unafiki

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Kasomi

    Wabongo tuache unafiki

    Bila kupepesa macho wala kutikisa kichwa Wabongo tumejariwa unafiki tena wa Hali ya juu. Hii ni juu ya tukio lililo tokea leo maeneo ya Upanga huko Dar es Salaam. Ukiangalia comment za wadau juu ya tukio hilo wanaliingiza kwenye mambo mawili tofauti. Mosi ikiwa ni siasa na pili ikiwa ni...
  2. Superbug

    Chanel ten na unafiki hebu angalieni

    Chenel ten ni wanafiki Sana muda huu kwenye taarifa yao ya habari wamesema mambo mawili ya kinafiki. 1. Uchaguzi wa Zambia uliopita haukuwa huru na wa haki je uchaguzi wa Tanzania upi ulishawahi kuwa wa haki na mkasema wazi huu wa 2020 ndio ulitia fora kwa wizi. (Cha kuchekesha Lungu incumbent...
  3. GENTAMYCINE

    Wale wote 'mnaomtetea' Haji Manara na 'Upuuzi' na 'Unafiki' wake popote pale mlipo naomba mnijibu haya Maswali yangu Kwenu

    1. Je, Kisheria baada ya jana Haji Manara kuitaja Kampuni ya Azam akiihusisha kuwa na Vita ya Chuki na Kampuni za Mohammed Dewji yuko salama kama aliyeguswa akitaka Kumshtaki? 2. Je, kati ya aliyekuwa CEO Magori ambaye hakuwa kumpa Mkataba wowote Haji Manara na CEO Barbara ambaye kwa mwaka...
  4. Nebuchadinezzer

    Dotto Biteko, kuwafukuza wana Chunya kwenye eneo lao la machimbo ni unafiki

    Mwanzo nilikuona wa maana sana kumbe ndio walewale walamba viatu na wajali matumbo yao. We ni mtu wa ovyo, mzandiki na usiyefaa hata kidogo! Umeamua kuwafukuza wananchi wa Chunya kwenye eneo lao waliokuwa wanachimba eti walimdanganya rais. Wewe kama msaidizi wa rais, iweje ukubali bosi wako...
  5. M

    Meneja wa Kipa wa Yanga SC Metacha Mnata Mchambuzi Jemedari Said Unafiki Kwake mwiko japo ni mwana Yanga SC lia lia

    jemedarisaid ....imetimia misimu 4 kamili Yanga SC haina kikombe chochote cha maana..... Nami Krav Maga nasema wasipoangalia wanaweza hata Kukosa tena Vikombe vyote kwa miaka 15 ijayo.
  6. Kanamusi

    RC Mtaka yupo sahihi. Ni kweli kabisa viongozi wetu hawana uchungu na elimu ya watoto wetu

    Pamoja na approach aliyoitumia ila alichokisema RC antony mtaka ni ukweli uliochelewa kusemwa kwa sababu ni kwa miaka mingi sana elimu yetu imekuwa ikifanyiwa siasa na kuharibiwa na viongozi tuliowapa dhamana ya kuisimamia. Mara kadhaa kumekuwa kukitolewa matamko yasiyo na kichwa wala miguu...
  7. D

    Viongozi jifunzeni kutendea kazi hekima za wazee wakiwa bado hai, Ni aibu na unafiki kusubiri kumpongeza Mzee Warioba msibani

    Wakati huu wapo hai, wanaongea hamuwasikilizi, wanashauri mmeziba masikio, wanapendekeza lakini mmeshupaza shingo! Mtapata faida gani kutokusikiliza hitaji LA watu! Viongozi wakuu mnachokifanya ni kama dereva na tairi! Sisi wananchi ni matairi hivyo tunapitia msoto mkali sana kuwabeba nyinyi...
  8. T

    RC Mtaka anaponzwa na sifa kutoka mitandaoni

    Kiufupi RC Mtaka ni mtu anayeamini katika kufurahisha watu washangilie kwa muda baadae kombe linafunikwa mwanaharamu anapita bila mabadiliko kutokea au kufanyika. RC ni mtu anayejijenga kupitia mitandao ya kijamii kwa lengo la umaarufu bali si utendaji. Nashangazwa sana ni kwa namna gani...
  9. Jidu La Mabambasi

    Watoto wa UVCCM watuachie chama chetu cha kutovumilia unafiki

    Alichosema na kugusia Mwenyekiti wa CCM Mwanza ndg Diallo majuzi juu ya baadhi ya mapungufu ya utawala wa Awamu ya Tano yanaungwa mkono na sisi wapenda chama. Chama ni mawazo ya wanachama na si mtu. Hivyo mtu akikosea, kuchambuliwa ni lazima na ndio kukijenga chama. Moja ya imani ya chama ni...
  10. Informer

    Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

    Binafsi nimefurahishwa na kasi ya Rais Dkt. Magufuli. Naamini wapo pia wengi wanaoungana nami katika furaha hii. Rais Magufuli ameanza kwa kasi ambayo kama ataimaintain, Tanzania haimalizi miaka mitano itakuwa tayari ni nchi yenye kipato cha kati. Hata hivyo wapo baadhi yetu ambao wanakejeli...
  11. Shujaa Mwendazake

