Jana katika mechi ya JKT Tanzania vs Yanga, mchezaji wa Yanga Lamine Moro alimpiga kiunoni kwa style ya Taekwondo mchezaji wa JKT Mwinyi Kazimoto na kumrusha mita kadhaa mbele, na kuzua taharuki baina ya Kazimoto na Lamine ambapo mwamuzi akaamua kuwalambisha red card.
Kiukweli kile kitendo cha...