usa

  1. Magonjwa Mtambuka

    USA PROTESTERS: We don't need more Lockdowns its better to be contracted with SARS-CoV-2 than Lockdown

    Waandamanaji nchini Marekani wameingia mitaani katika majimbo kadhaa wakishinikiza magavana kufungua uchumi wa majimbo yao kwa kuondosha amri ya kutokutoka nje ama 'lockdown'. Marufuku hiyo ya kutokutoka nje imewekwa katika majombo yote ya Marekani ili kudhibiti kusambaa kwa janga la virusi vya...
  2. Corticopontine

    USA The world leader in Everything including contractracted Covid-19 patients and deaths tolls to 20577 more than any country in the world

    CORONAVIRUS 🇺🇸 The United States became the world leader in coronavirus deaths Saturday, a grim indicator of the country’s status as the global epicenter of the pandemic. As of Saturday evening, the U.S. had recorded about 526,396 COVID-19 cases and 20,389 deaths, according to Johns Hopkins...
  3. Corticopontine

    Marekani wameongoza kwa vifo vya Covid-19 ina watu 20466 wamefariki 1731 Jumamosi ya 11/4/20

    CORONAVIRUS 🇺🇸 The United States became the world leader in coronavirus deaths Saturday, a grim indicator of the country’s status as the global epicenter of the pandemic. As of Saturday evening, the U.S. had recorded about 526,396 COVID-19 cases and 20,577deaths, according to Johns Hopkins...
  4. T

    USA yaonyesha uwezo mkubwa dhidi ya COVID-19

    Taifa kubwa na lenye nguvu zaidi ulimwenguni, yaani USA linaendelea kuonyesha uwezo wake wa kimedani dhidhi ya janga la COVID-19. Jana kiranja mkuu wa Taifa hilo ametuma ujumbe kwenye mtandao wa Twitter kuwa adui asiyeonekana atakabiliwa hivi karibuni: Ujumbe huo umefuatiwa na habari...
  5. Corticopontine

    USA: COVID-19 Update 3/3/2020; Jumla ya wagonjwa 272,998, maambukizi mapya 28048, waliokufa Leo +934 Jumla ya Vifo 7004

    Kwa tathmini ya Taifa kubwa LA Marekani lililoelemewa na CORONA Sisi mataifa machanga tunahitaji maombi ya mwenyezi Mung u Nawapa pole Sana Binadamu wenzangu Wamarekani nawaombeni sasa binadamu wenzetu mjifunze kuwa adui yetu si sisi kwa sisi binadamu adui yetu ni yule asiyeonekana Marekani...
  6. J

    Je, Corona itabadilisha Siasa za Tanzania maana imepiga kuanzia Vatican, UK, USA, Uchina hadi Ujerumani?

    Najiuliza tu kwa kuwa hayo mataifa niliyoyataja ndio wafadhili wakuu wa vyama vya siasa nchini kuanzia CCM, Chadema hadi ACT wazalendo. Baadhi ya vyama siyo rahisi kusimama vyenyewe bila ufadhili na hasa ukizingatia ruzuku itakata rasmi mwezi June. Natafakari tu wakuu. Maendeleo hayana vyama!
  7. simplemind

    Corona inazidi kutikisa -Marekani imezuia usafiri kutoka bara la ulaya.

    Coronavirus Live Updates: Trump’s Travel Restrictions, Italy in Lockdown and N.B.A. Suspension Italy biashara zote zimefungwa isipokua famasi na maduka ya vyakula. NBA imesitishwa.
  8. Bundewe

    Do you know that America worship their own secret GOD?

    Great thinkers! I heard someone saying that America as a nation has its own secret GOD. Looking from its dollar note, there are words IN GOD WE TRUST right at the middle. They are not referring to God in heaven (that most of us know)but G = Gold O = Oil D = Diamond That's why if you mess up with...
  9. Nyendo

    Kamishna Mkuu TRA Dr. Edwin P. Mhede, awanasa Wachina waliotaka kumpa rushwa ya dola 5,000/=. Wahukumiwa kulipa Tsh. Milioni 1 kila mmoja

    Jana mida ya saa sita mchana ofisini kwa Kamishna mkuu wa TRA alipokea taarifa kutoka kwa watumishi mwenzake sio wa mamlaka ila mtumishi wa umma akimueleza kwamba kuna wateja walitaka kumuona, wana maswala yao ya kikodi wakidai kwamba wamewakadiria kodi kubwa kuliko wanavyopaswa kulipa kwa hiyo...
  10. J

