unga

The United Nations General Assembly (UNGA or GA; French: Assemblée générale, AG) is one of the six principal organs of the United Nations (UN), serving as the main deliberative, policy-making, and representative organ of the UN. Its powers, composition, functions, and procedures are set out in Chapter IV of the United Nations Charter. The UNGA is responsible for the UN budget, appointing the non-permanent members to the Security Council, appointing the Secretary-General of the United Nations, receiving reports from other parts of the UN system, and making recommendations through resolutions. It also establishes numerous subsidiary organs to advance or assist in its broad mandate. The UNGA is the only UN organ wherein all member states have equal representation.
The General Assembly meets under its president or the UN secretary-general in annual sessions at UN headquarters in New York City; the main part of these meetings generally run from September to part of January until all issues are addressed (which is often before the next session starts). It can also reconvene for special and emergency special sessions. The first session was convened on 10 January 1946 in the Methodist Central Hall in London and included representatives of the 51 founding nations.
Voting in the General Assembly on certain important questions—namely recommendations on peace and security; budgetary concerns; and the election, admission, suspension or expulsion of members—is by a two-thirds majority of those present and voting. Other questions are decided by a simple majority. Each member country has one vote. Apart from the approval of budgetary matters, including adoption of a scale of assessment, Assembly resolutions are not binding on the members. The Assembly may make recommendations on any matters within the scope of the UN, except matters of peace and security under Security Council consideration.During the 1980s, the Assembly became a forum for "North-South dialogue" between industrialized nations and developing countries on a range of international issues. These issues came to the fore because of the phenomenal growth and changing makeup of the UN membership. In 1945, the UN had 51 members, which by the 21st century nearly quadrupled to 193, of which more than two-thirds are developing. Because of their numbers, developing countries are often able to determine the agenda of the Assembly (using coordinating groups like the G77), the character of its debates, and the nature of its decisions. For many developing countries, the UN is the source of much of their diplomatic influence and the principal outlet for their foreign relations initiatives.
Although the resolutions passed by the General Assembly do not have the binding forces over the member nations (apart from budgetary measures), pursuant to its Uniting for Peace resolution of November 1950 (resolution 377 (V)), the Assembly may also take action if the Security Council fails to act, owing to the negative vote of a permanent member, in a case where there appears to be a threat to the peace, breach of the peace or act of aggression. The Assembly can consider the matter immediately with a view to making recommendations to Members for collective measures to maintain or restore international peace and security.

View More On Wikipedia.org
  1. Lububi

    Msaada: Namna ya kuondoa harufu mbaya kwenye unga wa Soya uliochanganywa na mahindi

    JF ndio kisima cha maarifa. Katika kujiandalia lishe bora ya ugali nimechanganya kg 10 za mahindi na kg 3 za soya. Nilianza kwa kuchemsha soya na kuzianika siku 2. Tatizo unga umetoka na harufu mbaya sana, naiondoaje jamani? Wakati huu wa dunia ya kula kwa sababu na malengo soya ni kitu...
  2. Bemendazole

    Kama hujajenga na mshahara wako ni wa kuunga unga, usipite karibu na Tumaini ya Dar!

    Asikwambie mtu chuo kinapendezaa. Hawa 1st year walioshushwa hapa ni wa kiwango cha kimataifa. Nimeshazunguka kwenye major varsities kama UDSM, IFM, SUA, UDOM, Iringa University na SAUT kwa hiyo nazijua standards za vyuo vikuu. Yaani kama nyumba yako sijui ndio kwanza iko kwenye lenta au...
  3. ubuntuX

    INAUZWA B30: Mixer ya kukanda cake na unga bora kabisa

    Uwezo wake ni kukanda kilo 12.5 Ina mikono mitatu Ni stainless steel Ina nguvu 1 year warranty Bei:1,650,000Tsh Tupo kkoo mtaa wa masasi Mikoani tunatuma 0788622610
  4. J

    Burundi yapiga marufuku uingizaji wa mahindi na unga kutoka nje

    Serikali ya Burundi imepiga marufuku uingizaji wa mahindi na unga nchini humo kutoka nje ya nchi wakihofia kuwemo kwa sumu kuvu katika punje za mahindi. Marufuku hiyo itadumu kwa miezi sita kuanzia 08/03/2021 My take; Tanzania tujipange vizuri haya ndio masoko yetu. Pia soma > Kenya yatangaza...
  5. dvj nasmiletz

    Wapi nitaprint logo yangu katika mifuko ya sulfate kwa ajili ya unga wa sembe kwa Dodoma

    Nahitaji kuprint mifuko ile ya kuwekea unga.. Logo ninayo tayari Nahitaji kujua gharama ni zipi kwa mfuko kg 5 na kg 25 Na mnaanza kuprint kuanzia pc ngapi Mnatumia tecnolojia ipi Kuprint au muhuri?? Nipen gharama za kila teknolojia
  6. Masterplaner

    Tanzania inatakiwa iuze unga wa mahindi nje ya nchi, ni muda muafaka Sasa kulisimamia hilo tusililie kupeleka mahindi Kenya

    Kuhusu mahindi yetu kuwa Yana sumu au hayana sumu, mamlaka husika zihakiki ubora huo kwenye viwanda maalum vya kusaga mahindi yetu vitakavyo kuwa vimeidhinishwa angalau kila mkoa. Vilevile madawa yenye sumu yadhibitiwe yasiweze kumfikia mkulima ikiwa ni pamoja na kutoa elimu kwa wakulima wetu...
  7. J

    Mamalishe Mtwara walia kupanda bei mafuta ya kula na unga wa ngano waomba Serikali iingilie kati!

