uraia

Uraias or Uraïas (Greek: Οὐραΐας) was an Ostrogothic general during the Gothic–Roman War of 535–40.
Uraias was a nephew of King Witiges. Although probably of humble origins, he rose through the military ranks to become a dux (duke). The Roman historian Procopius calls him an archon (ruler), which in his vocabulary means "military commander".In 538, the Romans landed forces at Genoa and retook Milan at the request of its population. Uraias was tasked with recovering it. He besieged the city over the winter of 538–39. When the city capitulated, he allowed his Burgundian allies to seize the women for slaves and his own men to slaughter the male inhabitants because they had requested Roman assistance.A strong Roman force remained at Dertona after the loss of Milan, preventing Uraias from relieving the besieged garrison of Fiesole in the summer of 539. After the fall of Fiesole, Witiges ordered Uraias to relieve the garrison at Osimo, but he was again unable to leave because of a Frankish invasion. By the end of 539, he had expelled the Romans from Liguria and recovered it for the Ostrogothic Kingdom, which was on the verge of collapse.He was the most powerful and successful commander on the Ostrogothic side in early 540, but he was unable to relieve Ravenna, the capital, which his uncle was defending, because his army had suffered severe desertions in the Cottian Alps, including that of one of his subordinate commanders, Sisigis. When Witiges surrendered Ravenna to the Romans in May 540, Uraias was in command in Pavia. He was offered the kingship, but declined it. According to Procopius, he claimed on the basis of Witiges' ignominious end that his family lacked "fortune" (tyche). He instead suggested Ildibad as king. Ildibad was a nephew of Theudis, king of the Visigoths, and Uraias expected that the latter would come to the aid of his nephew. In fact, Theudis remained neutral throughout the war.Shortly after acceding to the throne, Ildibad's wife convinced her husband that Uraias was plotting with the Romans to overthrow him. According to Procopius, the wife of Uraias wore more expensive clothes than the queen and refused to acknowledge her presence in the public baths one day. This was reported to the king as suspicious behaviour and Ildibad ordered Uraias' murder.Uraias' unusual name has led to some speculation. He may be named after Uriah, the prophet of Jeremiah 26, whose name is spelled Urias in some versions (Oureias in the Septuagint). On the other hand, the continuator of the chronicle of Marcellinus gives his name as Oraio or Orai, which has been taken for Germanic.

View More On Wikipedia.org
  1. Artifact Collector

    Mapendekezo: Serikali iruhusu uraia pacha kwa kuzingatia masharti yafuatayo

    Serekali iruhusu uraia wa nchi mbili kwa sababu unafaida nyingi sana, ila usingatie vegezo vifuatavyo ambavyo vigeuzwe kuwa sheria Ukiwa raia wa nchi mbili hutakiwi kugombea urais Ukiwa raia wa nchi mbili hutakiwi kugombea ubunge, udiwani, na uenyekiti wa mtaa Ukiwa raia wa nchi mbili hutakiwi...
  2. Ileje

    Bongo Zozo ana hoja kuhusu uraia pacha kwa Watanzania

    Kulingana na hoja za Bongo Zozo raia wa Tanzania waliopo ughaibuni wananyimwa fursa ya kuendeleza nchi yao. Aidha Tanzania inakosa fursa ya kupata huduma kutoka kwao Tuna Jambo la kujadili ili tupate muafaka!
  3. ubongokid

    Ni nini faida za kuwa na Uraia Pacha?

    Habari za wakati huu, Kumekuwa na kelele nyingi sana kuhusu Uraia Pacha kwa Watanzania na watu wengine ambao wanahitaji kuwa na Uraia Pacha. Hili ni swala ambalo linahitaji mjadala wa kina, lakini je, ni zipi faida za Uraia Pacha? Mimi leo nataka nizungumzie zaidi faida za Kiuchumi...
  4. R

    Endapo Salum Kikeke atateuliwa na Rais, Diaspora tutaanza kuona njia ya Uraia Pacha ikifunguka

    Alianza Charles Hilary , akafuata Zuhura Yunusu na Sasa Salim Kikeke. Sina hoja Kwa Charles na Zuhura Kwa Sababu walikuwa raia WA Tanzania na awakuwahi kupata uraia huku ughaibuni. Kwa Salim Kikeke inazaliwa hoja ya uraia, hoja hii inakwenda kuathiri utaratibu mzima WA uteuzi kwenye secta ya...
  5. Rwetembula Hassan Jumah

    Sababu gani zinafanya Taifa letu lisiwe na Uraia Pacha?

