usaid

The United States Agency for International Development (USAID) is an independent agency of the U.S. federal government that is primarily responsible for administering civilian foreign aid and development assistance. With a budget of over $27 billion, USAID is one of the largest official aid agencies in the world and accounts for more than half of all U.S. foreign assistance—the highest in the world in absolute dollar terms.
Congress passed the Foreign Assistance Act on September 4, 1961, which reorganized U.S. foreign assistance programs and mandated the creation of an agency to administer economic aid. USAID was subsequently established by the executive order of President John F. Kennedy, who sought to unite several existing foreign assistance organizations and programs under one agency. USAID became the first U.S. foreign assistance organization whose primary focus was long-term socioeconomic development.
USAID's programs are authorized by Congress in the Foreign Assistance Act, which Congress supplements through directions in annual funding appropriation acts and other legislation. As an official component of U.S. foreign policy, USAID operates subject to the guidance of the President, Secretary of State, and the National Security Council. USAID has missions in over 100 countries, primarily in Africa, Asia, Latin America, the Middle East, and Eastern Europe. USAID also ran a 5-year program called IDDS in Africa and Asia to help detect and prevent tuberculosis.USAID's decentralized network of resident field missions is drawn on to manage U.S. Government (USG) programs in low-income countries for a range of purposes.
Disaster relief
Poverty relief
Technical cooperation on global issues, including the environment
U.S. bilateral interests
Socioeconomic development

View More On Wikipedia.org
  1. Y

    David Kafulila: Taarifa zinaonesha umasikini wa bara la Afrika ulipaa zaidi wakati ambapo misaada ya wahisani ilikuwa juu zaidi

    == Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila katika ukurasa wake wa X zamani tweeter ameandika haya;- Kati ya mwaka 1970 na mwaka 1998 wakati misaada toka nje ya Africa ilikuwa ya kiwango cha Juu kuliko wakati wowote ajabu ni katika wakati huo huo...
  2. BLACK MOVEMENT

    Ziara za Rais Samia ni za kuonesha ukwasi wa Serikali kwenye anasa? Hana habari na Trump kukata pesa? Full anasa

    Jana nilikuwa Tanga na ile Ziara ya Raisi Samia Tanga ina sio chini ya V8 300, Bado hujazungumzia Nisan Patroo, bado Toyoto landcruser hardtop na magari mengine. Hapo jirani tu Hospitali ya Bombo ukifikankuna wagonjwa walisha jijatia tamaa make ndugu hawana uwezo wa pesa za vipimo. Hii ni nchi...
  3. Mindyou

    Rasmi Donald Trump akatisha ufadhili kwenye programu za UKIMWI, Malaria na Polio duniani kote. Tanzania tutatoboa?

    Serikali ya Marekani chini ya Donald Trump imesitisha ufadhili katika programu mbalimbali za afya ikiwemo HIV, Polio, na Malaria duniani kote. Kwa mujibu wa gazeti la New York Times, serikali ya Trump imesitisha takribani programu 5,800 zilizokuwa zinafadhaliwa na USAID ikiwa ni pamoja na...
  4. Yoda

    DOGE yaweka hadharani vikundi vya magaidi vilivyokuwa vinafadhiliwa na USAID

    Kulingana na Elon Musk kupitia DOGE yake hivi ndivyo vikundi vya magaidi vilivyokuwa vinafadhiliwa na USAID! Utapeli mtupu.
  5. Yoda

    USAID ya China yaanza kuwika Afrika, yagawa msaada wa msosi Zimbabwe

    Inaitwa China International Development Cooperation Agency (CIDCA). Imegawa msaada wa chakula kwa Zimbabwe, tusiwachukulie poa Wachina, kumbe wanalisha Africa pia tofauti na kuwa soko la lao la bidhaa na sehemu ya kuvuna rasilimali!
  6. N

    Afrika sio wanufaika wakubwa wa USAID kama tunavyodhania

    Ukiangalia hiyo chart hapo juu utaona zaidi ya Egypt hakuna nchi nyingine ya Africa iliyonufaika missada ya US kupitia USAID kama nchi za mabara mengine mfanonUlaya. Lakini toka rais Trump asaini executive order ya kusitisha USAID. Watu mbali mbali wamekuwa wakitoa malalamiko na kuitolea mfano...
  7. incognitoTz

    Allegations of USAID Funding Boko Haram: A Closer Look

    In a recent development that has stirred international controversy, U.S. Congressman Scott Perry from Pennsylvania has made startling allegations suggesting that the United States Agency for International Development (USAID) has indirectly funded the terrorist group Boko Haram. This claim...
  8. Yoda

    Jaji Amir Ali aiamuru serikali ya Trump kurudisha misaada yote ikiwemo ya USAID iliyositishwa!

    Jaji Ali wa Federal Court ya huko Marekani ameondoa amri ya kuzuia misaada iliyowekwa na Trump mpaka kesi mbalimbali zilizofunguliwa na makundi mbalimbali ya watu zitakaposikilizwa na kutolewa hukumu. MAGA wamelalamika sana wakisema inawezekana vipi Jaji muhamiaji ambaye ni DEI, Mwarabu na...
  9. Nyani Ngabu

    Kenya kuna uhaba wa kondomu kisa USAID kusitisha misaada!