    Mama lishe mkoani Mtwara wameiomba serikali kuingilia kati upandaji holela wa bei za mafuta ya kula na unga wa ngano. Wajasiriamali hao wamedai upandaji bei wa bidhaa mbalimbali kiholela unawafanya wapate hasara kubwa katika shughuli zao na endapo serikali haitaingilia kati hali itakuwa mbaya...
  8. Analogia Malenga

    Kampuni ya Maziwa ya unga ya Cowbell Matatani

    BODI ya maziwa nchini imekamata tani tatu za maziwa ya unga ya 'Cowbell' yaliyokuwa yanakaribia kuishiwa muda wa matumizi yakiwa yameongezwa muda wa matumizi zaidi. Akizungumza Jijini Dar es Salaam Kaimu Msajili wa Bodi ya Maziwa Nchini Noel Byamungu amesema walibaini kitendo hicho katika...
  9. C

    Je, Hivi ni kweli kuna baadhi ya sabuni za Unga huwa zinapausha nguo ukizitumia zaidi ya mara moja au mara kwa mara?

    Wakuu habari za Wakati huu Twende kwenye mada Nilikuwa nahitaji kufahamu kama ni kweli kuna baadhi ya Sabuni za Unga unapozitumia mara kwa mara au zaidi ya mara moja huwa zinapausha Nguo? Kama ni kweli, Je ni Kampuni ipi ambayo Sabuni zao huwa zina Ubora ambao pia hauna athari kwa mtumiaji.
  10. Mama Debora

    Njia gani simple ya kuzuia ule unga kwenye terminals za betri ya gari?

    Jana nilipaki gari yangu mahali kama dakika tano hivi nikashuka kununua matunda. Kurudi nawasha gari inatoa mlio krrrrr lakini starter haipigi. Kifupi haikuwaka. Hangaika sana pale. Nikasema si nilikua naiendesha sasa hivi? What happened... Nikashuka nikafungua boneti, nikachek Coolant ipo ya...
  11. Braza POPO

    Fahamu mambo ma 3 Kabla ya kuprint mifuko ya kuweka unga

    Katika kuhakikisha kazi yako inakuwa safi na nadhifu kabisa. #watusmartpackaging tunajuza leo mambo muhimu kabla ya kuchapisha mifuko toka kwetu au sehemu nyingine. 1. Artwork /picha Kabla ya kuchapisha mifuko ya kuwekea unga ile ya viroba au ya salfeti ni muhimu kuwa na mchoro au picha ambayo...
  12. Shin Lim

    Unga wa kwenye bomba la kutolea moshi wa gari una kazi gani?

    Sijui mimi ni mshamba au vipi! Lakini ukweli ni kuwa inaonesha unga huo umekuwa dili, unatolewa sana. Sasa je, hakuna madhara kwenye gari lililotolewa huo unga?
  13. Analogia Malenga

    Uchaguzi 2020 Lissu: Ni kweli nina tiketi ya ndege kwenda Ubelgiji 18 Desemba 2020

    Mgombea urais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA, Tundu Lissu amesema ni kweli ana tiketi ya ndege ya kuondoka nchini kwenda Ubelgiji Desemba 18, 2020. Amesema hayo kumjibu mgombea wa urais kupitia CCM, Dkt. John Magufuli ambaye alisema ana taarifa kuna baadhi ya wagombea wana...
  14. Sam Gidori

    Nini kitarajiwe kutoka Mkutano Mkuu wa Baraza la Umoja wa Mataifa?

    Umoja wa Mataifa unatimiza miaka 75 mwaka huu; Mkutano Mkuu wa Baraza la Umoja wa Mataifa ulitakiwa kuwa mkutano mkubwa hasa kutokana na kusherehekea Jubilee hiyo ya Platinamu. Kama ilivyokuwa kwa miaka 74 iliyopita, viongozi kutoka mataifa mbalimbali duniani husafiri na kukusanyika mjini New...
  15. middo lulyheart

    Hotuba ya Waziri Kabudi Umoja wa Mataifa - UN, kwa niaba ya rais Magufuli - 27 Septemba 2019

    Leo Mh Paramagamba Kabudi amehutubia mkutano wa 74 wa Umoja 2a Taifa jijini NewYork marekani. Tanzania tumedhamiria kubadili maisha ya watu wetu: Kabudi Palamagamba Kabudi, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wa Tanzania akihutubia Mjadala Mkuu wa Baraza Kuu la Umoja wa...
Back
Top Bottom