    Kwa wenye uelewa kuhusu uraia pacha naomba ufafanuzi kidogo. Maana Tanzania uraia pacha hatuna hii imekaaje, au ndo maana tunafeli kisoka? Maana baadhi ya nchi yenye uraia pacha kwenye soka zinatamba mfano Morroco.
  6. kavulata

    Tanzania toeni uraia kwa wakimbizi wenye vipaji na ujuzi

    Kuijenga Tanzania mpya kunahitaji watu mahiri na makini bila kujali asili zao. Yanga na Simba zinafanya vizuri Sasa baada ya kusajili wachezaji wenye ujuzi mkubwa bila kujali uraia wao. Tanzania ina wakimbizi wengi sana tangu zamani, baadhi ya hawa wakimbizi ni walimu, wahasibu, engineer...
  7. escrow

    Somo la Stadi za Kazi ni muhimu kuliko Uraia

    Katika historia ya elimu yetu Tanzania kuliwahi kuwa na somo la stadi za kazi kwa shule za msingi ambalo lilikuwa msingi mzuri kwa wanafunzi waliokuwa na ndoto za ufundi. Somo hilo lilifutwa miaka kati ya 1997,1998,1999 na hakuna mbadala wake katika kuendeleza vipaji vya ufundi kwa wanafunzi wa...
  8. Logikos

    Uraia Pacha na Uraia wa Pili (Dual and Second Citizenship)

    Tofauti kati ya Dual na Second Citizen Mtu anaweza kuwa na uraia wa nchi tofauti mbili (dual au Second Citizen) au hata zaidi ya hapo kama nchi ambazo ana uraia zinaruhusu mtu kuwa na uraia zaidi ya nchi moja. Uraia Pacha: Muhusika anatambuliwa na nchi zote mbili, analipa Kodi na hata kufanya...
  9. The Sheriff

    Uraia Hai ni chachu ya mabadiliko chanya katika jamii

    Uraia Hai (active citizenship) unamaanisha watu kujihusisha katika jamii zao na demokrasia katika ngazi zote na kuelewa kuwa sisi sote ni tofauti, lakini jukumu la kubadilisha jamii zetu ni sawa. Uraia hai unaweza kuanzia katika ngazi ndogo kama vile kampeni ya kusafisha mtaa wako au kubwa kama...
  10. R

    DOKEZO Ni kweli hawa wote ni raia wa Tanzania au wamejipatia pasipoti za Tanzania kimakosa?

    Tanzania hakuna uraia wa nchi mbili lakini naona kama wageni wanaomiliki Pasipoti za Tanzania na za mataifa mengine wamekuwa wengi Sana. Sikukuu za mwisho wa mwaka nilikuwa South kwa mwaliko wa familia Kula bata kidogo, katika moja ya hafla mwenyeji wangu alinikutanisha na rafiki zake ambao...
  11. Bujibuji Simba Nyamaume

    Kabla hamjafuta somo la Uraia (Civics) naomba nijibiwe maswali haya

    Kabla hamjafuta Civics nataka nijulishwe, 1. Chama Cha Mapinduzi kilimpindua nani? 2. Tanganyika tunafaidikaje na muungano? 3. Mwenge wa uhuru uko kwa ajili ya maslahi na faida ya nani? Na una faida gani kwa taifa? Kwanini usizimwe na kuhifadhiwa kwenye makumbusho ya Taifa?
  12. NetMaster

    Kuna namna yoyote naweza kuifanya ili mtoto wangu awe raia wa Zanzibar ili nimpunguzie mzigo wa uraia wa bara?

