usa

  1. hayaland

    Ubalozi wa USA Tanzania unahusika katika vikwazo hivi

    Naamini Ubalozi wa Marekani nchini unahusika kwa asilimia 100% kutokea yaliyotokea jana ambayo kila mmoja anajua kilichotokea. Kama kuna makosa yaliyofanyika chini ya Makonda kwa kudhurumu haki za kuishi za wengine ushahidi uwekwe wazi Watanzania tujue.
  2. DocJayGroup

    Zuio Kwa WaTZ: Wahi Ubalozi wa USA Kabla haijala Kwako Kama Ulishinda Viza ya Kukupa Makazi ya Kudumu Marekani

    Kila mwaka, Marekani inatoa makazi ya kudumu kwa watu 50,000 kupitia mchezo wa bahati nasibu. Mchezo huo, unachezwa kuanzia mwanzoni mwa mwezi Oktoba hadi Mwanzoni mwa mwezi Novemba. Leo hii, Serikali ya Marekani imetangaza kwamba waTanzania wote watazuiliwa kwenda Marekani kupitia bahati na...
  3. Superbug

    Thanks USA, God bless you

    USA you are truly a just society I have started this thread so that you can see our happy reactions on what you have done today on these people who deliberately insults our constitution here in Tanzania. At first we thought our top leaders would respect rule of law and diginity of human kind...
  4. MALCOM LUMUMBA

    Wanajeshi 11 wa Marekani walijeruhiwa katika shambulio la Iran dhidi ya kambi ya Jeshi la wanaanga ya Ain al-Assad

    Makao Makuu ya Jeshi la Marekani imesema Wanajeshi 11 wa Marekani walijeruhiwa katika shambulio la Iran dhidi ya kambi ya Jeshi la wanaanga ya Ain al-Assad nchini Iraq Januari 8 Tehran ilirusha makombora dhidi ya kambi za Ain al-Assad (Magharibi) na Erbil (Kaskazini), ambapo baadhi ya wanajeshi...
  5. M

    Putin anajua kutumia Furusa ktk mgogoro wa Iran vs USA

    Wakati moto ukiwaka kwa kasi baina ya Marekani na Iran ghafla bwana Putin akapiga ziara ya kushitukiza Syria kisha akaelekea Uturuki kukutana na Edorgan. Binafsi nikajua ziara yake inahusiana na kutafuta amani eneo hilo kumbe yeye ana issue zake za Bomba la gesi kutoka Russia hadi Turkey...
  6. MK254

    Iraq: Iran yashambulia kwa makombora kambi mbili za Jeshi za Marekani, Ain al-Asad na Erbil

    Iran imerusha makombora zaidi ya 10 ikilenga Majengo ya Marekani yaliyopo Kaskazini mwa Iraq ikiwemo Kambi ya Jeshi ya Ain al-Asad ambapo kuna Majeshi ya Marekani ikiwa ni siku chache baada ya Marekani kumuua Qassem Soleimani Chaneli ya Taifa ya Iran imesema, Jeshi la Kimapinduzi la Nchi hiyo...
  7. N

    USA kupeleka wanajeshi Iraq 10000 na sniper 200.Kazi imeanza

    Mimi naona Trump akianzisha ugomvi hamalizi .yupo tayari
  8. britanicca

    Iran Inachekesha sana /hatuiwezi USA tutamshtaki kimataifa

    On Iranian TV, @JZarif says assassination of Qassem Soleimani, "was clearly a terrorist action" and #Iran "will launch various legal measures at the international level to hold America to account." Steve Herman on Twitter Nashangaa mbona tumeambiwa atalipiza Kisasi, lakini kinachoongelewa ni...
  9. chizcom

    Marekani yamuua Mkuu wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Iran katika shambulio la roketi la uwanja wa ndege wa Baghdad

    Qasem Soleimani, Jenerali wa vikosi vya kikurdi vinavyoungwa mkono na Iran, ameuawa na vikosi vya Marekani nchini Iraq. Pentagon imethibitisha kuwa aliuawa kufuatia "amri ya rais". Hayo yamejiri kufuatia ripoti ya mashambulio katika uwanja wa kimataifa wa ndege wa Baghdad, ambayo ilisema...
  10. N

    Trump most admired men in USA .Gallup

    inakuwaje mtu wanaemchukia kutwa drama anakuwa the most admired men in USA.Obama almost tied with Trump .
  11. Jamii Opportunities

    Procurement Specialist at Cardno Emerging Markets USA, Ltd

    Cardno Emerging Markets USA, Ltd. (Cardno) is seeking a Procurement Specialist to support an upcoming World Bank funded Water Sector Support Project in Tanzania. The Procurement Specialist will perform the following Assist in the management of the entire procurement process, and execution and...
  12. Jamii Opportunities

    Finance Specialist at Cardno Emerging Markets USA, Ltd

    Cardno Emerging Markets USA, Ltd. (Cardno) is seeking a Finance Specialist to support an upcoming World Bank funded Water Sector Support Project in Tanzania. The Finance Specialist will perform the following: Assist in the management and execution of day-to-day financial management and...
  13. Erythrocyte

    Mwanzilishi wa JamiiForums, Maxence Melo atinga Ikulu ya Marekani (White House), awapa ujumbe vijana

    Kupitia mitandao yake ya Kijamii, Mkurugenzi na Mwanzilishi wa Mtandao wa JamiiForums Maxence Melo ameandika... ‪DAKIKA CHACHE KABLA YA KIKAO IKULU YA MAREKANI...‬ Ujumbe wangu kwa vijana: ‪Usikate tamaa - kama unaamini katika jambo, lisimamie‬. Vishawishi vya kukukatisha tamaa havina budi...
  14. Barbarosa

    Muzungu azuia Wakenya kukanyaga USA- Corruption!

    Kuna rafiki yangu kanitumia hii kutoka Nairobi Kenya, kwamba D.Trump amechoshwa na corruption ya politicians wa Kenya, na sasa hakuna kuingia USA, na wanavyopenda kusafiri kwa Muzungu lazima watachanganyikiwa,
  15. muqawama

    Siasa za Marekani: Je, unajua maana ya Serikali kufungwa(Government Shutdown)?

    KWENYE SIASA ZA MAREKANI: JE UNAJUA MAANA YA SERIKALI KUFUNGWA (Government Shutdown) ? 🔍 Swali 1: Nini maana ya Serikali kufungiwa? Jibu: Siasa za Marekani, Serikali kufungwa hutokea pale mambo mawili yanapotokea. Bunge la Kongress linaposhindwa kupasisha mswada wa Matumizi ya serikali...
  16. EastAfricanTube

    Diversity Visa 2020 Green Card Lottery Starts Today!

    Entries for the Diversity Visa 2020 green card lottery program in the United States starts today, registration begins at noon Oct. 3, 2018 and runs until noon Nov. 6, 2018. Tanzanians who meets requirements are eligible to apply free of charge. If you are interested, here is the link to apply at...
Back
Top Bottom