usaid

The United States Agency for International Development (USAID) is an independent agency of the U.S. federal government that is primarily responsible for administering civilian foreign aid and development assistance. With a budget of over $27 billion, USAID is one of the largest official aid agencies in the world and accounts for more than half of all U.S. foreign assistance—the highest in the world in absolute dollar terms.
Congress passed the Foreign Assistance Act on September 4, 1961, which reorganized U.S. foreign assistance programs and mandated the creation of an agency to administer economic aid. USAID was subsequently established by the executive order of President John F. Kennedy, who sought to unite several existing foreign assistance organizations and programs under one agency. USAID became the first U.S. foreign assistance organization whose primary focus was long-term socioeconomic development.
USAID's programs are authorized by Congress in the Foreign Assistance Act, which Congress supplements through directions in annual funding appropriation acts and other legislation. As an official component of U.S. foreign policy, USAID operates subject to the guidance of the President, Secretary of State, and the National Security Council. USAID has missions in over 100 countries, primarily in Africa, Asia, Latin America, the Middle East, and Eastern Europe. USAID also ran a 5-year program called IDDS in Africa and Asia to help detect and prevent tuberculosis.USAID's decentralized network of resident field missions is drawn on to manage U.S. Government (USG) programs in low-income countries for a range of purposes.
Disaster relief
Poverty relief
Technical cooperation on global issues, including the environment
U.S. bilateral interests
Socioeconomic development

View More On Wikipedia.org
  1. T

    Wakati USAID Ikipotea, Tutegemee Vifo na Maambukizi Mapya ya HIV makubwa haijawahi tokea, Tusipochukua hatua ;it is really a timing Bomb!

    Leo nitajikita kwenye kupotea kwa misaada ya HIV/AIDS tu , tuna watanzania zaidi ya millioni na nusu wanachukua na kupata dawa za HIV/IADS bure kutoka kwenye shirika la USAID, hawa watanzania wanapata vipimo vya serostatus na viral loads kila mwezi kupima maendeleo yao bure kutoka kwenye shirika...
  2. Pdidy

    Sakata la USAID, mlio makazini mjifunze kupanga ni kuchagua, msisubiri kiwake mje kuwa Wajasiriamali

    Kupanga kuchagua Kuna waliochagua watafia wakiwa makazini, wapo waliochagua wakiwa makazini wanapiga biashara kadhaa, na wale ambao hawapo kote kote. Kifupi tu, sakata la usaid liwe fundisho kwa mnaoendelea na kazi huko...mjue saa yoyote mwanaadamu anashuka...mkiwa ofisini, mjipange...
  3. J

    Kanisa Anglican lampongeza Rais Trump kwa kuifutia Misaada Africa, ladai Viongozi wa Afrika wamedumaa kwa kuomba omba!

    Kanisa Anglican la Africa limepongeza Uamuzi wa Rais Trump wa Marekani kulifutia Bara la Africa misaada yote Akizungumza nchini Kenya askofu mkuu wa Anglican church amesema Omba Omba imewalemaza Kabisa Viongozi wa Africa ambao wanauza Rasilimali zao Kwa mikataba ya hasara huku wakitegemea...
  4. Manfried

    Ukiachana na kondomu, neti na dawa za kufubaza makali ya UKIMWI; aina gani ya msaada mingine kutoka USAID?

    Japo gharama za kupata ARV zipo juu Ila sifikirii Kama tutashindwa kulipia hizo dawa. Je, kwanini mnamlaani Trump?
  5. Hhimay77

    Magari ya kukodi

    Kodi gari lenye uhakika na Rhond's company limited linalofaa kwa mahitaji yako yote ya kusafiri. 📅 Yanapatikana sasa – weka oda mapema uhakikishe tarehe zako! ✅ Bei nafuu ✅ Magari masafi na yanayotunzwa Piga simu/WhatsApp +255 655 633 302
  6. M

    Trump ni Magufuli mweupe, anachokisema anakitekeleza haraka, wiki 1 tu kafukuza wahamiaji haramu na Kafuta USAID. Rais Samia pata somo

