unga

The United Nations General Assembly (UNGA or GA; French: Assemblée générale, AG) is one of the six principal organs of the United Nations (UN), serving as the main deliberative, policy-making, and representative organ of the UN. Its powers, composition, functions, and procedures are set out in Chapter IV of the United Nations Charter. The UNGA is responsible for the UN budget, appointing the non-permanent members to the Security Council, appointing the Secretary-General of the United Nations, receiving reports from other parts of the UN system, and making recommendations through resolutions. It also establishes numerous subsidiary organs to advance or assist in its broad mandate. The UNGA is the only UN organ wherein all member states have equal representation.
The General Assembly meets under its president or the UN secretary-general in annual sessions at UN headquarters in New York City; the main part of these meetings generally run from September to part of January until all issues are addressed (which is often before the next session starts). It can also reconvene for special and emergency special sessions. The first session was convened on 10 January 1946 in the Methodist Central Hall in London and included representatives of the 51 founding nations.
Voting in the General Assembly on certain important questions—namely recommendations on peace and security; budgetary concerns; and the election, admission, suspension or expulsion of members—is by a two-thirds majority of those present and voting. Other questions are decided by a simple majority. Each member country has one vote. Apart from the approval of budgetary matters, including adoption of a scale of assessment, Assembly resolutions are not binding on the members. The Assembly may make recommendations on any matters within the scope of the UN, except matters of peace and security under Security Council consideration.During the 1980s, the Assembly became a forum for "North-South dialogue" between industrialized nations and developing countries on a range of international issues. These issues came to the fore because of the phenomenal growth and changing makeup of the UN membership. In 1945, the UN had 51 members, which by the 21st century nearly quadrupled to 193, of which more than two-thirds are developing. Because of their numbers, developing countries are often able to determine the agenda of the Assembly (using coordinating groups like the G77), the character of its debates, and the nature of its decisions. For many developing countries, the UN is the source of much of their diplomatic influence and the principal outlet for their foreign relations initiatives.
Although the resolutions passed by the General Assembly do not have the binding forces over the member nations (apart from budgetary measures), pursuant to its Uniting for Peace resolution of November 1950 (resolution 377 (V)), the Assembly may also take action if the Security Council fails to act, owing to the negative vote of a permanent member, in a case where there appears to be a threat to the peace, breach of the peace or act of aggression. The Assembly can consider the matter immediately with a view to making recommendations to Members for collective measures to maintain or restore international peace and security.

View More On Wikipedia.org
  1. Kati ya Nyerere aliyetulisha unga wa njano, mahindi ya mifugo Marekani na Michele wa virutubisho yupi bora?

    Kuna kitu sielewi naomba kuelimishwa, Nyerere alikwenda Marekani kwa rafiki yake Rais wa Marekani akamwambia watu wangu wanakufa njaa, Wamarekani wakatuletea mahindi ya njano (unga wa Yanga) ili ng'ombe sisi tusife. Leo Wamarekani wamegundua utapiamlo ni tatizo kwa watoto wa Tanzania imekuwa na...
  2. Kero ya wauza maziwa Arusha kuweka maji na unga wa ngano

    Kama kichwa kinavyo jieleza. Hili ni janga la muda mrefu na hali hii inazidi kukomaa hali inayopelekea maziwa kutokuaminika kabisa. Wauzaji kuanzia wafugaji wanao kamua maziwa hadi wenye maduka wanaouza rejareja, wengi wao wanaweka maji ili maziwa yawe mengi na kisha kuweka unga wa ngano ili...
  3. Je, ndimu za unga zile za dukani ni kemikali gani?

    Naomba kujuzwa na wajuzi👂 Yaani mfano ningeuliza ugali ni kemikali gani unasema ni kabohaidrati (CxHxOx) Sasa je, hii ndimu huwa ni nini. Ile ya unga ya dukani?
  4. B

    Israel na Marekani wapewa za uso UNGA

    1. Jana ilikuwa siku mbaya sana kwa Israel na mshirika wake mkuu Marekani, kwenye Baraza kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA). 2. Kwamba kwa kauli moja lilipitishwa azimio lenye kuishutumu Israel wazi wazi na si mpigania uhuru HAMAS! 3. Kwa takwimu hizi za kura: 4. Kwamba 10 wasiojitambua ni...
  5. E

    Kitabu cha unga sera na mitaala ya elimu 2023

    Ndugu watanzana sera na mitaala ya elmu ya 2023 ni mibovu inahitaji kubadilishwa kabla ya kuanza kutumika. Mama alisema watanzania semeni ili kujenga taifa lenu sasa ego tumeamua kuongea kupitia kalamu. Mitaala na sera ni mibovu kwa kuwa waandaji (kamati) wa mitaala hawaonekani kuelewa taifa...
  6. DCEA: Tuna orodha ya Wasanii wanaotumia Dawa za Kulevya, kupimwa wote

    Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), Aretas Lyimo amewataka Wasanii wanaovuta bangi na unga kujirekebisha na kuacha mara moja kwakuwa orodha ya wote wanaovuta anayo na kwamba Mamlaka hiyo inakamilisha ujenzi wa Maabara mpya ya Ukaguzi na Sayansi Jinai...
  7. George Job: Al Ahly ni unga

    Simba na Al Ahly zimetolewa kwenye mashindano ya African Football League (AFL) bila kushinda mechi hata moja. Baada ya Simba kushindwa kuifunga Al Ahly hata baada ya kutangulia kuifunga, mchambuzi wa michezo, Bw. George Job alisema Al Ahly imeshuka kiwango (unga) ndio maana alishindwa kuifunga...
  8. MAAJABU YA UNGA WA MWANI

    Dear, Nimekuwa muhanga wa tumbo kujaa gesi kwa muda mrefu, nikatambulishwa bidhaa ya mwani( seaweeds) toka nimeanza kutumia naona mabadiliko makubwa ya; 1.Gesi imekata kabisa 2.Pressure iko regulated vizuri. 3.Joint zimekuwa imara. 4. Yale mambo yetu ndio usisema. Tubadilike ndugu zangu tuanze...
  9. Wapalestina Wavunja Ghala Za Umoja Wa Mataifa Huko Gaza Na Kupora Unga!

