unga

The United Nations General Assembly (UNGA or GA; French: Assemblée générale, AG) is one of the six principal organs of the United Nations (UN), serving as the main deliberative, policy-making, and representative organ of the UN. Its powers, composition, functions, and procedures are set out in Chapter IV of the United Nations Charter. The UNGA is responsible for the UN budget, appointing the non-permanent members to the Security Council, appointing the Secretary-General of the United Nations, receiving reports from other parts of the UN system, and making recommendations through resolutions. It also establishes numerous subsidiary organs to advance or assist in its broad mandate. The UNGA is the only UN organ wherein all member states have equal representation.
The General Assembly meets under its president or the UN secretary-general in annual sessions at UN headquarters in New York City; the main part of these meetings generally run from September to part of January until all issues are addressed (which is often before the next session starts). It can also reconvene for special and emergency special sessions. The first session was convened on 10 January 1946 in the Methodist Central Hall in London and included representatives of the 51 founding nations.
Voting in the General Assembly on certain important questions—namely recommendations on peace and security; budgetary concerns; and the election, admission, suspension or expulsion of members—is by a two-thirds majority of those present and voting. Other questions are decided by a simple majority. Each member country has one vote. Apart from the approval of budgetary matters, including adoption of a scale of assessment, Assembly resolutions are not binding on the members. The Assembly may make recommendations on any matters within the scope of the UN, except matters of peace and security under Security Council consideration.During the 1980s, the Assembly became a forum for "North-South dialogue" between industrialized nations and developing countries on a range of international issues. These issues came to the fore because of the phenomenal growth and changing makeup of the UN membership. In 1945, the UN had 51 members, which by the 21st century nearly quadrupled to 193, of which more than two-thirds are developing. Because of their numbers, developing countries are often able to determine the agenda of the Assembly (using coordinating groups like the G77), the character of its debates, and the nature of its decisions. For many developing countries, the UN is the source of much of their diplomatic influence and the principal outlet for their foreign relations initiatives.
Although the resolutions passed by the General Assembly do not have the binding forces over the member nations (apart from budgetary measures), pursuant to its Uniting for Peace resolution of November 1950 (resolution 377 (V)), the Assembly may also take action if the Security Council fails to act, owing to the negative vote of a permanent member, in a case where there appears to be a threat to the peace, breach of the peace or act of aggression. The Assembly can consider the matter immediately with a view to making recommendations to Members for collective measures to maintain or restore international peace and security.

View More On Wikipedia.org
  1. L

    Msingi wa UNGA ni muhimu kwa uhusiano wa pande nyingi

    Hivi karibuni, Rais wa Baraza Kuu la 77 la Umoja wa Mataifa (UNGA) Csaba Korosi alifanya ziara ya siku nne nchini China, ambapo alikutana na kufanya mazungumzo na viongozi wa ngazi ya juu wa serikali ya China. UNGA ni chombo kikubwa cha majadiliano cha Umoja wa Mataifa, na ni jukwaa muhimu kwa...
  2. Mokaze

    Maswali kwa TMDA kuhusu virutubisho katika unga wa sembe

    Wadau, hususan TFDA (The Tanzania foods and drugs authority), ni kwa muda mrefu nimekuwa na tashwishi ya kutaka kujua kuhusu madawa/virutubisho (fortifications) zinazotiwa na wasagaji katika unga wa sembe nk , maswali yangu kwa wahusika au kwa mtu yeyote anajua kuhusu hayo madawa/virutubisho ni...
  3. BigTall

    Arusha: Wanafunzi Shule ya Msingi Unga Limited wakaa chini kwa kukosa madawati

    Wanafunzi wanaosoma shule ya Msingi Ungalimited Jiji la Arusha wamelazimika kukaa chini kutokana na uhaba wa madawati huku uongozi ukidai ni kutokana na ukarabati wa vyumba vya madarasa unaoendelea katika shule hiyo kongwe. Hata hivyo Ofisa Elimu Msingi Jiji la Arusha,Hosseni Madengale amesema...
  4. G

