union

The UNION of European Practitioners in Intellectual Property, or UNION-IP, is a European association of practitioners in the field of intellectual property. It was founded in 1961 under the name was "UNION of European Patent Attorneys".

View More On Wikipedia.org
  1. JF Member

    Kwanini Umoja wa Afrika usisaidie Waafrika kupunguza bei ya Mafuta?

    Wadau nawaza sana juu ya huu mfumko wa bei, hasa bei za Mafuta. Ukizingatia China na India wao wanapambana ili kupunguza gharama za wananchi wao kwa kukataa matakwa ya Nchi za Ulaya juu ya Urusi, je kwanini AU nao wasijipange vivyo hivyo? Wanunue ngano na mafuta kwa mrusi bila kufuata masharti...
  2. Jamii Opportunities

    Office Administrator at Tanzania Medical, Dental and Pharmaceutical Workers Union

    Foreword Tanzania Medical, Dental and Pharmaceutical Workers Union (TMDPWU) is a registered Trade Union since 2013 and is looking for an Office Administrator who will be in-charge of coordinating Union’s administration system and general workflows. JOB DESCRIPTION Job Title: Office...
  3. N

    Hivi kwanini nchi za Afrika haziruhusiwi kujiunga na NATO, sasa vita ya WW3 itakuwaje au kuna African Union army?

    Ukraine waliambiwa msiwe na nuclear mkiingiliwa Kivita tutawasaidia. Matokeo yake tumeyaona. Sasa inavyoonekana kichaa Putin ataanzisha WW3 maana haambiliki Sasa Hivi. Sasa Sisi nchi za Afrikca tutatetewa na NATO au ndio basi.
  4. Bujibuji Simba Nyamaume

    Steve Mguto, mwenyekiti wa timu ya Coastal Union atungiwa wimbo wa kufukuzwa kwenye timu

    Waswahili walisema akufukuzaye hakwambii toka. Steve Mguto hadi unatungiwa nyimbo, ni wakati wako wa kujitafakari na safari ya carrier yako katika club ya Coastal Union hapo katika jiji la Tanga.
  5. John Haramba

    Zahera kuwa kocha mpya wa Coastal Union, wakutana leo kukamilisha dili

    Picha: kocha, Mwinyi Zahera Mapema leo Jumatano Februari 23, 2022 uongozi wa Coastal Union ya Tanga ulikuwa na kikao cha kukamilisha dili hatua za mwisho ili kuwa kocha wao kuchukua nafasi ya Melis Medo ambaye ametimuliwa kutokana na matokeo mabaya. Pande hizo zimekutana katika hoteli moja...
  6. Mohamed Said

    Fikra ya documentary: Historia ya Chama cha Makuli wa Dar es Salaam (Dar es Salaam Dockworkers' Union)

    FIKRA YA DOCUMENTARY: DAR ES SALAAM DOCKWORKERS' UNION (CHAMA CHA MAKULI WA DAR ES SALAAM) 1947 Leo nimetembelewa na mwandishi kijana Charles Michael kutoka Morogoro. Charles ni muhitimu wa Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam ambako amesomea utengenezaji wa filamu na ni mwandishi wa BBC. Alinipigia...
Back
Top Bottom