Wakuu Tumemsikia Msemaji wa Serikali Ndugu Greyson Msigwa akitoa Uchambuzi Juu ya Serikali kudhamiria Kununua Umeme Kutoka Ethiopia kupitia Kenya.
Msemaji huyo amedai ununuzi huo wa Umeme utaenda Kuimarisha Hali ya Upatikanaji wa Umeme kwa Mikoa Ya Kaskazini Yani Arusha Na Kilimanjaro.
Sasa...
Huwa nazungumza sana akiba ya pesa za kigeni sababu ni kitu muhimu sana kwa nchi. Nchi inatakiwa kutumia kwa busara sana pesa za kigeni. Hizo ndizo tunaagizia mafuta, madawa, kulipa madeni na mahitaji mengine muhimu. Ukisikia serikali haina pesa ujue hasa inamaanisha haina hizo reserve...
Kikao cha mwisho tulikubaliana kuwa bwawa likikamilika hatutahangaika tena kuhusu umeme, zaidi tutakuwa na umeme wa kutosha hadi tutauza kwa majirani. Ghafla mama akiwa Same amesema itabidi tununue umeme Ili kuzuia umeme kukatika Kanda ya kaskazini.
Kwaiyo mheshimiwa Samia tukuamini kwenye...
Mikoa ya kaskazini imekuwa na umeme tangu zamani. Kwa mfano Kilimanjaro kila kijiji kimeunganishwa na gridi ya Taifa.
Kama rais Samia anatafuta kitu cha kuwafanyia watu wa mikoa ya kaskazini basi afanye haya:
1. Barabara za lami
2. Reli ya mpya (SGR)
3. Mipango miji
4. Viwanda
Kusema ataleta...
Mkulima analima mahindi. Baada ya kuvuna, anapata uvivu wa kupeleka mashineni yasagwe na kupata unga wa kula kwa kuona kwamba ni gharama kuyaosha na kuyaanika juani na baadae kuyasaga.
Anaamua kuyauza na kisha kwenda dukani kwa mangi kununua sembe.
Nauliza, umeme uliokuwa unapelekwa mikoa ya...
Ni wizi na kutafuta njia za kuiba tu. Umeme wa kusini mwa Tanzania unakuaje mbali kuliko umeme wa Ethiopia?
Lakini pili kuna bomba la gas toka mtwara kwanini wasipeleke bomba kaskazini la gas halafu Dar wakatumia umeme wa bwawa!?
Ukweli ndugu zangu ni mazingira ya wizi kwa watoto na ndugu wa...
Tunashuhudia unyanyasaji mwingi katika hizi za kutegemea huduma kutoka nchi zingine hususani pale ambapo mausiano ya kidiplomasia yanapozorota.
Lakini pia Tanzania kwa sasa tunazalisha umeme zaidi ya maitaji yetu sasa mtu unapata ukakasi wa kuanza kununua kitu unachokizalisha.
Kwa vyovyote...
Nayazungumza haya nikiwa kama fundi mzoefu katika sekita ya umeme!
Nimeona mijadala watu wakilalamika kwanini nchi inataka kununua umeme kutoka inje kwa mikoa ya kaskazini wakati ina umeme wa kutosha?
Ni kweli nchi ina umeme wa kutosha lakini haina maana kwasababu umeme upo wa kutosha basi...
Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema Serikali ipo kwenye hatua za mwisho za kusaini mikataba ya kununua umeme nje maalum kwa Mikoa ya Kaskazini ili Mikoa hiyo ipate umeme wa uhakika na iondokane na adha ya umeme kukatikakatika.
Rais Samia amesema hayo baada ya kufungua mradi wa...
bwawa la nyerere kukamilika
bwawa nyerere kukamilika
mgao pesa za escrow
rais samia
rushwa afrika
tanzania kununua umeme
tanzania kuuza umemeumeme
upigaji mali za umma
Leo rais Samia amesema wapo kwenye mchakato wa kusaini mkataba ili tununue umeme kutoka kenya kwa ajili ya watu wa Kaskazini..
