unajua

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Uhakika Bro

    Je, unajua kuwa mwaka wa Wasukuma una siku 364 + 11?

    Tena mwaka wao walimaji huanzia mwezi wa 11. Miaka huhesabiwa kulingana na shughuli za kilimo. Mwezi wa kwanza ni mwezi ninaoandaa mashamba maana hiyo ndiyo shughuli ya kwanza. Ukiwa mbabe na unajitambua, hadi mwaka unaweza kuubadili tu kufuata matakwa yako. Wasukuma sio wa kwanza kufanya...
  2. GoldDhahabu

    Unajua athari ya tabasamu lako kwa mke wako?

    Mwanamke! Kiumbe wa kipekee ambaye wanaume wengi hawajamfahamu kiusahihi! Mwanamke, kiumbe "dhaifu" lakini mwenye nguvu ajabu! Mwanamke ni kiwanda kinachoishi! Mpe mchele, atakurudishia ukiwa umegeuzwa na kupewa jina jingine, wali! Mhuzunishe, naye atakufanya "ulie" bila kupigwa! Mwanamke...
  3. JohMkimya

    Je unajua Rudisha pesa(Cashback bonus) ya SOKABET

    Cash back kwenye bet ni ofa inayotolewa na kampuni za kamari au makampuni ya michezo ya kubahatisha ambapo mchezaji anaweza kurudishiwa sehemu ya pesa aliyoweka kama dau, ikiwa bet yake itashindwa au kutimiza masharti fulani. Hapa kuna umuhimu wa cash back kwenye bet: Kupunguza Hatari (Risk...
  4. Jumanne Mwita

    Hata kama unajua ni muhimu kujikumbushia nakuletea - basic driving test

    BASIC DRIVING TEST 1. Taja makundi ya alama za barabarani 2. Taja maeneo ambayo dereva haruhusiwi kuegesha gari 3. Chora mchoro wa alama ya onyo/Tahadhari ikionyesha watu wenye mtindio wa akili wapo eneo hili. 4. Taja matumizi ya taa za barabarani pia eleza kazi ya kila rangi ya...
  5. D

    Je, unajua hati yako ya kumiliki ardhi inaweza batilishwa akapewa mwingine?

    Katika muktadha wa ardhi na mali isiyohamishika, hati ya umiliki wa ardhi inaweza batilishwa au kubadilishwa mwenendo kwa mujibu wa sheria na mazingira fulani. Hata hivyo, mchakato huu unaweza kuwa na masharti na taratibu zilizowekwa na mamlaka husika. Hapa kuna sababu kadhaa ambazo zinaweza...
  6. ubongokid

    Je unajua kinachoendelea katika siasa ya Tanzania?

    Kwa wale ambao hamfahamu leo nataka tuzushe mjada hapa unaoelenga zaidi kuchokoza mjadala zaidi; Kwanza kabisa kuna Operation Maalum ya "Dethronement"ambayo inalenga kuhakikisha kwamba hakuna unpredictable and uncotrollable elements wanaingia katika mfumo wa Uongozi wa nchi. Kitu cha Pili...
  7. GENTAMYCINE

    Kama ulikuwa unajua sawa, ila kwa wasiojua ni kwamba 'Mbungi' ya Jumanne Cairo ni Saa 11 Jioni Saa za Kwetu Tanzania

    Matokeo kwa wenye Akili Kubwa na Watu wa Mpira akina GENTAMYCINE tumeshayajua ila kwakuwa Watu hawapendi Ukweli na wanataka Kudanganywa na Unafiki basi nami naungana nao ( huku Moyoni nikiwadharau ) kuwa Mwarabu aliyetukosakosa kama Goli 4 Kipindi cha Kwanza na Goli 2 Kipindi cha Pili anakufa na...
  8. DR Mambo Jambo

    Je, Unajua nini kuhusu "Psychological Manipulations",Jinsi ya kuziepuka Na sheria Ya Tanzania inasemaje kuzihusu?

    Habari Za Muda huu wanajamvi! Leo ni siku ambayo ningependa kushare kidogo kuhusu Aina ya mtu kuongozwa kiakili na kufikia kufanya maamuzi kinyume na matakwa yake (Psychological Manipulation). Kwa kwa kuanza Nini maana ya Psychological Manipulation? Psychological Manipulation ni aina ya...
  9. GENTAMYCINE

    Msemaji wa Yanga SC Ali Kamwe leo baada ya Kichapo ndiyo unajua kuwa Ligi ni Marathon?

    "Ligi Kuu ni Marathon hivyo bado Michezo iko mingi na huu wa leo ndiyo Kwanza wa Nne hivyo msiwe na wasiwasi" amesema Msemaji wa Yanga SC Ali Kamwe akiongea na Waandishi wa Habari baada ya Kichapo cha Mbarali leo. Hivi Wewe Ali Kamwe ( Msemaji wa Yanga SC ) na wana Yanga SC Wenzako ukiongozwa...
  10. Lycaon pictus

    Unajua kwanini Nyerere alisema wanafunzi waanze shule na miaka saba?