    Kila mzazi ana jukumu la kumpunguzia hali ya kusota mtoto wake kwa kumuandalia mazingira wezeshi, nami nataka niende extra mile ya kujaribu apate uraia wa Zanzibar. Kwa ninachokiona ni wazi kabisa uraia wa Zanzibar ukiulinganisha na huu wetu kama maji na mafuta, kuna privelledges katika uraia...
  13. A

    Uraia pacha

    Kumekuwa na malalamiko kadhaa nchini kuh uraia pacha. Kuna wanaotaka Tanzania iruhusu uraia pacha na wengine wanataka tuendelee na uraia huu single. Aidha wapo wanaotaka wale waliokana uraia wa Tanzania na kupata uraia wa nchi zingine basi wapewe hadhi maalum ili wapate zile haki ambazo...
  14. P

    Kuna uwezekano Mayele akapewa uraia Argentina

    Hayo yamependekezwa na mshauri wa ufundi wa Argentina fc kupitia wizara ya michezo na burudani baada ya kuona kiwango cha messi na wachezaji waandamizi wakishindwa kuifunga hata saudi arabia huku upande mwingine mayele akizidi kutupia kila mechi zaidi ya goli moja au mbili. Ingawa...
  15. mngony

    Dkt. Bashiru anatoa wapi ujasiri wa kutishia 'usalama' wa viongozi wa juu? Huu ni uhaini sio ukosoaji. Je, ana mahusiano na mataifa ya nje?

    Kukosoa kutokana na changamoto na matatizo na kuishauri serikali na viongozi sio jambo geni. Ila inastaajabisha kuona mtu kama Bashiru anatishia Usalama wa kiongozi wa nchi. Anaongea kwa kujiamini mbele ya kadamnasi na vyombo vya habari kuwa Usalama wa viongozi hauko na uhakika na watishwe. Ni...
  16. Randy orton

    Putin ampa Edward Snowden Uraia wa urusi

    Edward Snowden aliyetoa taarifa za namna serikali ya marekani inawaspy raia wake pamoja na viongozi wa nchi nyingine amepewa uraia wa urusi. Hili ni pigo lingine kwa USA ukizingatia bado Urusi imeendelea kumshikilia Star wa basketball Britney Griner .
  17. JanguKamaJangu

    Ecuador hatarini kuondolewa kwenye World Cup 2022 kwa tuhuma za kudanganya Uraia wa mchezaji

    Ecuador ipo hatarini kuondolewa katika Kombe la Dunia 2022 kutokana na utata wa nyaraka za mchezaji wao, Byron Castillo, ikiwemo hati ya kusafiria ambapo inadaiwa beki huyo ni raia wa Colombia. Uchunguzi wa awali umebaini kuna cheti cha kuzaliwa kinachoonesha Castillo alizaliwa Colombia, lakini...
  18. vannie12

    SoC02 Elimu ya uraia wa kidijitali mashuleni

    Tunaishi katika ulimwengu unaounganishwa na teknolojia, ambapo teknolojia imewezesha shughuli nyingi za kielimu, kiafya, kibiashara n.k. Teknolojia ina athari kubwa kwa jinsi wanafunzi wanavyojifunza na jinsi wanavyojihusisha na elimu yao. Kwa kusudi hili, uraia wa kidijitali ni muhimu uhusishwe...
  19. JanguKamaJangu

    Putin asaini amri inayowapa urahisi wananchi wote wa Ukraine kuomba uraia wa Urusi

    Rais wa Urusi, Vladimir Putin ametia saini amri ya kupanua mchakato wa kupata uraia wa Urusi kwa raia wote wa Ukraine. Amri hiyo inaamuru kuwa ‘raia wote wa Ukraine’ wapewe haki ya kuomba kuandikishwa kuwa uraia wa Shirikisho la Urusi kwa njia rahisi zaidi. Awali utaratibu kama huo ulikuwa...
  20. crankshaft

    Huku amepiga magoti, Morison amuomba Rais samia uraia wa Tanzania.

    Katika mahujiano yake na global tv online mchezaji benard morison amemuomba rais samia ampe uraia wa tanzania kwani anajisikia amani na kuthaminiwa sana nchini. pia amesema yupo tayari kuchezea timu ya taifa ya tanzania taifa stars. Source:global tv online
Back
Top Bottom