    Kasi ya Trump kwenye kutekeleza maamuzi magumu ni kubwa sana, natamani Rais wetu Samia na yeye awe na hii kasi. Hata Tanzania kuna taasisi kibao zinafilisi serikali hakuna cha maana zinazofanywa zinapaswa kufutwa fasta fasta TRUMP anatoa THANK YOU haraka kuliko thank you za Simba na Yanga.
  7. Naibili

    Kwa wale waliopunguzwa kazini (USAID na wengine)

    Kusitishwa kwa shirika la USAID na serikali ya Donald Trump kkutagusa maisha ya familia nyingi sana, Sasa kama wewe ni mwathirika usipanick relax, wewe si wa kwanza kukutwa na hali kama hiyo, Nimejaribu kukuwekea baadhi hatua za kuchukua ili upite salama 1. FIRST THING FIRST Ulikuwa...
  8. Mwamuzi wa Tanzania

    Serikali iongeze ulinzi kwenye maghala ya MSD, iweke sawa record ya ARV's. Kuna watu vichwa ngumu wanaweza kujizolea ili wakapige pesa siku za machoni

    Sasa ARV's zinakwenda kuwa big deal, wachuuzi wadogo hawatazipata tena. Hofu yangu ni kwamba kwenye maghala ya dawa ya MSD watu wanaweza kujizolea na kuzificha ili wakatajirike siku za machoni. Ulinzi uongezwe. JWTZ walinde maghala ya dawa kwenye kipindi hichi cha mpito, vijana wa SUMA JKT...
  9. M

    USAID hatimae imekufa rasmi kwa taarifa hii

    USAID is officially dead. Elon Musk alisema USAID ni shirika la kihalifu na linapaswa kufa Kwa taarifa hii ni wazi kwamba kauli yake imetekelezwa Je ndugu zangu nini itakuwa athari kwa Afrika hususani Tanzania aliyekuwa anaongoza kwa kupokea mafungu huko USAID...
  10. The Mongolian Savage

    Elon Musk anataka kuteua vijana wadogo 'Baby Face' kumsaidia kutengua shirika la msaada Marekani. Wataalam wamtahadharisha

    Bilionea namba moja duniani Elon Musk yuko mbioni kuwateua vijana sita wadogo kiumri na legelege wenye sura za kitoto Baby Face kumsaidia kuifumua kuifungua na kuianzisha upya shirika la misaada la marekani America foreign Aid Agency. Billionea huyu wa Tesla aliteuliwa kuwa mkuu wa Department...
  11. Stuxnet

    USAID haiwezi kufutwa kwa Executive Orders; watetezi kwenda Mahakamani kuzuia uamuzi wa Donald Trump

    Hili ni kinyume cha sheria. Si Donald Trump wala Elon Musk anayo mamlaka ya kufuta USAID; ni Bunge (Congress) pekee linaloweza kufanya hivyo kwa kupitisha sheria. Kesi za kisheria zinaendelea, ili kujaribu kuzuia hili. JFK alitoa amri ya kiutendaji kuunda USAID, kisha baadaye Bunge...
  12. Rorscharch

    Waafrika tunazaliana sana halafu kuumudu uzao huo tunategemea misaada ya wazungu: Ni aibu maana hatuna tofauti na mbuzi kwenye zizi

    Takwimu zinaonyesha tofauti kubwa katika ukuaji wa idadi ya watu kati ya nchi za Afrika Mashariki na zile za Scandinavia kati ya mwaka 1960 na 2024. Hapa chini ni muhtasari wa mabadiliko hayo: Afrika Mashariki: Kenya: 8.1M (1960) → 54.7M (2024) Tanzania: 10.1M (1960) → 67.8M (2024) Uganda...
  13. Mindyou

    VIdeo: Wabunge wa Marekani waandamana hadi mbele ya jengo la USAID wakitaka misaada irudishwe haraka, wataka Elon adhibitiwe!