    Zamani kabla ya kubadilishwa kwa sheria wanafunzi walikuwa wanaanza shule wakiwa na miaka 5 kama ilivyo sehemu nyingi duniani. Lakini Nyerere mjamaa alikuwa anahitaji sana wafanyakazi. Akaona wanafunzi wanaoanza shule na miaka mitano wanamaliza darasa la saba wakiwa wadogo sana kuweza...
  11. Pascal Ndege

    Je, mwananchi unajua maana halisi ya kodi ya mapato?

    Kodi ya mapato au kwa kizungu income tax ni kodi unayolipa katika Faida ya biashara yako. Je Faida ni ipi kwenye biashara yako? Faida ni yale mapato ambayo unapata baada ya kutoa gharama zote za uendeshaji. Makadirilio ya kodi ya mapato ni nini? Makadilio ni makisio ya kodi kabla ya Kuanza...
  12. mtwa mkulu

    Kumbukizi ya Dkt. Remmy Ongala wakati wa Nyerere hakukuwa na mgao wa umeme

    Kumbukizi ya Dr Remmy Ongala wakati wa Nyerere hakukuwa na mgao wa umeme.. unaniamsha unajua nimelala vipi uhuni huo.
  13. J

    Je, unajua namna Sekta Binafsi zinavyoshiriki katika kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi?

    JamiiForums wakishirikiana na Taasisi ya Wajibu wataangazia dhana nzima ya Mabadiliko ya Tabianchi, Athari zake pamoja na jitihada Mbalimbali zinazofanywa na Sekta Binafsi katika kukabiliana na Changamoto hii. Karibu ujiunge na ushiriki nasi kwenye Mjadala huu utakaofanyika siku ya Alhamisi ya...
  14. T

    Ardhi kuna rushwa rushwa rushwa narudia tena rushwa sijui kama Jerry Silaa unajua

    Ukienda kushughulikia jambo lako wizara ya ardhi huwezi amini kama Tanzania Ina mpango wowote wa kupambana na rushwa.
  15. Unique Flower

    Marafiki ndio maadui zako wakubwa

    Adui sio mtu ambaye yupo mbali, ni rafiki yako wa ndani wa toka nitoke, yaani mmeshibana sana ndio anakuharibia maisha. Leo unamuona bonge la dili ila baadae unakuta yeye ndio amekuharibia vitu, ukija sikia unakufa kabisa. Wala huponi kwa dawa, sindano wala drip. Kwa hiyo mlio na marafiki...
  16. Kichuguu

    Unajua Chakula Kitamu ambacho Watanzania Wengi Hawatakipenda?

    ...... basi ni hiki hapa
  17. BARD AI

    Unajua android Tv unaweza kuifanya utakavyo?

    Watu wengi wanaogopa kuingia kwenye setting za android Tv wakijua wanaweza kuhalibu mfumo mzima. Kwenye android Tv Kuna mambo mengi unaweza fanya ambayo ulikua huyajui kabisa 😁!! 1) Change Device name 💭 Android tv yako imekuja ikiwa na jina lake pamoja na model number sio lazima likae ilo jina...
  18. CONTROLA

    Kijana Unaetafuta kazi, Uwe unajua Kuendesha Pikipiki/Gari

    Kichwa cha habari hapo Juu,Nahitaji kijana wa kiume anaejitambua mwenye usongo wa Maisha kama SIMBA Sifa za Kijana ninae Mtaka : Elimu yoyote Ujue kutumia Computer (lazima) Ujue kuendesha Gari/PikiPiki (lazima) Uwe Mkazi wa Dar Usiwe na Ulemavu wa aina yeyote Uwe na Wadhamini Wanaoishi Kwao...
  19. Librarian 105

    Hivi unajua kwa nini Mapenzi yaimbwa sana?

    Mimi najua ni kwa sababu wapo wenye kumahabatika nayo na wapo wenye kuumia kwayo na wapo wenye kuishi kwayo baina ya mahaba na maumivu ya mapenzi. Wewe je?!
  20. Superbug

    Je, unajua ndani ya idara za usalama na ujasusi kote duniani kuna idara ya kumdhibiti kiongozi wa nchi?

    Idara zote za usalama wa nchi kuna idara ya ndani ambayo jukumu lake kuu ni kumdhibiti sponsor. Kwa maslahi ya nchi. Idara hii ni ndogo na ya hatari mno na wote waliomo ni unnyonimous hata kwa wao wenyewe! Jukumu lao ni la hatari pia kwasababu kunapotokea ulazima wa kumu eliminate sponsor...
Back
Top Bottom