WATU WANAOJIFARIJI SANA WANA HATARI YA KUBAKI WALIPO MAISHA YOTE.
#Wale ambao kila kitu ni mpango wa Mungu hata kama ni uzembeo wao.
#Wale ambao wanajipa matumaini ya kufanikiwa ilihali hawana juhudi zozote
#Wale ambao wanajidanganya uongo wenye matumaini na kukwepa ukweli wenye uhalisia
#...
Wanabodi,
Mabandiko mengine sio mabandiko ya kitoto!, ukijiona huelewi, we jipitie tuu!.
Angalizo la Alama ya Kuuliza "?".
Mimi mwenzenu jameni, nimewahi kuitwa mahali na kufikishwa mbele ya kamati fulani kwa kutuhumiwa nimesema statement fulani!, kumbe masikini mimi, sikutoa statement...
Msaada wajuzi wa sheria. Nina kesi mahakamani ilikua zamu ya kutoa ushahidi upande wa (A) mlalamikaji kaleta shahidi ambae amesema uongo mahakamani na kala kiapo.
Ushahidi wa yeye kusema uongo ninao na anakili kuwa kapewa pesa.
Nichukue hatua gani msaada tafadhari?
1. Chai (uongo) asili yake ni nini ?
2. Kwanini mliwaza chai pale mtu anaposema uongo ?
3. Kwani chai na uongo vina uhusiano gani ?
NB: Nasikia ubongo wa binadamu unaogelea kwenye fluid fulani sijui inaitwaje na haujawa attached kwenye kitu chochote.
Ahsante.
Inasemekana marehemu huwa haandikagi usia wa uongo maana anajua akishakufa habari yake imeisha na uongo hautamsaidia kitu
Je, kuna ukweli wowote kuhusu hili?
Tusubiri uchunguzi wa kitaalamu
Huwa nafuatiilia mafundisho yako redioni kuona nini unafundisha. Jana kuna mafundisho kuhusu amri ipi iliyo kuu umeteleza. Jibu la Yesu ni: KATIKA AMRI HIZI HUTEGEMEA TORATI YOTE NA MANABII. Wewe umetoa tafsiri potofu (really very bad hermeneutics, sijui kama ni makusudi tu ili kujiuza au ni...
Mimi simjui huyu mtu ila mpaka media zinamwita kufanya naye mazungumzo bila shaka ni mtu maarufu katika jamii.
Anatoa uongo kwa manufaa ya nani?
Ni kweli sasa bodaboda wamekuwa wengi sana.
Kila kwenye stand ya daladala kuna stop ya bodaboda, kila kwenye soko, makutano n.k kuna stop ya...
ANAKUPENDA WEWE AU ANAPENDA UONGO WAKO? SWALI MUHIMU KUJIULIZA 😊
Yawezekana yupo kwako kwa kuvutiwa na majigambo yako uliyojivika na kuonekana mtu mwingine ila siku ukirudi uhalisia unakuwa sio yule anayemuhitaji 😔
Katika kutafuta kukubalika kuna watu hudanganya ili tu wawe kwenye hadhi ya...
Naamini huu uongo ulitia fora:
"Hata sabato ilipokwisha,ikipambazuka siku ya kwanza ya juma, Mariamu Magdalene, na Mariamu yule wa pili, walikwenda kulitazama kaburi. Na Tanzania, palikuwa na tetemeko kubwa la nchi; kwa sababu malaika wa Bwana alishuka kutoka mbinguni, akaja akalivingirisha...
Habarini wakubwa natumai mu wazima.
Kwenye maisha yangu huwa najitahidi sana nisionekane muongo ila hapa ilinibidi nidanganye ili nipate ninachokihitaji.
Nikiwa na miaka 18 nilimpenda binti mmoja nilianza kumfuatilia taratibu nikagundua anapoishi ilikuwa ngumu Sana kutoka nje na...
Yaani Shabaan Juma akiwa Yanga walimwita "Waziri wa maji" alipohama tu wakaacha kumwita.
