uraia

Uraias or Uraïas (Greek: Οὐραΐας) was an Ostrogothic general during the Gothic–Roman War of 535–40.
Uraias was a nephew of King Witiges. Although probably of humble origins, he rose through the military ranks to become a dux (duke). The Roman historian Procopius calls him an archon (ruler), which in his vocabulary means "military commander".In 538, the Romans landed forces at Genoa and retook Milan at the request of its population. Uraias was tasked with recovering it. He besieged the city over the winter of 538–39. When the city capitulated, he allowed his Burgundian allies to seize the women for slaves and his own men to slaughter the male inhabitants because they had requested Roman assistance.A strong Roman force remained at Dertona after the loss of Milan, preventing Uraias from relieving the besieged garrison of Fiesole in the summer of 539. After the fall of Fiesole, Witiges ordered Uraias to relieve the garrison at Osimo, but he was again unable to leave because of a Frankish invasion. By the end of 539, he had expelled the Romans from Liguria and recovered it for the Ostrogothic Kingdom, which was on the verge of collapse.He was the most powerful and successful commander on the Ostrogothic side in early 540, but he was unable to relieve Ravenna, the capital, which his uncle was defending, because his army had suffered severe desertions in the Cottian Alps, including that of one of his subordinate commanders, Sisigis. When Witiges surrendered Ravenna to the Romans in May 540, Uraias was in command in Pavia. He was offered the kingship, but declined it. According to Procopius, he claimed on the basis of Witiges' ignominious end that his family lacked "fortune" (tyche). He instead suggested Ildibad as king. Ildibad was a nephew of Theudis, king of the Visigoths, and Uraias expected that the latter would come to the aid of his nephew. In fact, Theudis remained neutral throughout the war.Shortly after acceding to the throne, Ildibad's wife convinced her husband that Uraias was plotting with the Romans to overthrow him. According to Procopius, the wife of Uraias wore more expensive clothes than the queen and refused to acknowledge her presence in the public baths one day. This was reported to the king as suspicious behaviour and Ildibad ordered Uraias' murder.Uraias' unusual name has led to some speculation. He may be named after Uriah, the prophet of Jeremiah 26, whose name is spelled Urias in some versions (Oureias in the Septuagint). On the other hand, the continuator of the chronicle of Marcellinus gives his name as Oraio or Orai, which has been taken for Germanic.

View More On Wikipedia.org
  1. I

    Serikali ikubali uraia pacha na kutoa likizo ya kodi kwa wawekezaji wazawa ili kuchochea ajira

    Nchi yetu imebarikiwa maji, ardhi yenye rutuba, watu wenye afya, Rasilimali lukuki lakini 60% ya raia wanaishi katika umasikini wa kutupwa. Kitu kinachowashinda wengi ni mitaji ya kuanzisha biashara. Hili si tatizo kubwa kama tukiwashirikisha diaspora. Diaspora anaweza kupata mtaji wa...
  2. Idimi

    Uraia pacha/dual nationality, tunakwama wapi kama taifa?

    Kwa miaka kadhaa sasa, kumekuwa na mijadala kadhaa Tanzania kuhusu uwezekano wa Watanzania kuwa na uraia pacha. Serikali imekuwa na woga wa kutoa uraia pacha kwa hoja kwamba itaongeza hofu ya usalama (security issues), kwamba mtu anafaya kosa Tanzania kwa uraia wa Tanzania then anakimbilia nje...
  3. Tony254

    Jamii ya Shona imepata uraia wa Kenya baada ya miaka 60 ya kuishi bila Uraia hapa Kenya

    Jamii hii ya Shona ilikuja Kenya mwaka wa 1959 kama missionaries yaani watu wanaoeneza injili. Sasa wameishi Kenya bila uraia kwa miaka 62 na hivi leo wamepata uraia kamili na hata kupata vitambulisho. Hii inafuatia Jamii la Wamakonde kutokea Msumbiji waliopata uraia huo miaka michache...
  4. Kichuguu

    Kodi ya Miamala na Umuhimu wa Uraia Pacha

    Kama serikali imeona umuhimu wa kuwalipisha kodi watanzania wanaoishi nje lakini hutuma pesa nyumbani kwa kwa ndogu zao, basi wakati umefika kwa serikali hiyo kutambua kuwa watanzania hao si adui hata kama wamshachukua uraia wa huko wanakosihi. serikali hii itumie busara hiyo kuwatambuakuwa ni...
  5. Analogia Malenga

    Uhamiaji Kigoma walalamikiwa kuwabambikizia kesi za uraia wananchi

    Baadhi ya madiwani wa Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma ujiji mkoani Kigoma wamelalamikia vitendo vya baadhi ya maafisa wa idara ya uhamiaji mkoani Kigoma kufanya vitendo vya uonevu kwa kuwakamata na kuwabambikia makosa ya uraia wananchi ambao ni raia halali wa Tanzania huku wakiwaacha watu...
  6. Analogia Malenga

    Kitambulisho cha NIDA si kigezo cha uraia - Waziri

    Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. George Simbachawene, amesema kuwa mwananchi kuwa na kutambulisho cha NIDA haina maana kwamba hicho ndicho kinachoonesha uhalali wa uraia wake kwani vitambulisho hivyo hata wananchi wasiowazawa wa Tanzania wanavyo. Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe...
  7. Miss Zomboko

    Tendega asema Tanzania kutoruhusu uraia pacha kunaikosesha fursa nyingi za kiuchumi

    Mbunge wa Viti Maalum Grace Tendega amesema uamuzi wa Tanzania kutoruhusu uraia pacha kunaikosesha fursa nyingi za kiuchumi. Tendega ametoa kauli hiyo leo Jumanne, Juni 1, 2021 bungeni wakati akichangia katika hotuba ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki kwa mwaka...
  8. K

    Simbachawene: Kupata kitambulisho cha NIDA siyo mwarobaini wa kutokuulizwa uraia wako

    WAZIRI wa Mambo ya Ndani, George Simbachawene ameeleza kuwa kuwa na kitambulisho cha Utaifa (NIDA), hakuhalalishi mtu kuwa ni Raia wa Tanzania. Pia soma > Mbunge :Wasiojua vema mashairi ya wimbo wa Taifa na Kiswahili wanaambiwa siyo raia wa Tanzania Simbachawene ameeleza hayo leo Mei 4...
  9. Mathias Byabato

    Frolent Kyombo: Wasiojua vema mashairi ya wimbo wa Taifa na Kiswahili mkoani Kagera wanaambiwa siyo raia wa Tanzania

    Katika mchango wake kwa Wizara ya Mambo ya Ndani ya nchi, Mbunge wa jimbo la Nkenge (CCM) Frolent Kyombo amelalamikia mateso na adha wanayoipata wakazi wa wilaya za Kyerwa, Karagwe, Missenyi na Ngara katika mkoa wa Kagera kufuatia kuwa mpakani na nchi jirani na kuwa baadhi ya watumishi wa idara...
Back
Top Bottom