usaili

  1. Gavano23

    Usaili kada ya Business System analyst

    Wadau naomba hints wenye uzoefu kada ya ICTO BUSINESS SYSTEM ANALYST...hasa kwenye practical nipitie vitu gani?Msaada
  2. dubu

    Orodha ya Majina ya Walioitwa kwenye Usaili Ajira ya Konstebo wa Uhamiaji 2022

    Orodha ya Majina ya Walioitwa kwenye Usaili Ajira ya Konstebo wa Uhamiaji 2022.
  3. peno hasegawa

    Usaili EWURA unafanyika Lini kwa waliotuma maombi ya kazi?

    Usaili EWURA unafanyika Lini kwa waliotuma maombi ya kazi? Hii imekuwa unyanyasaji mkubwa Kwani maelfu walituma maombi ila ewura wamepiga kimya au walishaajiri? Tunaomba majibu
  4. Quinton Canosa

    Majina ya walioitwa usaili TANAPA

    Habari wana jamii forum, Walioitwa kwenye usaili TANAPA mkeka huo hapo
  5. nyboma

    Usaili wa PCCB Dodoma umenikutanisha na Ex’s wangu kwa ufupi tu ukiona manyoya jua keshaliwa

    Baada ya jana kumpokea stendi kuu ya Dodoma na kumlipia lodge, akanipa tunda maana tuna miaka miwili hatujaonana na huyu Mama E. Asubuhi nikampeleka chuo cha Dodoma kwenye usaili, mchana nikamfuata nikampeleka Malaika Annex kula kuku wa kuchoma baadae nikampeleka room kwake akapumzike kidogo...
  6. Lameckjr

    PCCB usaili Dodoma

    Habari zenu wakulungwa!! Naomba kujua mtu ambaye ataenda/yuko invited kwenye usaili wa PCCB Jumamosi ijayo pale Dodoma? Anayetokea Dsm, Mwenye private car tuchangie mafuta twende naye Asante
  7. R

    Jamani TAKUKURU, kuita watu 12,377 kwenye usaili kwa nafasi 200 ni sawa?

    Wakuu mmeshasikia usaili utakaofanyika 8/1/2022. Usaili huu utajaza jiji la Dodoma umati wa watu 12,377 hao ni wa nafasi ya afisa uchunguzi tu. Kuna nafasi ya afisa uchunguzi wasaidizi wameitwa watu 9,729 kwa nafasi ya watu 150 tu. Jumla ya wasailiwa inakuwa 22,106 kwa ajili ya jumla ya...
  8. H

    Udhalilishaji katika Usaili unaofanyika na Sekretarieti ya ajira

    Wanaita watu wengi Sana katika usaili hii nilifanikiwa kuifatilia ni fani ya ICT Officer (System Administrator) wanaitaji nafasi moja lakini wameita watu 752. Vijana waliohudhuria pale wamezuiliwa kuingia kwenye usaili ni wengi sababu ya kuzuia mfano mwingine alikua anashiriki hizo interview...
  9. SAKA25

    Tangazo la kuitwa kwenye usaili jeshi la polisi makao makuu 2021

    DOWNLOAD PDF FILE CHINI
  10. P

    Kwa mwenye orodha ya majina ya usaili wa jeshi la polisi anisaidie

    Kumradhi mwenye orodha ya majina ya usali wa jeshi la polisi kwa zile kada/ fani maalum anisaidie
  11. eugenp

    Hivi FINCA wanatoaga majibu ya Usaili baada ya muda gani?

