uraibu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. U

    Watanzania wengi tuna uraibu wa kukopa

    Suala la kuchukua mikopo ni muhimu na ni Chachu ya Maendeleo ya mtu na biashara yake kiujumla. Ila Kuna watu hawastaili kuingia kwenye hii mikopo ambayo inasababisha vilio vya Kila siku hasa Kwa kina mama, huku wengi wao wakibaki kutumika kimapenzi bila shurti hasa Kwa mikopo midogo. Nimekuja...
  2. IamBrianLeeSnr

    Siyo bangi tu, hata video za utupu ni shida kubwa

    Wazee wamecharuka. Wamekasirika. Kifupi wamenuna. Wamefura. Hawataki tena kusikia masela wakiimba na kusifia ganja. Yes! Ni ganja pekee ndio dawa za kulevya zenye promo kubwa kwenye ngoma za Bongofleva. Kuanzia enzi za mikasi mpaka kikohozi cha Konde. Mtu mwenye akili yeyote ataunga mkono hilo...
  3. M

    Uraibu wa kamari za Kichina, mabonanza na pombe kali unazidi kumaliza watumishi wa umma. CCM ipo kimya

    Walimu, madaktari na watumishi wa kila kada wanajimaliza kwa pombe kali na kucheza kamali za kichina maarufu kama bonanza. Mishahara ikitoka ni kucheza makamali tu na kunywa pombe kali. Wanasahau familia zao na kutoa matumizi. CCM ipo kimya. Watumishi wanahitaji msaada wa kisaikolojia.
  4. NetMaster

    Uvivu nao ni aina ya ulevi kama uraibu wa pombe, uzinzi na bangi?

    Uvivu upo kundi la ulevi kama ilivyo kwa waraibu wa pombe, umalaya, bangi, sigara, n.k ? Ni ulevi upi wa ziada wavivu huupenda?
  5. T

    Mbinu gani umetumia kuachana na uraibu wa kamari aka Kubeti?

    Katika miaka ya hivi karibuni hapa nchini Tanzania.Michezo ya kubashiri aka kamari/kubeti imekuwa ikishika hatamu kwa vijana, kitendo kinachopelekea kuzaliwa kwa waraibu/ walevi wa kamari (gambling addicts). Nina imani humu kuna watu waliokwisha pitia uraibu huu na kufanikiwa kuuacha. Naomba...
  6. emmarki

    Nawahurumia sana viumbe hai ninapowakuta kwenye matatizo

    Habari wanajamvi, Nina hali ambayo sijui niiterm kama tatizo au ya kufurahisha. Ninajikuta navionea huruma sana viumbe hivi visivyokuwa na hatia wanyama, ndege na wadudu wa aina zote (kufugwa na wasiofugwa), ninapokutana navyo vikiwa kwenye hali yoyote itakayohatarisha uhai wao. Nikupe...
  7. BARD AI

    Kanye West: 'Nina uraibu wa ponografia na iliharibu familia yangu'

    Rapa Kanye West amefichua jinsi uraibu wake wa ponografia ulivyoharibu familia yake. Bilionea huyo amethibitsha hilo kupitia ukurasa wake wa Instagram Chapisho hilo linasemekana kumrejelea mama mkwe wake wa zamani, Kris Jenner - ambaye anamsimamia Kylie na mke wake wa zamani, Kim Kardashian...
  8. BabaMorgan

    Uraibu na nguvu ya kujua anapokuwa ugenini

    Nakumbuka kwenye mtaa wetu palikuwa na chimbo la dawa lakini jambo la kushangaza ni kuwa licha ya kukaa hapo kwa takribani miaka 5 sikuwahi kunotice chochote mpaka pale jamaa yangu ambaye ni complete stranger alipokuja kunisanua, kuwa dawa zinapatikana location fulani nilibaki nashangaa...
  9. C

    SoC02 Athari za uraibu kiafya na kiuchumi kwa ujumla

    Uraibu hutazamwa kama ugonjwa au utumwa wa ndani unaotokana na hali ya kuzoea kufanya kufanya kitu chenye madhara bila kujizuia . mara nyingi watu huzingatia Zaidi uraibu wa dawa za kulevya na kuchukulia ulevi kama tabia lakini kisichojulikana ni kua kuna uraibu wa mambo mengi kama vile uraibu...
  10. T

    Jinsi kamari (betting) ilivyonipotezea shilingi laki 6 ndani ya siku 60 tu

    Ahlan wa sahlan. Leo naomba niongelee experience yangu fupi katika betting (Kamari). Binafsi, mimi ni mmoja wa watu waliokuwa wanaipinga sana michezo ya Kamari, maarufu kama betting. Ila kutokana na upweke (boredom) pamoja na udadisi (curiosity) wa kutaka kujua nini kipo nyuma ya michezo hii...
  11. T

    Jinsi gani tatizo la Uraibu wa Kamari limeharibu maisha yako upande wa kijamii, kiimani na kiuchumi?