    Kabudi ni wakati wa kunyamaza; karma ikikunyamazisha familia yako itafedheheka sana

    Kabudi Ni kati ya waasisi wa Kituo cha sheria na haki za binadamu LHRC na ndio wadau wa kwanza wa kudai mabadiliko ya katiba miaka 25 iliyopita since 1995 kilipo anzishwa na kuwa mjumbe wa bodi mpaka alivyoteuliwa kuwa mbunge. Ni muandishi wa machapisho mengi kuhusu katiba pia. Hiki ni kipimo...
  12. Kamanda Asiyechoka

    Mbowe mpaka sasa kwenye ziara ya kidigital hajauliza alipo Ben Saanane

    Hivi Ben hakuwa mtu wa karibu yake na msaidizi wake? Hivi Ben hakuwa mtu muhimu kwa chama chetu? Mbona sisikii kamanda mkuu akiuliza hatima ya huyu ndugu yetu? Kunani?
  13. Robert Heriel Mtibeli

    Silaha ya Masikini ni Unafiki

    SILAHA YA MASIKINI NI UNAFIKI Kwa Mkono wa Robert Heriel Uzoefu wangu unanieleza jambo hili. Na nimeshalithibitisha kwa yakini kuwa Silaha namba moja kabisa ya Mtu masikini ni Unafiki. Umasikini upo wa namna mbalimbali, upo umasikini wa kiuchumi, umasikini wa kifikra, umasikini wa Kiroho...
  14. Shujaa Mwendazake

    Bandari Bagamoyo: Job Ndugai historia itakuhukumu, umeonesha unafiki mkubwa, ni heri ukae kimya

    Hebu tumtazame Job hapa chini. Huyu alikuwa kiongozi wa Mhimili au vip?..Mbona amekuwa mnafiki kiasi hiki huyu mzee? https://www.jamiiforums.com/threads/rais-magufuli-ataja-sababu-kusitisha-ujenzi-bandari-ya-bagamoyo-kwa-mkopo-wa-dola-bilioni-10.1593875/...
  15. GENTAMYCINE

    Mchambuzi wa EFM Mwanayanga SC Jemedari Said: Yanga SC iache Unafiki kuhusu Mechi yake na Simba SC tarehe 3 July, 2021

    " Ifike muda sasa tuambiane ukweli tafadhali. Yanga SC waache unafiki na kutaka Kuwahadaa Mashabiki wao kwani wameshakaa na Serikali pamoja na Simba SC na Kukubaliana tena hadi kwa Kusaini kuwa watacheza huo Mchezo baada ya Kuahirishwa na Serikali iweje leo wanajitokeza Watu wengine pembeni na...
  16. Determinantor

    Mrisho Gambo acha Unafiki

    Kama kuna mambo yanachukiza basi ni huu unafiki wa kiwango cha SGR. Moderator naomba msifute. Hivi karibuni huyu kijana ameonekana "akijaribu" kwa kiwango kikubwa sana kujitenganisha na Utawala katili na dhalimu wa Magufuli, kitu ambacho hakijui ni kwamba hawezi kukwepa sehemu udhalimu huo...
  17. GENTAMYCINE

    Huwa nachukia sana 'Unafiki' kama huu hasa pale Mtu maarufu au wa Kawaida tu anapofariki dunia

    gersonmsigwa Mwamba ' Fredwaa ' nilikuwa na hamu sana ya kukutana nawe siku moja, lakini haikutokea na leo umelala milele. Nilitaka kukwambia wewe ni Mwanamapinduzi wa utangazaji. Mimi mtangazaji mwenzako nilivutiwa sana na jinsi ulivyokuwa unaupigwa mwingi sana kwenye microphone 🎤. Sindano 5...
  18. J

    Rais Magufuli alikataa kuongeza mikoa kwa kuwa inaongeza gharama, alisema la muhimu wananchi wapatiwe huduma

    Magufuli alipoombwa kuugawa mkoa wa Tabora ambao unastahili zaidi kugawanywa kuliko huko Chato alijibu na kusema hawezi kugawa mikoa kwa sababu ni gharama, Pia alishaombwa kuugawa mkoa wa Morogoro na akatoa majibu hayo hayo. Leo Hoi tunasikia mkoa wa Chato umegawanywa kilazima licha ya wananchi...
  19. Z

    Haki ndio salama yako, sio unafiki

    Ukiwa kiongozi sehemu yoyote ile ukitaka kuwa salama hapa duniani na Mbiguni basi wewe tenda Haki bila kujali, ilimradi unachokitenda ni haki mbele za Mungu na mbele ya binaadamu wenzako. Na kinyume chake, Unafiki madhara yake ni makubwa sana kwa binaadamu wenzako na mbele za Mungu. Hakuna...
  20. Idugunde

    Kama kweli Sabaya ana hii hatia leo aburutwe Mahakamani

    Kama kweli alimteka na kumtesa kwa kipigo kikali Diwani wa Kata ya Sombetini, Bakari Msangi huko jijini Arusha basi alifanya kosa kubwa sana. Kwa mujibu wa tovuti ya Sauti Kubwa ni kuwa Bakari Msangi alienda kutoa msaada kwa vijana waliokuwa wamewekwa chini ya ulinzi na Sabaya na timu yake kwa...
Back
Top Bottom