Kauli mbiu ya Chadema ya "No Reform, No Election" imetolewa tena kwenye mkutano na wahariri. Hata hivyo, msimamo huu si wa kisheria, wala hauna mantiki ya kidemokrasia. Katika mazingira ya sasa ambapo vyama zaidi ya 18 vimeshajitokeza kushiriki uchaguzi, ni dhahiri kuwa juhudi za Chadema ni...