Wakati Trump amesitisha kugharamia shughuli nyingi ambazo zilikuwa zinafanywa na USAID ni wakati wa kujiuliza kwa umakini kitu gani ni muhimu. Hii pesa ilikuwa inasaidia kutoa dawa wa wagojwa wa ukimwi na elimu huko kusini na kusaidia lishe kwa zile kaya ambazo watoto wana dalili za mtapia mlo...
Serikali lazima itoe tamko kwenye hili jambo.
Wenyewe wanaita Miradi Misonge ( Vertical Programs) , dawa na vifaa tiba chini ya hii miradi ipo kwa Ufadhili wa USAID kwa zaid ya 80%.
ARVs, TB, Lishe , magonjwa yaliyosahaulika kama busha na matende, chanjo za watoto na mambo mengi yapo chini...
Marekani baba lao. Baada ya Trump kuanza kuwarudisha makwao waamiaji haramu na kusitisha misaada ya bure kupitia USAID na kujitoa WHO, dunia nzima inalia na kumlalamikia Trump kuwa sio mtu! Kila mtu amalize mechi zake vinginevyo China sijui Urussi ijitokeze! Fyooooooh!
Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa (USAID) limetangaza kusitisha utoaji wa fedha mpya na usambazaji wa fedha chini ya makubaliano ya malengo ya maendeleo (DOAGs) hadi uhakiki wa programu za msaada wa nje zinazofadhiliwa na USAID utakapokamilika.
Wakati mchakato wa kuhakikisha msaada...
Kuna maamuzi ambayo bwana Trump anafanya anakuwa kama kachanganyikiwa na haelewi Geopolitics zilivyo.
Kwanini nasema hivyo?
Hivi karibuni katangaza Marekani kusitisha misaada kwenye nchi zote duniani isipokuwa Israel na Egypt.
Kwa mtu yeyote mwenye akili timamu atajua kwamba, the only reason...
Wakuu,
Utawala mpya wa Rais wa Marekani Donald Trump umesitisha na kuzuia misaada ya kimarekani kwa nchi za kigeni.
Marco Rubio ambaye ni Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani ameripotiwa kutuma barua kwenye balozi zote duniani kusitisha miradi ya maendeleo ambayo inafadhiliwa na Marekani ndani...
Sio ajabu kuona watu kama kina Samantha Power, Michele Sumilas, Clinton D. White pamoja na Kimberly Ball wakiumia na kugugumia maumivu juu ya ushindi wa Donald Trump. Kwa Wamarekani ni wazi kuwa kulikuwa na matarajio ya kuchaguliwa tena kwa Trump, Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la Marekani...
Marekani yazipa kampuni nchini dola milioni 8.3
SERIKALI ya Marekani kupitia Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la (USAID), imetangaza kuwekeza dola za Marekani milioni 8.3 kwa kampuni tisa za Tanzania ili kukuza biashara, kuboresha usalama wa chakula na kuimarisha ushindani wa Tanzania...
Solicitation No: 72062124R10009
Closing date and time for receipt of Offers: August 29, 2024
Point of Contact: Hussein Tuwa, e-mail at htuwa@usaid.gov
Position Title: USAID Supervisory Development Assistance Specialist/Deputy Program Office Director
Market Value: Tshs. 143,254,619 to Tshs...
Terms of Reference – for Reviewing USAID Tuwajali Watoto project implementation from February 2023 to September 2024
Background
The Christian Social Services Commission (CSSC) is an ecumenical body established in 1992 by the Christian Council of Tanzania (CCT) and Tanzania Episcopal Conference...
The United States Government, represented by the U.S. Agency for International Development (USAID), is seeking offers/applications from qualified persons to provide personal services under contract as a USAID Development Assistance Specialist (FSN Senior Advisor) reporting to USAID/Tanzania’s...
USAID TANZANIA MONITORING, EVALUATION, LEARNING AND ADAPTATION ACTIVITY (USAID T-MELA)
POSITION DESCRIPTION: SENIOR DATA VISUALIZATION / GEOMAPPING EXPERT
Office Location: Tanzania – USAID T-MELA Office, Block No. 6, Mlimani City Office Park.
Contact: Please send your application by e-mail to...
Task: Training researchers from selected Tanzania Universities to Produce and Disseminate Policy Briefs from Research Reports.
Duration: 25 days
Location: Tanzania
Contact: Please send your application by e-mail to tzrecruitment@tanzania-tmela.com
Brief Description of IBI:
International...
TANZANIA MONITORING, EVALUATION, LEARNING AND ADAPTATION (T-MELA) ACTIVITY STATEMENT OF WORK: Policy Brief Training Senior Consultant (STTA)
Task: Training researchers from selected Tanzania Universities to Produce and Disseminate Policy Briefs from Research Reports.
Duration: 25 days...
USAID Heshimu Bahari (Respect the Ocean) Project
Request For Proposal
Electronic Monitoring HO.PO.OQ4
USAID Heshimu Bahari (Respect the Ocean) is a five-year (2022-2027) project financed by USAID and implemented by Chemonics International and partners. The goal of the project is to strengthen...
Position: Consulting – USAID Afya Yangu Southern – Grants & Finance Intern
About the program
Deloitte Tanzania has been awarded a contract to implement the USAID Afya Yangu Southern Program. This is a five year project (November 9, 2021 to September 30, 2026) funded by the American People...
Solicitation Number: 72062124R10001
Issuance Date: December 06, 2023
Closing Date: December 29, 2023
Subject: Solicitation for a Cooperation Country National Personal Services Contractor (CCNPSC)-Project Management Specialist (Climate Change) - Economic Growth Office
The United States...
African Man Dem has 17 young people, all drug addicts, who receive free social services. They are provided with food, clothing, medical care, and given payments. There are chicken farming, vegetable farming, and dog breeding projects, and for each of these projects, the caretaker receives a...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.