ukuta

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Vibaka Iran watoboa ukuta wa benkikuiba maboksi kadhaa ya pesa

    Mzuka wanajamvi! Vibaka Tehran nchini Iran wametoboa ukuta wa benki kutokea kwenye jenho lililo karibu na benki iyo nakuiba maboksi 280 (safes) zenye pesa na Vito vya thamani. Wezi hao walichukua fursa (advantage) ya siku kuu ya siku tatu iliyokuwa ikiadhimishwa nchini Iran kufanya wizi huo...
  2. U

    Kwanini usijengwe ukuta katikati ya barabara za mikoani kupunguza ajali?

    Shida kubwa na chanzo Kikuu cha ajali ndani ya nchi yetu ni Kama zifuatazo; 1. Uchovu wa Madereva wakiwa barabarani. 2. Magari mengi Ni mabovu hasa malori hivyo ni Kama majeneza yanayotembea 3. Ulevi kwa madereva, Tanzania tunajifanya Sheria haziruhusu kuendesha ukiwa tayari umeshakunywa...
  3. Fuqin

    Rangi gani inafaa kwa ukuta wa Fence?

    Kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu... nimejenga fence nishapiga plasta bado rangi ... ambao mushajenga nipeni ushauri rangi ya kupaka ili ukuta uwe na muinekano mzuri na rangi isibambuke wala kupauka
  4. The Sunk Cost Fallacy

    Nyumba ya contemporary inavuja na ukuta unaoza

    Tahadhari ni muhimu na watu tuliwaambia,nyumba za hidden roof sio za kupunguza gharama. Ona sasa fundi Maiko kamliza mtu,nyumba inavuja na ukuta unaoza,anaanza upya kufumua. Hakuna kitu rahisi,cheki hapa👇
  5. K

    Dawa ya kupambana na ukungu na chumvi kwenye ukuta inaitwaje?

    Wadau, Nyumba nyingi zinathriwa na kuta kubanduka sbb ya chumvi na fungus. Nasigia kunadawa ya kupaka kabla ya kupiga rangi. Je, ni dawa ipi hiyo? Je, mikoani kama inapatikana? Tupeane ushauri.
  6. Superbug

    Morogoro: Kuna sehemu kunajengwa msikiti mkubwa unaopakana ukuta na kanisa, Je hii imekaaje?

    Manispaa ya morogoro Kuna eneo nadhani ukitoka hospital kubwa Kama unaelekea bigwa Kuna sehemu mkono wa kulia Kuna kanisa Kama sio yehova ni sabato; kanisa Hilo linapakana ukuta tu na eneo linapojengwa msikiti mkubwa Sana. Sasa naomba mamlaka husika za kiserikali zitolee ufafanuzi kwamba...
  7. athumanishapu

    Kuna uwiano wowote kati ya rangi ya bati na rangi ya ukuta?

    Mfano , nimenunua BATI rangi ya kijani JE ni rangi gani nipake ukutani ili iendane na rangi ya bati?
  8. Pascal Mayalla

    Ombi kwa Polisi: Nyinyi ni wenzetu, kwenye Maandamano yetu tafadhali msigeuke Gestapo au Makaburu!

    Wanabodi, Kazi Kuu ya Jeshi la Polisi ni kulinda raia na mali zao, katika kutimiza jukumu hilo, pia wanawajibu wa kutuliza ghasia na kuhakikisha kunakuwepo amani na utulivu kwa ustawi wa taifa hili. Hizi picha ni picha za mazoezi ya kawaida ya ukakamavu ambayo hhufanyika mara kwa mara and...
Back
Top Bottom