    Tetesi: Yanayoendelea Simba yana uhusiano na kukamatwa kwa unga

    Hivi karibuni kuna kocha wa makipa alikamatwa na madawa ya kulevya. Haraka haraka simba wakatoa taarifa ya kumkana kuwa hakuwa mwajiriwa wao japo. Mda utaongea zaidi
  5. A

    Unga kiroba kilo 25 ni shilingi 42000

    Nawaza tu kama unga mfuko mmoja wa kilo 25 umefikia shilingi 42000 huku kijijini kwetu, je itakapofika januari itakuaje? Serikali iliangalie hili gharama ya unga iko juu sana, tutakufa njaa.
  6. The Assassin

    Kwa Tanzania kama pesa yako ni ya kuunga unga, usinunue gari zaidi ya Toyota, hii itakuhakikishia a good resale value

    Kwa Tanzania kama uchumi wako sio wa walamba asali, wala keki ya taifa usinunue brand nyingine ya gari zaidi ya Toyota. Kununua Toyota ni kujihakikishia uwepo wa wateja na pia kupata thamani nzuri ya gari yako pale utakapoamua kuiuza. Kuna watu wapumbavu huwa wanauliza eti kwani unanunua gari...
  7. Mwanangikolo

    Adam Mchomvu anakula unga?

    Wadau nimeamua niulize hili swali ili nipate uhakika! Ni usiku huu nipo nimetulia hapa mageto nasikiliza Clouds FM, nadhani itakuwa ni kipindi cha Soso Fresh Friday (sina uhakika), Adamu Mchomvu anahojiwa na Meena Ally na Soudy Brown nadhani ni kuhusu Fiesta sijui, Mchomvu yupo Kigamboni...
  8. Vito Ferari

    Malkia wa Unga

    Sehemu ya 1: Nyasule Suleiman, mwanafunzi wa kidato cha nne katika shule ya Sekondari ya wasichana ya Jangwani, alimuaga mama yake aliekuwa kwenye genge lake la kuuza nyanya asubuhi hii ya jumatatu,kuwa anaelekea shule. " Mama, mimi naenda shule, tutaonana baadae", Nyasule alimuambia mama yake...
  9. Sildenafil Citrate

    Bei za vyakula zapaa maradufu. Mchele wafika Tsh 3000/=, unga wa mahindi Tsh 2000/=

    Wakati bei za vyakula zikizidi kupanda katika maeneo mbalimbali nchini, wakulima wametaja sababu tatu za hali hiyo, wakiitaka Serikali kuingilia kati. Miongoni mwa sababu hizo, eneo ambalo wanataka Serikali iingilie kati ni kufurika kwa wanunuzi wa nafaka kutoka nje ya nchi. Sababu nyingine ni...
  10. BARD AI

    Makamu wa Rais Dr. Philip Mpango awasili Marekani, Kushiriki Mkutano wa UNGA 77

    Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango amewasili Jijini New York nchini Marekani ambapo anatarajia kumwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa Baraza Kuu la 77 la Umoja wa Mataifa (UNGA). Makamu wa Rais...
  11. Analogia Malenga

    Rais Ruto: Serikali haitaendelea kutoa ruzuku ya unga, itawasaidia wakulima

    Rais Ruto wa Kenya amesema hatoendelea kutoa ruzuku ya unga na badala yake atasaidia wakulima wadogo na wakubwa kufanya uzalishaji ambao utapunguza bei ya bidhaa hizo. Bei ya unga nchini Kenya ilipanda sana kutokana na vita vya Ukraine na Urusi ambapo serikali chini ya Rais Uhuru Kenyata...
  12. BARD AI

    Serikali ya Kenya yasitisha malipo ya Ruzuku za unga, madeni yazidi

    Wizara ya Kilimo imethibitisha uamuzi huo huku ikitaja sababu kuwa ni kuzidiwa na malimbikizo ya madeni yaliyopelekea wafanyabiashara wa kati kulipwa mamilioni ya pesa huku wauzaji reja reja wakikosa zabuni. Wasagishaji Unga wamelalamikia uamuzi huo unaoanza leo Septemba 2,2022 wakidai kuwa...
  13. BARD AI