    Tatizo la uraibu (addiction) wa kamari linaendelea kukua siku baada ya siku kwa vijana wengi wa Kiafrika hususani Tanzania. Makampuni ya kamari yanakimbilia sana katika mataifa ya kiafrika ambako umaskini umetamalaki kuja kuwekeza huku wakilenda soko lao kubwa kuwa ni vijana.Vijana ambao wana...
  12. DaveSave

    MSAADA KWA NDUGU/JAMAA WENYE MATATIZO YA ULEVI (URAIBU).

    Stay Clean Foundation Tanzania (STCF) ni asasi ya kiraia iliyoanzishwa mwaka 2015 yenye makao yake makuu Arusha, ambayo inajihusisha na kuwasaidia vijana walioathirika na matumizi ya dawa za kulevya (Substance Abuse) kwa kutoa Elimu katika Shule, Vyuo na Taasisi za Umma na binafsi ya namna ya...
  13. Yoda

    Kuna yapi ya kuzungumza zaidi ya mpira? Mpira wa miguu ni uraibu mpya unaoongezeka kwa kasi

    Nchi yetu sasa imeingia rasmi katika ulimwengu wa uvuvuzela wa mpira. Kama vile ulivyo uraibu wa pombe, ngono, sigara n.k Idadi kubwa ya raia wa nchi kwa sasa wanalala wanazungumza mpira, wanaamka wanazungumza mpira na wanashinda wanazungumza mpira. Bahati mbaya sana mpira wenyewe ambao...
  14. K

    Punyeto ni nini na nini madhara yake?

    Punyeto ni nini? Kufanya au kupiga punyeto, ni tendo la kutomasa sehemu zako mwenyewe za siri ili kujisisimua kimapenzi. Kwa hivyo katika kupiga punyeto hamna hofu ya kuambukizwa magonjwa yanayosambazwa kupitia ngono, kwani haimshirikishi mtu mwengine. Punyeto ni toshelezo kamili la kimapenzi...
  15. Undava King

    Uraibu wa ngono ni kithibitisho cha kuwa na IQ kubwa?

    Kuna jambo linatatiza bongo yangu kiasi cha kuisi kuna haja ya kuuliza kama wataalamu wanaweza kutupatia majibu kama kuna mahusiano ya ukaribu kati ya kupenda au kujisikia sana kufanya tendo la ndoa na IQ ya bongo zetu. Katika utafiti wangu niliofanya nikiwa zangu sober huku mtaa wa sokomoko...
  16. longi mapexa

    SoC01 Safari ya miaka 7 katika uraibu wa filamu za ngono

    Habari Natumaini upo na Uzima. Basi tumshukuru Mungu kwa hilo. Lakini kama Pia haupo sawa amini kwamba wakati wako Utafika tu. Bila kupoteza wakati acha nikushirikishe mkasa huu ulionipata na namna nilifanikiwa kujitoa Katika Uraibu wa Machapisho, Picha na Video za Ngono kwa Miaka 7. Nikiwa...
  17. Jade_

    SoC01 Uraibu wa Ponografia

    `Kuna mtu hapa Jamii Forum alielezea kisa chake na kwamba anaweza kujifungia ndani akiangalia video za ngono huku akipiga punyeto kwa masaa hata 12. Kuna watu walifikiri hii ni “chai” (uongo) lakini watu wanapata sana hizi shida ila hawawezi kuongea kwa kuwa ni aibu kwenye jamii. Unaweza kukuta...
  18. Tomaa Mireni

    SoC01 Funzo kwa Jamii: Jinsi nilivyoacha uraibu wa kamari

    Kwanza kabisa kuacha mazoea fulani katika maisha yako si rahisi kama unavyotamka,unaweza kuacha leo lakini ikachukua muda kuacha kabisa. Leo karibu marika yote na jinsia zote katika jamii ni waraibu wa kamari. Uraibu huu unatokana na matangazo ya kuvutia na zawadi kubwa kubwa pia ile imani...
  19. Jade_

    SoC01 Uraibu wa Ngono

    Uraibu upo wa aina nyingi. Kuna uraibu wa pombe, sigara, madawa ya kulevya, na uraibu wa chakula. Leo nitajikita kwenye uraibu wa ngono. Tofauti na uraibu wa pombe, sigara na madawa ya kulevya ambazo hazimpati yeyote, (sio kila mtu atangukia kwenye raibu hizi) uraibu wa chakula na ngono ni...
  20. sky soldier

    Ushuhuda: Namna nilivyoacha punyeto, sigara na betting moja kwa moja

    Katika hii dunia ya sasa vilevi ni vingi mno na unahitaji umakini mkubwa sana maan aukangukia kwenye uraibu basi utapoteza vingi sana. Nikiwa kama kijana, nimekuwa mmoja wapo waliokumbwa na uribu wa vilevi vitatu ambavyo ni Punyeto, betting na sigara. PUNYETO - Nlianza kimasihara masihara...
Back
Top Bottom