    Nmefanya Usaili Finca J4 ila mpaka Leo siku ya 5 naona Kimya au ndio ule msemo wa ukiona manyoya ujue kashaliwa😂😂😂 Ila nilifanya vizuri nina uhakika Labda kama kuna mtu yoyote anaefahamu recruitment process yao huwa inachukua muda gani?
  12. N

    Ni zaidi ya mwezi sasa tangu utumishi walipoahirisha usaili wa TRA pale Dodoma bila Majibu

    Habarini wadau, ilikuwa siku ya 07/08/2021 Nyomi kubwa ya watu zaidi ya elfu 15 ilikusanyika chuoni UDOM kufanya usaili wa TRA hatua ya written kwa kada Mbalimbali kuanzia ngazi ya Diploma Hadi Degree. Lakini baada ya kufanya written siku ya 09/08/21 UTUMISHI wakatoa tangazo la kuahirisha...
  13. SAKA25

    Majina ya walioitwa kwenye usaili kazi za polisi mkoa wa rukwa

    Kuitwa kwenye usaili Polisi Rukwa
  14. Engineer mussa ngelime

    Naomba tips za awali za kuitwa siku ya kwanza kwenye usaili

    Wadau naombeni msaada wa mawazo ikiwa ndo siku ya kwanza kuitwa Kwenye interview...based on your career!! Viashiria gani positive inabidi uwe navyo na vipi inabidi uzue
  15. Y

    Tips ICT Officer (Software Developer & Sys Admin)

    Wakuu salam kwenu. Niko hapa naomba tips za wapi pa kugusia kwenye written exams za utumishi kada ya ICTO upande wa software developer na Sys Admin. Hii ndo interview yangu ya kwanza utumishi naona kama napapasa gizani. Msaada wenu wadau kitaa pamekaza kinoma.
  16. S

    Huwa unajibu vipi maswala haya kwenye interview?

    Haya ni maswali yanayonisumbua ninapokuwa kwenye interview. Sijawai kuyajibu nikapatia uwa najikanyaga siku zote. Ofcoz nazungumzia zaidi interview za kwenye NGO. 1. What is your experience in writing reports to donors? 2. What do you understand about ..... policy (yani anakutaka useme kitu...
  17. Jidu La Mabambasi

    Mhariri Mtendaji wa gazeti la Uhuru, Ernest Sungura CCM mlifanya usaili?

    Gazeti la Uhuru lina Mkurugenzi Mtendaji wake Ernest Sungura. Kwa wale wasio mfahamu huyu mheshimiwa, alikuwa akiongoza vile vile TMF, Tanzania Media Fund. TMF ilikuwa ikitoa fedha za wafadhili katika vyombo vya habari kuendeleza uweledi wa The Free Press TMF chini ya Sungura ilikuwa kichaka...
  18. Parody

    Usaili wa Tax Officers waahirishwa

    Juzi kuna mdau aliandika kuwa mitihani ya usaili wa Tax Officers wa TRA umevuja na walikuwa wanasove pepa wakiwa kwenye magari kuelekea Dodoma kwenye usaili. Sasa sekretariet imesema usaili umeahirishwa bila hata kutoa sababu zinazoeleweka. Kuna kaharufu ka uozo hapa. Pia, Soma=> Mtihani wa...
  19. Jackwillpower

    Naomba msaada wenu nimeitwa usaili na UTUMISHI

    Naomba msaada wenu nijiandae na maswali gani,nimeitwa kwa mara ya kwanza na UTUMISHI,ni post ya MHANDISI MITAMBO DARAJA LA II (MECHANICAL ENGINEER) TEMESA Msaada wenu nipitie wapi job description yao ni hii i. Kufanya kazi chini ya uangalizi wa mhandisi aliyesajiliwa na mwili wa usajili wa...
  20. K

    Umati wa usaili UDOM: Tunahitaji mjadala wa Kitaifa kuhusu tatizo la ajira nchini

    Leo asubuhi nimemleta mtu hapa UDOM kuhudhuria Usaili wa kazi za Utumishi, hakika watu ni wengi. Binafsi nliyemleta ameitwa kwenye Usaili wa nafasi za National Audit, only 10 kama sio 20 nafasi lkn wameitwa watu sio chini ya 3400, yaani watu hao ndio wapatikane only 20 people. Kibaya zaidi...
Back
Top Bottom