Sasa najiuliza kuna haja gani ya kununua umeme nchi jirani wakati tunatengeneza umeme wa zaida.?
Wajuzi wangekuja kutuelezea vzuri hii imekaaje kaaje
habari za mchana wanajamii naomba msaada kwa mtu ambae ameshawahi kufanya interview utumishi, interview ambayo ilifanyika online naomba kama itampendeza tuwasiliane pm apate kunielekeza mambo yanakwendaje kwa interview za namna hiyo
Pia kwa mwenye uelewa na interview za online usisite kuchangia...
Naibu Waziri wa Viwanda na biashara na Mbunge wa Jimbo la Mufindi Kaskazini Exaud Kigahe,ameitaka kampuni ya Mwenga Hydro power kuboresha huduma zake ili kufikisha nishati ya umeme kwa Wananchi wa Vijiji vyote vinavyopaswa kuhudumiwa na mkataba wa kampuni hiyo kwa mujibu wa mkataba.
Wito huo...
Habari za Muda wakuu, Natumai mpo Salama.
Leo Hii nawaletea Bidhaa mpya kabisa ya Submetter (Kata Umeme), Submetter hizi ni suluhu ya migogoro ya Umeme kwenye nyumba za Kupanga, Maeneo ya Biashara au Majengo Makubwa ambayo kunakuwa na Luku/Mita moja tu kwa watu wengi.
Submetter hizi humpa...
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Wakala ya Nishati Vijijini (REA) Mhandisi Advera Mwijage amesema kuwa Mkoa wa Tanga unatekeleza miradi minne ya kusambaza umeme katika vijiji, miji, vituo vya afya, pampu za maji, maeneo ya migodi pamoja na viwanda vidogo ambayo thamani yake ni shilingi bilioni 137.87...
Amerukia kwa Norway inayotupatia wastani wa dola milioni 7.kila mwaka wa fedha.
Walianza kuipinga serikali yao isiwekeze ujenzi wa bwawa la kufua umeme megawati 2215.
Wakaja kuipinga DP WORLD yenye kutoa TRILIONI 22 kwa mwaka na malengo ya kufikia TRILIONI 60.
Leo vibaraka koko wameingia...
NAOMBA Risiti hii imfikie Waziri wa Nishati na Madini Popote alipo. MANAGER TANESCO DAR ES SALAAM, MANAGER TANESCO CHANIKA.
MIMI ni mteja Ambaye nimelipia kupata huduma ya umeme toka Mwezi wa tano Mwaka Jana 2024. ACCOUNT NO.0150043011126
Niliipia kupitia control Number ya TANESCO, nguzo...
Hi Great Thinkers.
NAOMBA Risiti hii imfikie Waziri wa Nishati na Madini Popote alipo. MANAGER TANESCO DAR ES SALAAM, MANAGER TANESCO CHANIKA.
MIMI ni mteja Ambaye nimelipia kupata huduma ya umeme toka Mwezi wa tano Mwaka Jana 2024. ACCOUNT NO.0150043011126
Niliipia kupitia control Number ya...
Iombee sana Tanganyika.
Tanganyika haijawahi kuingia kwenye mgao wa umeme sababu ya "kurekebisha miundombinu".
Sababu pekee huko nyuma zilikua ni maji kupungua, Megawatt kuwa chache.
Leo hii tuna bwawa la nyerere Megawatt zaidi ya 3000 mpaka zingine zinataka kuuzwa nje, lakini kwa mara ya...
Sasa Duka Direct inakuletea huduma ya kukuletea mafuta hadi home...
Tunaona fursa zilizoko nyumbani kwako...
"Power Outage? Fuel for your generator from Assam Oil, delivered to your door with duka.direct! Tap to duka.direct | Food delivery, Shoppers supermarket delivery, Courier Delivery...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.