Wakuu kwanza heri ya mwaka2022,nimekua nikifuatilia elimu mbalimbali kuhusiana mda ,kiukweli mda ndio kila kitu kwenye maisha ya kila kiumbe ,ila kama huna ujuzi wa kuutawala mda ,wewe si lolote,utaishia kufeli kila siku,ni hivi fikiria kama ungekua unajua mda wako wa kufa,au mda ambao mvua...