    Mike Pompeo wa USA amaliza ziara yake barani Afrika, akemea viongozi wa vyama vya siasa wanaoongoza kiimla

    Waziri Mike Pompeo wa serikali ya Marekani leo amemaliza ziara yake ya nchi kadhaa barani Afrika huku akiwataka viongozi wa kisiasa barani humu kuacha mara moja tabia ya kuongoza kiimla. Pompeo amezuru nchi za Senegal, Ethiopia, Namibia na Afrika ya Kusini. Chanzo: Star Tv Habari
  11. Kichuguu

    USA: Uchaguzi 2020

    Mbio za uchaguzi wa wa marekani kumchagua rais, wabunge congress wote 435 na maseneta 35 kati ya 100 zimeanza kuwapa nguvu bainba ya Democrats na Republicans. Kwa sasa hivi Democrat ina wabunge 232 wakati republican inao 197; kwa jumla Democrat imeposhateza mbunge mmoja aliyehama kuwa...
  12. N

    Hivi kwanini Trump ana outsmart watu wengi ? Media combine Democratic Party

    Russian collusion, impeachment ( Ukraine scandal ) .Trump ameishia kidedea Democratic Party na member of the media wamechanganyikiwa. Sasa Hivi hamna cha kumfanya .Wafanye nini haswa Trump ashindwe
  13. Barbarosa

    Kwa nini Puerto Rico sio tajiri kama USA?

    Kwanini? Puerto Rico ni sehemu ya USA lakini ni kama third World fulani ukilinganisha na USA, au kwa nini Mexico, Brazil au Argentina sio tajiri kama USA na Canada? Kwa nini India sio matajiri kama China? Kwanini Sub Saharan Africa siyo relatively well off kama North Africa? Kwanini Ireland...
  14. Barbarosa

    Mitt Romney akalia kuti kavu GOP baada ya Usaliti, hata USA usaliti not allowed!

    Mitt Romney ni republican Senator pekee aliyekuwa upande wa Democrats kutaka Raisi D.Trump awe ,, impeached”, sasa baada ya Seneti linaloongozwa na Republicans kukataa kumvua Uraisi D. Trump, wamemgeukia Mitt Romney na kutaka afukuzwe Uanachama GOP kwa Usaliti, ...
  15. Sky Eclat

    Siku yangu ya kwanza kwenda USA yaliyonisibu

    Nilikuwa mwanafunzi wa chuo kikuu, nilipata mualiko kutoka kwa mwanafamilia. Niliingia American Embassy nikajaza fomu wakati huo kila kitu kilikua manually. Baada ya kujaza fomu na kuikabidhi na passport yangu niliitwa dirishani na mama wa Kihindi. Aliniuliza maswali mengi ya course...
  16. jingalao

    Is USA pushing Tanzania to adopt her title IX of education amendment(1972)??

    Why is USA trying to intimidate Tanzania sovereignity by imposing laws suitable for USA to be adopted in Tanzania? Is this acceptable in the eyes of international community? Every Nation is free to make her own laws and regulations according to the natural existing circumstances. Tanzania...
  17. Morning_star

    Kwani marekani (USA) kuna nini cha kutishia watu wasiende?

    Marekani kuna masikini na mafukara waliopigika na ambao hawana tumaini la kutoka kimaisha maisha yao yoote. Marekani kuna magereza mengi kuliko vyuo na taasisi za kutoa elimu. Marekani ndo nchi inayoongoza duniani watu kuuana kwa kutumia bunduki, n.k. Kwani Marekani ni mbinguni? Au ukiingia...
  18. Nsumba ntale tz

    Paul Makonda awa kiongozi wa kwanza kuzuiwa kuingia Marekani kwa kuwanyima watanzania HAKI YA KUISHI

    Serikali ya Marekani imemzuia Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kuingi nchini humo kutokana na kuhusika kwake kwenye uvunjifu wa Haki za Binadamu unaohusisha kunyima haki ya kuishi, uhuru na ulinzi wa watu. Katika uongozi wake, Makonda ameonesha uonevu kwa wapinzani, kuminya uhuru wa...
  19. Duniahadaa

    Bunge letu litoe tamko kuwa USA sio mbinguni, kwanini wampige mtoto wakati baba yupo?

    Tanzania ni nchi huru, kwanini mtu aseme eti kiongozi/ Gavana wetu anakiuka haki ya kuishi? Haki za binadamu hata mukulu wetu alishasema sio kipaumbele chake. Kipaumbele chetu ni reli na madaraja. Sasa kwanini hao USA wadili na mtoto badala ya baba mwenyewe?. Bunge letu naliomba litoe tamko...
Back
Top Bottom