mujibu wa taarifa hiyo, wawakilishi kutoka Ujerumani, Austria...
  10. Mzukulu

    Ni kwanini katika Misiba ya Watu Maarufu au hata Wake zao au Wapenzi Wao Ugonjwa huu huwezi Kukosa Kuusikia ukinong'onwa na Wahudhuriaji?

    Ugonjwa wenyewe unajulikana Upungufu wa Kinga ndani ya Mwili wa Binadamu na Mpiga Kura halisi wa Uchaguzi Mkuu ujao wa 2020 Tanzania.
  11. TODAYS

    Muongozo wa Serikali: Kuhusu Muhula wa I na II 2020 Baada ya Ugonjwa wa Corona

    1. Muhula wa kwanza utaanza tarehe 29.06.2020 mpaka tarehe 28.08.2020 2. Likizo fupi itakuwa kuanzia tarehe 29.08.2020 mpaka 06.09.2020 3. Muhula wa pili utaanza tarehe 07.09.2020 mpaka tarehe 18.12.2020 4. Siku tulizosoma kabla ya kufunga shule kwaajili ya corona ni 52,siku zilizobaki...
  12. M

    Cappuccino Tunda kapatwa na ugonjwa gani?

    Nimeona picha za Tunda insta baada ya Bilionea Laizer kutangazwa akijipa jina la Tunda Laiser Picha zake zimeshtusha mashabiki kutokana na muonekano wake akiwa kakonda na mabaka meusi yamemjaa miguuni. Wamehoji pia ukimya wa mwanadada huyu ambaye kwake Social Media ilikuwa kama kifungua kinywa...
Back
Top Bottom