    Kenya yasitisha malipo ya Ruzuku ya Unga

    Wakenya watalazimika kuanza kununua Unga kwa bei ya juu baada ya serikali kusimamisha Mpango wa Kitaifa wa Ruzuku ya Unga wa Mahindi kutokana na uhaba wa fedha Waziri wa Kilimo, Peter Munya kupitia taarifa yake leo amethibitisha hilo kwa maelezo kuwa Hazina ya Taifa haijatoa pesa za Ruzuku...
  14. JanguKamaJangu

    Kenya: Baada ya bei kushushwa, unga wa Ugali waadimika, Serikali yaonya wauzaji wanaouficha

    Siku 10 tangu Serikali ya Kenya kutangaza kushusha bei ya unga wa mahindi kuwa Ksh. 100 kutoka Ksh. 200 kwa kilogram 2, uhaba wa bidhaa hiyo umekuwa mkubwa katika maduka mengi. Wauzaji wengi hawana unga na wale wachache wenye unga huo ambao zaidi unatumika kupikia Ugali wanauza kwa zaidi ya...
  15. mwanamwana

    Bei ya Unga kushuka kutoka Ksh. 230 hadi Ksh. 100 baada ya ruzuku ya Serikali

    Bei ya Unga wa mahindi nchini Kenya itashuka kutoka Ksh. 230-100 kuanzia leo Julai 18 Hii ni baada ya Serikali ya Kenya kutoa ruzuku kwa bei ya uzalishaji wa bidhaa hiyo kwa muda wa wiki 4. Katika muda wa wiki 4, Wizara ya Kilimo italipa sehemu ya gharama ya kuzalisha Unga, ili kuwaepusha...
  16. M

    SI KWELI Maziwa ya unga yanasababisha kupungukiwa nguvu za kiume

    Baadhi ya watu wamekuwa na nadharia kuwa utumiaji wa maziwa ya unga unasababisha upungufu wa nguvu za kiume
  17. Robert Heriel Mtibeli

    Nimeamua kumpeleka Shemeji yangu Mahakamani!

    NIMEAMUA KUMPELEKA SHEMEJI YANGU MAHAKAMANI Anaandika, Robert Heriel. Haki lazima ikatendeke! Mbwembwe zangu zote lakini naishi Kwa Shemeji. Kuna wakati nakaa nawaza Kama nisingekuwa na Dada ingekuwaje, maana ndugu zangu wote wa kiume Hali zetu dhoofu ilhali Kama Yukreini. maisha yametupiga...
  18. Imaniyanguitaniponyatu

    Unga wa mahindi Kenya kilo moja ni 4100 shilingi za Kitanzania

    Bei ya mahindi nchini Tanzania inaogofya sana hadi kufikia 100000-130000 kwa gunia la kilo 100 kwa baadhi ya mikoa ya nchi hii. Kupanda kwa bei ya mahindi imepelekea wananchi wa kawaida kununua unga wa kupikia ugali kati ya 1400-2000 kwa kilo moja, hali ya upatikanaji wa chakula hicho inazidi...
  19. MSAGA SUMU

    Sasa rasmi bei ya unga ni kubwa kuliko sufuria

    Leo nimenunua sufuria moja dogo kwa shilingi 2000 na bei ya unga mtaani kwangu kwa kilo ni sh 2200. Kwa lugha nyepesi ni rahisi kula masufuria na mboga kuliko kula ugali na mboga. Yapi maoni yenu wakuu.
  20. Chachu Ombara

    Tanga: Auawa wakigombania unga na dagaa

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Tanga linamshikilia mkazi wa kijiji cha Bwembwela wilayani Muheza kwa tuhuma za kumuua, Eliasa Omari (55) kwa kumkata mapanga akidai kumuibia unga na dagaa. Akizungumza na waandishi wa habari leo Jumatano Aprili 20, 2022 Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Safia Jongo...
Back
Top Bottom