Leo hii lile jina la "Triple C Mwamba wa Lusaka" washaacha kumwita tena Cloutus Chama.
Imekuwa kama ni kawaida watangazaji wa Azam kuwapachika majina ya utani "Nick names" wachezaji hasa wa Simba au Yanga...
China imekamilisha jaribio la usafiri wa treni aina ya maglev yenye kasi ya juu (UHS), kuashiria hatua nyingine muhimu kwa aina hiyo ya usafiri inayoweza kusafiri kwa kasi ya hadi maili 621 kwa saa sawa na kilometer 1,000 kwa saa.
Jaribio hilo lilifanyika katika mkoa wa Shanxi unaopatikana...
Dini zimekuwa sehemu muhimu ya maisha ya binadamu kwa maelfu ya miaka, zikitoa mwongozo wa kimaadili na kiroho. Hata hivyo, kuna hoja mbalimbali zinazotumiwa kuonyesha kwamba dini ni utapeli. Moja ya hoja hizi ni kwanini vitabu vya dini havijataja sayari nyingine zaidi ya Dunia.
Vitabu vya...
Kuna hii mechi ya preseason ya Simba Sc huko Misri.
Huko Youtube kuna Channels za hapa Bongo zinatangaza mechi live. Wale jamaa wanatangaza mechi as if kweli wao wanaitazama. Kitu ambacho sio kweli.
Ukiwasikiliza wachezaji wanaowataja ni wa Simba Sc tu dakika zote, kama vile Simba inacheza...
Hivi nyie wazee huwa mnatuchukuliaje vijana utakuta mzee anasifia wachezaji wa zamani unaweza kusema hao wachezaji waliipa Tanzania ubingwa wa dunia yaani katika vitu vinanikera mizee kusifia magarasa ya zamani eti zamani kulikuwa na mpira sio Sasa.
Hiyo zamani yenyewe waulize hata kombe la...
Uongo wangu kwa siku ya Leo
1. Mimi ndio nimemtuma Mzee wa Magoma wa Yanga aende mahakamani ili tumuondoe Eng Hersi, alafu baadaye nichukue timu.
2. Vijana wa Gen Z Kenya nawalipa ili kisieleweke
3.Nitagombea Urais wa Tanzania 2025
4. Kuanzia leo siogi hadi Kmc awe bingwa NBC.
Sema na wewe
Bwana ni mwema!
Mimi sio msomaji wa Quran tukufu hivo nitajikita sna kwenye biblia ambayo najua ABC za code zake.
Mwanzo 12:12-19 (KJV) basi itakuwa, Wamisri watakapokuona watasema, Huyu ni mkewe; kisha wataniua mimi na wewe watakuacha hai.
Tafadhali useme, wewe u ndugu yangu, iwe heri...
Mengi yameshasrmwa juu yake, kuwa ni uchawi wa Serikali wenye lengo la kuwafanya Watanzania watawalike!
Dini za Ukristo na Uislamu zinapinga uchawi. Hutarajii viongozi wake kujishikamanisha na shughuli za mbio za mwenge.
Kuna clip moja mtandaoni inayoonesha ufunguzibwa mbio za mwenge mkoani...
Ndugu zangu Watanzania,
Rais Samia ni mtu anayeishi mbele ya wakati na muda na kiongozi Mwenye akili na upeo wa hali ya juu sana,ni mtu Mwenye jicho la tatu nje na haya mawili ya kibinadamu.ni kiongozi aliyejaliwa macho ya Rohoni yenye uwezo wa kuona asipoweza kuona Mwenye macho ya kawaida.
Ni...
Hali hii naona ifike mahali itazamwe kwa jicho la tatu. Ukiwatazama hawa wanaojiita Mitume hasa kwa hapa DSM, kwa kweli kuna utata mno kwao, na kwenye baadhi ya shuhuda za wafuasi wao.
Kwa akili ya kawaida tu ni wazi kuna watu wafuasi wanatoa shuhuda za uongo na sijajua ni kwa maslahi ya nani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.