UHALISIA
: REALITY (uhalisia) tunautengeneza ndani ya fikra zetu,Tunaweza
Kuubadili uhalisia kwa kuanza kubadili mfumo wa FIKRA zetu.😎
: Usikubali kukosewa HESHIMA kabisa hata kutoka kwako wewe mwenyewe....
: Hupaswi kukaa karibu na watu ambao hawakuheshimu,wala kukuthamini.
TUmia kutokuwepo...