united

United Airlines, Inc. (commonly referred to as United) is a major U.S. airline headquartered at Willis Tower in Chicago, Illinois. United operates a large domestic and international route network spanning cities large and small across the United States and all six inhabited continents.
Measured by fleet size and the number of routes, it is the third-largest airline in the world.
United has eight hubs, with Chicago–O'Hare being its largest in terms of passengers carried and the number of departures. It is a founding member of the Star Alliance, the world's largest airline alliance with a total of 28 member airlines. Regional service is operated by independent carriers under the brand name United Express. The United brand name was established by the amalgamation of several airlines in the late 1920s, the oldest of these being Varney Air Lines, which was founded in 1926 but was taken over by Continental Airlines management in 2010 in what was described as a "merger of equals" and a newly created holding company for the airlines.

View More On Wikipedia.org
  1. Movic Evara

    Manchester united kafa mbele ya Liverpool, Salaah kashika rekodi hii

    The Egyptian King 👑 🔥 Mohamed Salah amehusika kwenye magoli (17) dhidi ya Manchester United, kuliko mchezaji yoyote katika historia 💥 ➜ 11 - Magoli aliyowafunga. ➜ 06 - Assists alizotoa. Full - Man United 0 - 3 Liverpool ⚽️ Luis Diaz ›› 🅰️ Salah — 35' ⚽ Luis Diaz ›› 🅰️ Salah — 42’ ⚽️...
  2. J

    Manchester United ni ile ile, bado kuna kazi ya kufanya

    Ikiwa ni mchezo wa pili toka ligi ya England ianze Manchester United imepoteza mchezo wake baada ya kukubali kipigo cha mabao 2 kwa 1 kutoka kwa Brighton & Holves Albion huku mabao ya Brighton yakifungwa na Danny Welbeck na Joao Pedro huku Unitedwakifunga bao la kufutia machozi kupitia kwa Amad...
  3. anoldmedia

    Full Time: Man united 1-0 Fulham fc

    EPL | Man united 0-0 Fulham Fc Ila bruno 😄
  4. JanguKamaJangu

    Premier League imerejea, Man United vs Fulham mzigoni

    Msimu wa 2024/25 katika Ligi Kuu ya England “Premier League” unatarajiwa kuanza leo Agosti 16, 2024 ambapo utaendelea hadi Mei 25, 2025, bingwa mtetezi akiwa ni Manchester City. Timu ya Manchester United inafungua pazia kwenye Uwanja wa Old Trafford kwa kuikaribisha Fulham, huku mechi nyingine...
  5. J

    Owen aitabiria Arsenal ubingwa EPL akiitosa Man United top four

    Mshambuliaji wa zamani wa Manchester United, Michael Owen ametabiri Arsenal kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya England (EPL) msimu ujao wa 2024/2025 huku akishindwa kuiweka Man United katika orodha ya timu nne zitakazomaliza katioka nafasi nne za juu kwenye msimamo wa ligi hiyo. Owen ambaye pia...
  6. L

    Enyi Wanyamwezi wa Tabora United Simba ya fungua dimba imewakosa sana mmepigwa kono la nyani jumapili

    Nawaasa washabiki na wanachama wa Simba, suala la usajili limekwisha na sasa tuunge mkono chama letu. Simba itakaa sawa baada ya mechi tano au sita, huyo Mukwala mnayedhani sio striker atawanyamazisha muda c mrefu. Kama wewe umekuja kwenye football kama Baba levo au Mwijaku tafadhali jitoe...
  7. Nehemia Kilave

    FA Community Shield:-Manchester City vs Manchester United

    Wale wafuatiliaji wa Epl leo tar 10/8/2024 ndio ufunguzi wa ligi inayo anza tr 16/8/2024 . Uwanja: Wembley Mechi ishaanza HT :Man city 0-0 Man united 0-1 Garnacho dk 82 1-1 Bernado dk 89 FT Man city 1-1 Man united After penalties - Man city 7-6 Man united Man City bingwa community...
  8. JanguKamaJangu

    Pigo ndani ya Man United: Leny Yoro nje miezi mitatu, Hojlund nje wiki sita

    Kikosi cha Manchester United kimepata pigo baada ya beki mpya wa kati kwenye timu hiyo aliyesajiliwa kwa Pauni Milioni 59, Leny Yoro kupata majeraha yatakayomuweka nje kwa miezi mitatu, pia straika Rasmus Hojlund naye atakuwa nje kwa wiki sita. Wote waliumia katika mchezo wa kirafiki dhidi ya...
  9. M

