ugonjwa

  1. Analogia Malenga

    Ujue ugonjwa wa Hyperdontia

    Hyperdontia ni ugonjwa unaosababisha meno mengi yaote kinywani kwa mfumo usio wa kawaida. Kwa kawaida mwanadamu huwa na meno 32 ambayo huitwa ‘Permanent teeth’ Dalili za ugonjwa huu ni kuota meno pembezoni mwa meno ya kawaida ambayo huota mtu anapokuwa mkubwa. Aidha sababu ya ugonjwa huu bado...
  2. Infantry Soldier

    Kuna hatua ugonjwa ukifika ni lazima busara itumike. Mnauza mali zote kulipia matibabu, ndugu anakufa kisha familia inabaki na umasikini wa kutupwa

    Habari za wakati huu kaka na dada zangu wa humu JamiiForums. Ndugu zangu Watanzania; Kuna stage ugonjwa ukifika ni lazima busara itumike. Mnauza mali zote kulipia matibabu, ndugu anakufa kisha familia inabaki na umasikini wa kutupwa. Familia masikini/fukara kuuza nyumba yao ya pekee ni pigo...
  3. M

    Ugonjwa gani huu?

    Wakuu salamu za asubuhi Naomba mnitoe tongotongo, huu ni ugonjwa gani kwa kuku na dawa yake ni nini? Kuku anakuwa kama amepaniki, anaangalia juu na mara chini, anazungukazunguka, anarudi kinyumenyume, yaani fujo tupu. Hata kula anashindwa ni kama amepata kichaa. Mimi siuelewi huu...
  4. U

    Makamo wa Rais Mteule wa Marekani Kamala Harris apewa chanjo dhidi Coronavirus

    Vice President-elect Kamala Harris and her husband, Doug Emhoff, received their first doses of Moderna's coronavirus vaccine on Tuesday, with the incoming vice president getting her shot on camera as part of efforts to build public trust in the inoculations. Harris and Emhoff were administered...
  5. S

    Msaada ugonjwa wa kuku

    Huu ni ugonjwa gani..kuku anakua kazubaa na akisinzia kuna mda kichwa kinageuka kama hivo..hizo dalili amekaa nazo kwa siku 2-3 hivi Kinyesi chake ni cha njano chenye maji mengi picha ipo hapo. Ni kifaranga chotara.
  6. FRANCIS DA DON

    Wale wanaobisha kwamba imani sio ugonjwa wa akili watazame hii clip

    Ona mtu anavyofyonzwa akili na kuwa kama taahira bila hata yeye kujijua, video ina maelezo ya ziada
  7. nyahinga

    Naomba tiba ya tatizo la kinywa

    naomba tiba ya tatizo la kinywa yaani nina miaka mingi sasa nasumbuka na kuumwa koo linawaka na ulimi unakuwa na alama za michilizi. Mwenye dawa anisaidie
  8. Nafaka

    Ugonjwa wa kusakata rhumba (kudance) ulioua watu huko Germany

    Miaka zaidi ya 643 iliyopita, katika mji wa Aachen huko Ujerumani watu walianza kumiminika mitaani kutoka kwenye majumba yao na kuanza kusaka rhumba kwa kila aina ya staili. Wengine walicheza kiduku, wengine mapanga, wengine shaku shaku, wangine walishake, wengine wakacheza ngororo, ili mradi...
  9. Kurzweil

    Fahamu kuhusu Ugonjwa wa 'K Syndrome' uliozushwa ili kuwaokoa Waisraeli dhidi ya maafisa katili wa Utawala wa Nazi

    Safe haven: Fatebenefratelli Hospital, Tiber Island, Rome, 2019. Hospitali ya Fatebenefratelli Hospital, iliyopo katika Kisiwa cha Tiber huko Roma, nchini Italia ilikuwa na Wodi maalumu iliyojawa Wagonjwa ambao ilielezwa kuwa wanasumbuliwa na ugonjwa mbaya wa Koch Syndrome ambao ni sawa na...
  10. GENTAMYCINE

    Kwa 'Wabobezi' wa Siasa na Uongozi huu 'Ugonjwa' na kumshuhudia na kumfuatilia Mpinzani wako unaitwaje?