    Waafrika tuna ujuha wa ajabu sana. Yaani kumbe hata hiyo mipira tunasaidiwa.
  10. D

    Wabunge Tanzania kuwaombea ajira Serikalini wote walioathirika na zuio la misaada kutoka Marekani (USAID)

    Baadhi ya wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamejipanga kuishinikiza serikali iwaajili wote waliokubwa na zuio la misaada kutoka marekani! Hii linadhihilisha wazi kwamba ajira serikalini kwa vijana wetu zipo za kutosha lakini hawana watetezi bungeni! Pamoja na yote utaratibu...
  11. Mkalukungone mwamba

    Pre GE2025 Wabunge waiomba Serikali kuwatumia watumishi walisimamishwa kazi USAID

    Serikali imeshauriwa kuwatumia wataalamu wa sekta ya afya waliokuwa wanatumika katika hospitali za umma lakini sasa hawatoi huduma zao kwa sababu ya ajira zao kusitishwa na Shirika la Kimataifa la Misaada la Marekani (USAID). Soma Pia: Trump asimamisha misaada kwa nchi nyingine kwa siku 90 ili...
  12. Replica

    THRDC: Kusitishwa USAID kumepelekea changamoto kwenye NGO's; Watu kupoteza ajira, kusitishwa miradi, wahitaji kuathirika na kupungua fedha za kigeni

    Ripoti mpya ya Tanzania Human Rights Defenders Coalition (THRDC) inaonyesha kuwa kusitishwa kwa ufadhili kwa ghafla kumevuruga shughuli za NGOs za ndani, kusababisha upotevu wa ajira, kufungwa kwa miradi, na matatizo katika utoaji wa huduma. Kwa miongo kadhaa, Marekani imekuwa mfadhili mkuu wa...
  13. Roving Journalist

    THRDC: Maamuzi ya Rais Trump kusitisha misaada yamekuja ghafla na yanakiuka makubaliano ya mikataba

    Kufuatia uamuzi wa Rais wa Marekani Donald Trump ( Executive Orders) kuzuia fedha zote za misaada zilizokuwa zinatolewa na serikali ya Marekani kupitia baadhi ya taasisi zake ikiwemo taasisi ya misaada ya Marekani ( United States Agency for Development – US-AID), Mtandao wa Watetezi wa Haki za...
  14. Yoda

    Elon Musk atuhumiwa kuivunja USAID kutokana na uchunguzi wake kwa Starlink kukiuka vikwazo dhidi ya Urusi

    Kumbe USAID mwaka jana September ilifungua uchunguzi dhidi ya kampuni ya Elon ya Starlink kuhusu kuruhusu jeshi la Urusi kutumia Starlink katika vita vyake vya uvamizi Ukraine! Mojawapo ya vikwazo ambavyo Serikali ya Marekani iliweka kwa Urusi baada ya uvamizi ni pamoja na Starlink kutoruhusiwa...
  15. I

    Wanufaika 5 wakubwa wa misaada ya USAID barani Afrika.

    Ethiopia ndiyo mnufaika mkubwa zaidi wa USAID barani Afrika, ikipokea msaada wa dola bilioni 1.20. Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo inafuatilia kwa karibu kiasi hicho cha dola bilioni 1.20. Kuangaziwa kwa misaada ya nje ya Marekani kumeongezeka katika miaka ya hivi karibuni, huku nchi hiyo...
  16. C

    These Are The Top USAID Recipients—From Religious Groups To Major U.S. Companies—As Trump Targets Agency

    Top Ngo Usaid Recipients (fiscal Years 2013-2022) 1. Catholic Relief Services: $4.6 billion (nonprofit) 2. Chemonics International: $4.5 billion (for-profit) 3. FHI 360: $3.8 billion (nonprofit) 4. Development Alternatives, Inc.: $3 billion (for-profit) 5. ABT Associates, Inc.: $2.6 billion...
  17. M24 Headquarters-Kigali

    Air Tanzania kuathirika kwa NGOs kukatiwa Misaada na USAID

    Ni Sera ya NGOs nyingi za kimataifa nchini kusafirisha staff/wageni kwa ndege (preferably ATC) kwa ajili ya safety/usalama. Sasa kimeumana tayari watu wapo home wiki ya pili ATC mjipange na wafanyakazi wa Halmashauri hukoo Buhigwe sasa. ROUTE zilizokuwa maarufu kwa wafanyakazi wa NGOs za...
  18. Rorscharch

    Afrika imeweka Rehani Afya kwa Wazungu: Sakata la USAID ni fedheha ya karne

    Katika mwaka wa 2023, Tanzania ilipokea dola milioni 512.8 kutoka Marekani kwa ajili ya sekta ya afya, ikiwa nchi iliyoongoza kupokea msaada mkubwa zaidi wa afya barani. Nigeria, taifa lenye uchumi mkubwa zaidi Afrika, ilifuata kwa karibu kwa kupokea dola milioni 512.1. Kwa jumla, misaada hii...
  19. Carlos The Jackal

    Kujiondoa Kwa USAID , Mfumo wa Afya unaenda kua Very Expensive!!

    Nyie machawa , wazeee wa Mikopo na kutembeza Bakuli la msaada, huku mkiimba mapambio, Mama anaupigaaaa!!. Mliamua kuuacha Msingi aliokua kaunzisha BABA MAGUFULI katika kuhakikisha Taifa linaanza mchakato wa kujitegemea , mkawachukia wote wanaopinga habari za mikopo na misaada ya mashariti ...
Back
Top Bottom