unafiki

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. ndege JOHN

    Nakasirishwa na unafiki wa viongozi wetu

    Wananchi tunafanya kazi kwa bidii na tunapenda haki lakini viongozi wetu hawaonyeshi kuwa na nia ya kututetea wametuacha katika mazingira duni hawatusaidii kuboresha hali zetu na ndio sababu miaka ya nyuma watu walikuwa wanajiunga na migomo. Viongozi wetu (wa kisiasa na dini) wanaishi maisha...
  2. DAD'S SON

    Ulishawai kunafikiwa na rafiki?

    Ni ngumu sana binadamu kuishi bila rafiki hata Putin na ubabe wake ana rafiki, ila sometimes we meet with wrong friends. Mimi binafsi nilikuwa na rafiki mpaka ilifika stage tunapeana pesa bila kukopeshana yaani tulikuwa kama ndugu vile, kwao naenda tunakula tunalala mara nyingine anakuja kwetu...
  3. Etwege

    Mbunge Peter Msigwa unaongoza kwa unafiki nchini

    WAKATI WA KAMPENI NILILIONA BANGO HILI "MALOFA KATIKA UBORA WETU". å Kadri siku zinavyokwenda naanza kuondoa lawama hizi kwa rais mstaafu kama muasisi Wa kauli hii, naamini kua aliwatamka vile kwa kuwafahamu na si kuwa dharilisha. Naamini haya kupitia kauli za Mh. Peter Msigwa Kabla ya...
Back
Top Bottom