Marekani imemfukuza balozi wa Afrika Kusini nchini Marekani na kumwelezea kuwa ni mtu asiyekubalika Marekani.
Chief Secretary wa Marekani, Marco Rubio amesema kuwa Balozi Ebrahim Rasool wa Afrika Kusini, ni mtu anayeendekeza siasa za ubaguzi wa rangi, na anayemchukia Rais Trump, na kwamba...
Wadau Leo ktk pitapita zangu nikakutana na mpango wa Marekani kufungua crypto reserve kama walivyofanya kwenye Gold reserve kule fort Knox.
Lakini Kuna siku niliwahi sema siiamini USDT kwasabu ni scam project Kwa ninavyo amini Mimi.
Lakini Leo nikaona nichart na Grok AI ya marekani.
Kwanza...
Watu wanchekesha sana, eti Urusi anapelekeshwa na kanchi kadogo ka Ukraine!
Huwa nasema siku zote kwamba Urusi anapigana na mataifa zaidi ya 30 pale Ukraine.
Ukraine ipo tu pale kama platform, kama uwanja wa vita baina ya NATO na Urusi.
Hata Trump alimwambia Zelensk kama sio USA basi vita...
Baada yakusitisha kwa mwezi mmoja, Trump kasema Canada na Mexico hawajafanya lolote kuboresha hali ya mipakani. Basi ushuru wa 25 percent kwa bidhaa kutoka Canada na Mexico umeanza kufanya kazi rasmi. China imeongezewa ushuru kufikia asilimia 20, toka 10.
Waziri mkuu wa Canada ameongea na...
Pesa ya kujenga nchi waliyoiharibu wenyewe hawana ila ya kurusha makombora kwenda Israel na USA wanayo. MATAPELI!
=============
Wizara ya Mambo ya Nje siku ya Jumanne ilirejesha tena hadhi ya "shirika la kigaidi la kigeni" kwa kundi la Houthi linaloungwa mkono na Iran nchini Yemen, ikitimiza...
Alisema anajua. Anatafutwa na Marekani na siku yoyote atauliwa
BAADA ya kifo sikuwahi sikia HATA nchi ya afrika uliohuzunika na kusema polen WA Libya
Mwamba huyu NDIE PEKEE aliapa kama Marekani wanataka mafuta basi iwe kwa MASLAHI ya wananchi wake
Akawawekeaaaa masharti wakamkataliaa hahaha...
The Ukraine has substantial supplies of key minerals, but some are now in Russian-occupied territory
Kyiv and Washington are close to signing a deal over US access to Ukraine's mineral deposits, a Ukrainian minister says.
Olga Stefanishyna, deputy prime minister for European and Euro-Atlantic...
Siwezi mlaumu Trump maana Marekani imemlushia pesa mingi sana Ukraine
KYIV — Utawala wa Trump uko karibu kufikia makubaliano na Ukraine kuhusu upatikanaji wa haki za madini zenye thamani ya mamia ya mabilioni ya dola, ikiw ani hatua kubwa kuelekea kumaliza vita vikali vya Russia dhidi ya taifa...
JUST WATCH THIS!
... they find themselves in a situation where it's no longer the question of 'left or right' but feel like they could be spiraling into FASCISM AND AUTOCRACY through their constitution which, some of us, think iS absolutely perfect!
... chaos is brewing in the US...
Kwa manew comers wabongo wapya wapambanaji.
Kazi rahisi kupata nchini Marekani mara nyingi ni kazi za kuingizio (entry-level) ambazo hazihitaji ujuzi maalum au uzoefu mrefu. Hapa ni baadhi ya kazi rahisi kupata:
1. Mhudumu wa Meza (Waiter/Waitress): Kazi ya kuhudumia wateja kwenye migahawa na...
Mara afukuze wafanyakazi anavyotaka, Mara aajiri anavyotaka, Mara ayafute mashirika anavyotaka,
Mara aifute mikataba ya watangulizi wake hovyohovyo,
Leo tena ameamuru sarafu flani isitengenezwe tena.
Sasa hii imekaaje?!! Kumbe uraisi Raha sana.
ACT Wazalendo expresses deep concern over the reckless and aggressive decision by U.S. President Donald Trump’s Executive Order of February 8, 2025 to cut foreign aid to South Africa in response to its sovereign land reform (acts) and its principled stance against Israel’s genocide in Palestine...
Mataifa mengi yakitaka kununua vitu nje ya nchi yanahitaji Dollar ya marekani.
Marekani akihitaji kununua vitu anatumia Dollar. Kitu gani kitamfanya asi-print pesa zake anapohitaji kununua nje?
Tanzania hatuwezi ku-print pesa yetu maana hatuwezi kuitumia kununua mafuta let say Iran...
Trump amewawekea vikwazo vya kifedha na Visa kwa maafisa wa mahakama ya kimataifa ya uhalifu ICC baada ya mahakama hiyo kutoa hati ya kukamatwa kwa viongozi wa juu wa Israel Israel na washirika wengine wa USA.
Mtakumbuka kwamba mwaka jana 2024 mahakama hiyo ya kimataifa ilitoa hati kukamatwa...
The great power of the western world particularly USA was based on technology, the famous silicon valley. For years, the USA has been the center of inventions. These inventions gave the western world the upper hand on various crucial part of life like economy, communication, energy...
Mwanamke mmoja huko marekani alifungua mashtaka ya kuishtaki kampuni lyft inayotoa huduma za tax mtandaoni kwa kumkatalia sababu ya uzito wake.
Sababu hii ilichangiwa wengine wakisema ina ubaguzi na wengine wakisema ni unyanyasaji.
Baada ya kuzuka mijadala mingi kampuni lyft imeamua kuongeza...
Hii ni habari mbaya sana kwa Pro -USA.
**************** *******************
Wanasayansi kutoka nchi hizo mbili wamesuka algorithm mpya kwa kutumia teknolojia ijulikanayo kama "reverse engineering" na kuweza kuboresha kadi kadi za video game .
Algorithm hiyo mpya inaruhusu kadi za GPU hizo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.