Waziri wa Afya nchini Tanzania, Dk Dorothy Gwajima ameutaja Mkoa wa Dar es Salaam nchini Tanzania kuongoza kwa kuripotiwa matukio 2618 ya ukatili wa wanawake mwaka 2019/20.
Dk Gwajima amesema hayo leo Jumatano Februari 24, 2021 wakati akifungua kongamano la chama cha maofisa maendeleo wa...