    Man united kujenga uwanja mpya kwa euro Bilioni 2.4

    Klabu ya manchester united nchini England imepitisha mpango wa kujenga uwanja mpya wa mpira utakaokua na manufaa zaidi kuliko kukarabati ule uliopo [old trafford], uwanja huo utakaobeba mashabiki 100,000 unakadiriwa kugharimu euro bilioni 2.4. Mpango huu umetokana na kuvuja kwa uwanja wa zamani...
  10. Pfizer

    Zurab Pololikashvili: Tanzania is set to host the 2nd United Nations World Tourism Organization (UN Tourism)

    Secretary General of the United Nations World Tourism Organization (UN Tourism), Zurab Pololikashvili said Tanzania is set to host the 2nd United Nations World Tourism Organization (UN Tourism), Regional Forum on Gastronomy for the year 2025. He said that during the opening of the 1st UN...
  11. Edgar Kyando 34

    SoC04 The future of United Republic of Tanzania

    Tanzania is a nation with the merger of Tanganyika and Zanzibar, where the merger took place in 1964, Tanzania has been making various efforts to achieve a middle-class economy, including infrastructure construction, health care provision and many other things but also there are factors that...
  12. Roving Journalist

    RC wa Tabora, Paul Chacha awakabidhi wachezaji wa Tabora United Tsh. Milioni 50 kwa kusalia katika Ligi Kuu

    Baada ya kufanikiwa kusalia kwenye NBC Premier League, hatimaye Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Paul Chacha amewakabidhi wachezaji wa Tabora United, kitita cha Shilingi milioni 50 aliyowaahidi endapo wangefanikiwa kusalia kwenye Ligi Kuu Bara. Tabora United imesalia NBC Premier League baada ya kuifunga...
  13. Doto12

    Manchester United Transfer overhaul

    Hii futafuta cha ajab Rushford nill Haya
  14. Roving Journalist

    Erik ten Hag bado yupoyupo sana Man United

    Klabu ya Manchester United imeamua kuendelea kubaki na Erik ten Hag na tayari mazungumzo ya mkataba mpya yameanza na Kocha huyo ambaye iliaminika atafukuzwa kazi kutokana na kufanya vibaya katika Premier League Msimu wa 2023/24 Inadaiwa kuwa mmoja wa Wamiliki wa Klabu, Sir Jim Ratcliffe ameamua...
  15. Nyanda Banka

    Manchester United ni timu bora duniani kuliko Real Madrid

    Mbali na Real Madrid kuchukua kombe msimu huu kutokana na kuwa na bahati tu ila ukija kwenye ubora wa timu basi Manchester United ni zaidi ya Madrid Kwakuangalia uwezo wa nchezaji mmoja mmoja kati ya United na Madrid utagundua kuwa Manchester United wana qualities player kuliko Real Madrid Pia...
  16. Jamii Opportunities

    Legal Officer at United Nations June, 2024

    Org. Setting and Reporting The post is located in the Chambers Legal Support Section of the International Residual Mechanism for Criminal Tribunals (IRMCT), Arusha Branch. The incumbent will work under the direction of the Judge(s) in assigned cases and will report to the Senior Legal...
  17. B

    Manchester United mabingwa Kombe la FA 2024 baada ya kuifunga Man City 2-1

    Ni baada ya leo kuichapa ManCity 2-1 uwanja wa Wembley huku golikipa Onana akiwa man of the match. --- Manchester United imefanikiwa kubeba Ubingwa wa FA Cup 2024 kwa kuifunga Manchester City katika Fainali kwa magoli 2-1 kwenye Uwanja wa Emirates Jijini London Magoli ya Alejandro Garnacho na...
  18. mwarabu feki

    Yanga SC 3-0 Tabora United | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | 25.05.2024

    Leo ndio ile siku ya mabingwa wa nchi Yanga Afrika kukabidhiwa kombe la ubingwa wa ligi ya Nbc. Ikumbukwe huu ni ubingwa wa 30 kwa Yanga Afrika. Kuwa nami paka mwisho ili kujua kile kinachojili kuanzia shamrashamra za kulitembeza kombe kwenye viunga mbalimbali vya jiji la DareSalaam paka hapo...
  19. JanguKamaJangu

    Man United itamfukuza Ten Hag baada ya Fainali ya FA Cup

    Tetesi kutoka katia vyanzo vya ndani ya Klabu ya Manchester United zimedai kuwa Kocha Erik ten Hag anatarajiwa kufukuzwa kazi mara baada ya mchezo dhidi ya Manchester City katik Fainali ya Kombe la FA, kesho Mei 25, 2024. Taarifa kutoka Gazeti la The Guardian zinaeleza kuwa mmoja wa wamiliki wa...
  20. Annie X6

    Yaani Man united ni vichekesho tu ona huyu

    I nashangaza unapoona watu wanaokusaidia unawatupa Huyu kijana anajitahidi na anacheza kwa kujituma. Unamuachiaje??
Back
Top Bottom