    Mytake: Wapestina ni wahuni tu kama Wahuni wengine 🤔 ..... https://m.jpost.com/breaking-news/article-770670
  10. B

    Baraza Kuu la UN UNGA- 78 Makamu wa Rais wa Tanzania kutoa mada

    17 September 2023 UMOJA WA MATAIFA, NEW YORK DR. PHILIP MPANGO MKUTANO WA BARAZA KUU LA UMOJA WA MATAIFA UNGA-78 SEPT.2023 Mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kuanza tarehe 18 September 2023 chini ya rais wa Baraza hilo Balozi Dennis Francis kutoka Trinidad na Tobago. Tanzania...
  11. K

    Rais Samia kaniponza! Ilibaki kidogo niache unga

    Samia kaniponza! Ilibaki kidogo niache unga. Leo baada ya kutoka church niliamua kwenda sokoni kununua mahitaji ya home, nikiwa sokoni katika story za hapa na pale wamama wauza nyanya wakaanza kulalamika ugumu wa maisha na kumtupia lawama Samia. " Yaani kila kitu anapeleka kwao Zanzibar,na...
  12. Ule unga unaotoka kwenye ngozi ya korodani husababishwa na nini na tiba yake ni nini?

    Jamani kama uzi unavyojieleza hapo juu, naomba msaada kidogo kama kuna wataalamu wa afya mpo humu naomba mnipatie elimu kidogo juu ya jambo hili kwani linanitatiza katika ubongo. Ni kwamba ule unga unga ambao unapojikuna katika ngozi inayoambatana na KORODANI yaani mji wa mbegu zinapotengezwa...
  13. Mateja wa UNGA ni zao la SIASA

    Hii biashara kiasi kikubwa inafanywa na wanasiasa wenye pesa na connection. Kuimaliza ni Kuhukumiwa KIFO bila kuchelewa. Ona (video) wanavyoharibu vijana mtaani.
  14. Mwenye Nyumba ameleta mganga wa kienyeji anatulazimisha tulambe unga anahisi kuna mchawi kwenye nyumba yake

    Habarini ndugu wanaJF, Baba mwenye nyumba amemleta mganga kutoka kusini huko anadai kwenye nyumba yake kuna mtu anamchezea (mambo ya kichawi), sasa anatulazimisha tulambe ungaunga mweupe nimesikia wanauita 'usembe' ili kumbaini mchawi kwenye nyumba yake. Binafsi nilikataa kulamba vitu...
  15. Rekodi za SIMBA na kama wenye vyeti vya kuunga unga

    Kwenye rekodi ya timu ya kwanza kuchukua ubingwa ligi ya Tanganyika inasomeka SUNDERLAND lakini Simba wanadai ndiyo wao ila jina limebadilika Fainali ya CAF CUP 1993 SImba wanadai ndiyo CAF CONFEDERATION CUP ila JINA LIMEBADILIKA kwanini nyie ndugu zangu rekodi zenu mpaka kuderive derive?
  16. Natafuta sukari Kali ya unga ya viwandani kwa ajili ya utengenezaji wa juice

    Wadau naomba mwenye kufahamu wanapouza sukari Kali ya unga ya kutengenezea juice anifahamishe kwani Ninashida nayo. Sukari hiyo hutumika kutengenezea soda coca cola, pia naomba msaaada kwa mwenye kufahamu wanapouza Rangi ya ukwaju.
  17. Ruto: Unga wa Mahindi utashuka bei wiki ijayo

    Rais William Ruto ametangaza kuwa bei ya unga wa mahindi itashuka zaidi kuanzia wiki ijayo. Akizungumza katika Kaunti ya Meru leo Jumamosi, Rais Ruto alisema utawala wake umejitolea kusambaza unga wa bei nafuu kwa Wakenya, pamoja na kutokomeza umaskini na njaa. Alisema licha ya kufika ofisini...
  18. Nauza mixer ya kukanda unga ya kilo 12.5

    Nauza mixer ya kukandia unga kilo 12.5, mashine iko Mbezi beach Dar es salaam. Bei 1,500,000 maelewano yapo kwa aliyetayari. Karibu inbox.
  19. Q

    Bei ya unga kilo 25 ni elfu 48 kutoka elfu 35

    Habar wadau. Leo asubuhi nimeamka nikiwa na ratiba zangu za kila siku. Ratiba ya kwanza ni kununua vitu vya shop na kuanza na ratiba zingine. Nikampigia jamaa wa duka la jumla nikitaji sembe. Akaniambia kaka sembe imepanda kwa kuwa nilizoea elfu 41. Nikajua itakuwa elfu 42. Jamaa akasema hana...
  20. Serikali yatoa kibali kuagiza mchele nje ya nchi

    Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Dkt.Ashatu Kijaji akiwa Dar es salaam leo amesema Serikali imetoa vibali vya kuingiza mchele nchini Tani Elfu 90 kwa ruhusa ya Rais Dkt.Samia “Tunatarajia kuanzia mwisho wa mwezi huu wa pili zao la mchele litapungua bei” Lengo la Serikali mchele ushuke...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…