    Wakuu, Huko nchini Marekani, viongozi na baadhi ya wabunge wameandamana nje ya jengo la USAID wakitaka shirika hilo lirudishwe na misaada irudi haraka sana. Jamii Raskin ambaye ni mbunge kutoka jimbo la Maryland aliongozana na wabunge wengine wakitaka shirika hilo LIRUDISHWE na Elon Musk...
  14. B

    Tanzania Kinara wa Kupokea hela za msaada kutoka USAID Afrika nzima. Yasemekana tutaathirika sana

    Kisiwa chetu cha Amani chenye Rasilimali nyingi kinapokea misaada ya mabeberu na Mabepari takribani Milioni 512 Kila Mwaka. Imeelezwa. Gazeti la Euronews limetaja kuwa Tanzania itakuwa ni miongoni mwa nchi zitakazo athirika kutokana na Hatua ya Donald Trump na Elon Musk kusitisha misaada hiyo...
  15. enzo1988

    Elon Musk asema Trump amekubali kufunga shirika la misaada ya kigeni la Marekani lenye bajeti ya $40 bilioni

    Elon Musk asema yeye na Donald Trump wamekubaliana kufunga USAID – shirika linalosaidia maendeleo ya kimataifa. Katika ujumbe wa sauti kwenye X, alisema: "Tunafunga shirika hilo," akiongeza kuwa alikuwa na "uungwaji mkono kamili kutoka kwa rais." Alisema kuwa shirika hilo "haliwezi...
  16. Waufukweni

    Elon Musk amesema USAID ni Shirika la kihalifu, linapaswa kufa

    Mmiliki wa kampuni ya teknolojia, Elon Musk ametangaza kuwa Shirika la Maendeleo la Kimataifa la Marekani (USAID) linapaswa kufa kwakuwa ni shirika la kihalifu. Musk, ambaye aliteuliwa na Rais wa Marekani, Donald Trump kuongoza Idara ya Ufanisi wa Serikali (DOGE), ametoa kauli hiyo baada ya...
  17. Cannabis

    Kwa nchi zinazotegemea misaada hali inazidi kuwa ngumu, Elon Musk aanzisha mpango wa kuiua USAID

    Elon Musk ameanza kutekeleza mpango wa kuliua Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la Marekani (USAID). Amesema anaamini USAID ni "shirika la kihalifu" ambalo linapaswa "kufa." Kupitia mtandao wa X Musk alisema “USAID ni shirika la uhalifu. Ni wakati wa kufa” Hii ni baada ya taarifa iliyosema...
  18. Manfried

    Nikikumbuka UKIMWI ilivyochukua ndugu zangu kumi wote na familia ikamkosa Mama na Baba, nakuomba Trump tusamehe kwa hili

    Wamerekani jaribu kutuonea huruma msije mkazuia kutupa Dawa za Ukimwi. Maana hata miaka ya 1990s Dawa zilikuepo but it was too expensive. I lost 8 siblings and two parents . Aisee itakuwa noma
  19. muafi

    Nimeamini USA ni kubwa la Dunia, Tamko la Trump tayari limeonyesha effect kwenye familia Yangu

    Hali ni mbaya kulia na kusaga meno tayari vimeanza. Mimi ni mtumishi mwandamizi wa shirika X linajihusisha na huduma za CTC, aisee moja haikai mbili haikai tumeanza kupewa notice, familia zetu zitaishije jamani, shirika linna step down! Trump ni shetani kabisa
  20. K

    Kusitisha kwa USAID tuamke na kutumia rasilimali za nchi vizuri

    Wakati Trump amesitisha kugharamia shughuli nyingi ambazo zilikuwa zinafanywa na USAID ni wakati wa kujiuliza kwa umakini kitu gani ni muhimu. Hii pesa ilikuwa inasaidia kutoa dawa wa wagojwa wa ukimwi na elimu huko kusini na kusaidia lishe kwa zile kaya ambazo watoto wana dalili za mtapia mlo...
Back
Top Bottom