    Unajijua kabisa kuwa unamchukia 'Mtemi' mpya 'anayesimikwa' leo huko 'Omba Omba Land' na pengine tokea 'akuangushe' kwa Kiwango cha 84.4 katika Mpambano wake na Yeye umemtishia mno kumuharibia na mpaka kumshtakia kwa 'Wazungu' ambao nao leo hii 'wanaibiana' Kura huko Michigan, Georgia, Wisconsin...
  11. Analogia Malenga

    Ugonjwa uliomfanya Garry Turner kuvunja rekodi

    Garry Turner ni muingereza anayeshikilia rekodi ya dunia ya Guinness ya kuivuta ngozi ya mwili wake. Oktoba 29, 1999 alivunja rekodi kwa kuvuta ngozi yake kwa urefu wa inchi 6.25. Tangu avunje rekodi hiyo Garry Turner amekuwa akifanya maonyesho kwa kutumia ngozi yake na kujiingizia kipato...
  12. Kichwa Kichafu

    Ugonjwa wa Minamata Japan na athari zilizodumu zaidi ya nusu karne baada ya kugundulika

    MINAMATA DISEASE Ugonjwa uliogundulika kwa mara ya kwanza sehemu iliyoitwa Minamata kwenye mji wa Kumamoto huko Japan mwaka 1956. Nini chanzo za ugonjwa wa Minamata? Tarehe 21 april mwaka 1956, Mtoto wa kike wa umri wa miaka 5 alichunguzwa katika hospitali ya shirika moja la Chisso huko...
  13. Analogia Malenga

    Ugonjwa hatari usiofahamika kwa wengi watikisa Muhimbili

    *Husababisha maradhi mengine *Muhimbili watibu watano kila wiki *Madaktari bingwa wataja chanzo *Matibabu yahusisha kukata utumbo KUTOKWA haja kubwa bila kujijua ni ugonjwa unaosababishwa na kukosa seli kwenye utumbo mkubwa zinazosaidia kusukuma haja kubwa kuitoa ndani ya utumbo. Wataalamu wa...
  14. S

    Huu ni ugonjwa gani?

    Habarini za usiku ndugu na rafiki zangu? Bila kusita niende moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu. Mimi ni kijana mwenye umri miaka 26 nina mchumba wangu anasumbuliwa na tatizo, maumivu ya mara kwa mara chini na pembeni ya kitovu na maumivu hayo huvuta mpaka shingoni na mwili mzima, maumivu...
  15. Ngengemkenilomolomo

    Huu ni ugonjwa gani na unasababishwa na nini?

    Habari Wana Jf, Samahani ni kwa wiki mbili sasa nmekua nikiwashwa kuanzia maeneo ya kiunon mpk miguuni hali hyo inanifanya nijikune kila wakati Mbaya zaidi uume pia unawasha sana hvo nalazimika kujikuna k2 kinachopelekea kichwa cha uume wang kupata mabaka. Nilienda pharmacy nikaambiwa ni...
  16. K

    Fahamu zaidi kuhusu la ugonjwa wa Vitiligo na tiba yake

    Baadhi ya maswali yaliyoulizwa na wadau kuhusu ugonjwa huu Wataalamu poleni na majukumu ya kuhudumia afya zetu, Mimi nina tatizo la ugonjwa wa Vitiligo, lips ya chini imebadilika colour na nyekundu kama nakunywa pombe kali, na kichwani nimetokewa alama nyeupe kama kishilingi, na shingoni nina...
  17. Marathon day

    Tatizo la gonjwa la sukari Tanzania

    Kwa tatizo hili la ugonjwa wa kisukari hapa nzchini kwanini wanasiasa wanaotengeneza ilani ya vyama vyao asiwepo mmoja akaliona hili tatizo na kuja na sera ya matibabu yake yawe bure Kama magonjwa ya TB na Homa ya ini, hasa chanjo. Kwani kwa Sasa swala la chanjo ya Homa ya ini ni tatizo kuipata...
  18. KENZY

    Ile hela tuma kwenye namba hii, ugonjwa usiokoma!

    Nimeamka asubuhi tu nakutana na sms yao ati nitumie hela kwenye namba hii..! Haya majamaa sijui huwa yanafikiria hela ni kama pua tu kila mtu anayo!!.. wangejua hii weekend imekaa kikomamanga hata wasingetuma li sms lao..! Mtu huna hata ya kununulia soda ya jero licha ya soda tusiende mbali hata...
  19. Analogia Malenga

    Disorder of Sex Development (DSD) ugonjwa unasababisha mtoto kutokuwa na jinsia

    Kulingana na daktari wa afya ya uzazi wa wanawake nchini Tanzania Dkt Berno Mwambe, hali hii kwa Kiingereza hufahamika kama Disorder of Sex Development (DSD). Hii ni hali ya viungo vya uzazi kukosa kukomaa. Anasema kuna aina nyingine ya ugonjwa unaojulikana kama Mayer-Rokitansky-Kuster-Hauser...
  20. Education Mentor

    Saikolojia: Fahamu Ugonjwa wa Bipolar Disorder (Kanye West)

    Habari wasomaji wangu, wa makala za jifunze saikolojia. Basi leo nimeleta somo kuhusu ugonjwa wa saikolojia unaofahamika kama Bipolar Disorder. Pengine wengi wetu neno ili au msamiati huu ni mpya kabisa kuusikia au wengi waliousikia lakini hawakuweza ingia kujifunza kuelewa Bipolar ndio ukoje...
Back
Top Bottom